Msimsingizie, hii ni purely awamu tuliyonayo. Rejea ripoti ya CAGMwendazake kwanini alikurupuka kusaini mikataba huku akijua hamna hela??
Au ndio alikuwa anatafuta kiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimsingizie, hii ni purely awamu tuliyonayo. Rejea ripoti ya CAGMwendazake kwanini alikurupuka kusaini mikataba huku akijua hamna hela??
Au ndio alikuwa anatafuta kiki
Basi weka picha kama kweli upo site😎... nikiwa site hapa BUKENE,..
Mie sio muajiriwa wa YAPI MERKEZ Bali huwa Kuna vifaa tunarekebisha hasa vya hizi international company zinazohusika na ujenzi na YAPI MERKEZ akiwa mmoja wao, lakini wafanyakazi wamechoambiwa nikawamba kampuni haitoendelea nakazi, itawalipa mishahara ya miezi miwil ijayo, itawapa na stahiki zao zote ikiwa nipamoja na NSSF, usiulize Kwa Nini pamoja na nssf zao ikiwa YAPI hahusiiki na NSSF haya nimambo ya ndani ya kampuni. Kwahio wajiandae waondoke , na batch yakwanza majina na stahiki zao yalitoka Jumatatu iliyopita, batch ya pili nikeshokutwa.Hivyo hapo bukene umeambiwa ukapumzike nyumbani hadi watakapo kuita tena sio?
Niweke picha ya aina gani mkuu?.Basi weka picha kama kweli upo site😎
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ina maana Lucas Mwaashambwa hajalipwa fedha ili aweke bundle?
Weka picha wakati jamaa wanafungasha virago😎Niweke picha ya aina gani mkuu?.
Wazungu wanakwenda likizo kwao kwa hiyo kazi hazitaendelea. Wafanyakazi wanatakiwa kuondoka site wakale sikukuu makwao na kama wamelipwa mishahara miwili basi ni sahihi mwajiri lazima akulipe hata kama uko likizo. NSSF zinalipwa kila mishahara inapolipwa hivyi hilo sio tatizo. anaetakiwa kudai NSSE ni mwajiriwa sio mwajiri ili awalipe waajiriwa........Mchina hana dini wala sikukuu. wao wana sikukuu moja tu hivyo wanaendelea na kazi.Mie sio muajiriwa wa YAPI MERKEZ Bali huwa Kuna vifaa tunarekebisha hasa vya hizi international company zinazohusika na ujenzi na YAPI MERKEZ akiwa mmoja wao, lakini wafanyakazi wamechoambiwa nikawamba kampuni haitoendelea nakazi, itawalipa mishahara ya miezi miwil ijayo, itawapa na stahiki zao zote ikiwa nipamoja na NSSF, usiulize Kwa Nini pamoja na nssf zao ikiwa YAPI hahusiiki na NSSF haya nimambo ya ndani ya kampuni. Kwahio wajiandae waondoke , na batch yakwanza majina na stahiki zao yalitoka Jumatatu iliyopita, batch ya pili nikeshokutwa.
Kwani YAPI MERKEZ wameanza kazi mwaka huu hapa nchini?. Navipi YAPI MERKEZ wamekua wazungu lini?. Nasikuku ya Waturuki unaifahamu kweli?. Jielimishe kwanza bos, lengo lakuwalipa mishahara ya miezi miwil na stahiki zao nikuvunja mikataba yao.Wazungu wanakwenda likizo kwao kwa hiyo kazi hazitaendelea. Wafanyakazi wanatakiwa kuondoka site wakale sikukuu makwao na kama wamelipwa mishahara miwili basi ni sahihi mwajiri lazima akulipe hata kama uko likizo. NSSF zinalipwa kila mishahara inapolipwa hivyi hilo sio tatizo. anaetakiwa kudai NSSE ni mwajiriwa sio mwajiri ili awalipe waajiriwa........Mchina hana dini wala sikukuu. wao wana sikukuu moja tu hivyo wanaendelea na kazi.
Acha unafiki uchwara wa ufipa😎
Mie sijawahi kuwa ufipa Wala CCM.Acha unafiki wa ufipa😎
Shauri yako.😎Mie sijawahi kuwa ufipa Wala CCM.
Mama anupiga mwingi, lakini hapa Kwa lot no 4 kafeli mkuu.Shauri yako.😎
Mie sio muajiriwa wa YAPI MERKEZ Bali huwa Kuna vifaa tunarekebisha hasa vya hizi international company zinazohusika na ujenzi na YAPI MERKEZ akiwa mmoja wao, lakini wafanyakazi wamechoambiwa nikawamba kampuni haitoendelea nakazi, itawalipa mishahara ya miezi miwil ijayo, itawapa na stahiki zao zote ikiwa nipamoja na NSSF, usiulize Kwa Nini pamoja na nssf zao ikiwa YAPI hahusiiki na NSSF haya nimambo ya ndani ya kampuni. Kwahio wajiandae waondoke , na batch yakwanza majina na stahiki zao yalitoka Jumatatu iliyopita, batch ya pili nikeshokutwa.
Milard habari zake za kusifuMilady na etl hawezi Kuta Wana Post Hii habari
Tatizo una kaushabiki ka kinafiki inakuwa vigumu kukuamini😎😎😎Mama anupiga mwingi, lakini hapa Kwa lot no 4 kafeli mkuu.
Huu mradi wanauletea figisu tuMatakataka ya mama yatakwambia mama amefungua nchi
Ndipo ikatavyokuwanawaambieni baada ya miaka 5 watu wataanza kung'oa mataluma ya reli vyuma chakavu. Sasa hivi watu wapo busy na uchawa kuelekea 2025.
Na bado tutasema tu, huu ni mwanzo.