Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 2,962
- 7,856
Kama Port ya Dar inapanuliwa kwa kutumia Gharama ya 500mil USD na feasibility zinaonesha kuwa bado inaweza kuongezeka acha iongezwe huku ikiendelea ku buy time kwa ajili ya a better deal la bagamoyo port...sijui kwa nini mkuu alisitisha huu mradi ..ila bado deal linaweza kufanyika hata kama kenya wametangulia na Lamu ..kumbuka berth 3 za kwanza za Lamu zinajengwa na serikali ya kenya na ndo kwanza berth moja imekamika .Bagamoyo ilikuwa ijengewe na wachina na waarabu
Project ya Kupanua Bandari Ya Dar yenye berth 13 mpka sasa...itaifanya Dar port kuwa na capacity ya 28million tonnes by 2025(i think) na bado feasibility study zinaonesha kunaweza kunengwa Berth mpya Mbili au Tatu zenye Quay length ya 1.2km yan 400m per berth ambayo ndo urefu wa meli kubwa duniani kwa sasa..hii inamanisha kwa miaka hata 15 ijayo Dar port inaweza kufanya kazi vizuri kama itapanuliwa na kuwa na cranes za kutosha..
Mtwara port ina Berth mbili kwa sasa zenye urefu wa mita kama 400 jumla..ila wanajenga Berth mpya hivi sasa na kazi inaendelea ..Bei yake ni 285mil usd na urefu wa mita 350 ..hii inaamnisha meli karibia zote duniani zinaweza tia nanga...kwahyo hii ni project muhimu itayosaidia southern zones
Na Tanga port zabuni zimetangazwa ila sijajua specific zake...
So.mimi naona kwa upanuzi unaofanyika bado muda upo...na kama negotiation nzuri zinaweza fanyika kwa maslahi mazur..kwanini tu rush Bagamoyo port...wengi hatujui mkataba ulivyo ila ni serikali gani itakaa kodi ..au hata % flan flan ..
Project ya Kupanua Bandari Ya Dar yenye berth 13 mpka sasa...itaifanya Dar port kuwa na capacity ya 28million tonnes by 2025(i think) na bado feasibility study zinaonesha kunaweza kunengwa Berth mpya Mbili au Tatu zenye Quay length ya 1.2km yan 400m per berth ambayo ndo urefu wa meli kubwa duniani kwa sasa..hii inamanisha kwa miaka hata 15 ijayo Dar port inaweza kufanya kazi vizuri kama itapanuliwa na kuwa na cranes za kutosha..
Mtwara port ina Berth mbili kwa sasa zenye urefu wa mita kama 400 jumla..ila wanajenga Berth mpya hivi sasa na kazi inaendelea ..Bei yake ni 285mil usd na urefu wa mita 350 ..hii inaamnisha meli karibia zote duniani zinaweza tia nanga...kwahyo hii ni project muhimu itayosaidia southern zones
Na Tanga port zabuni zimetangazwa ila sijajua specific zake...
So.mimi naona kwa upanuzi unaofanyika bado muda upo...na kama negotiation nzuri zinaweza fanyika kwa maslahi mazur..kwanini tu rush Bagamoyo port...wengi hatujui mkataba ulivyo ila ni serikali gani itakaa kodi ..au hata % flan flan ..