We Jamaa nilijua nimuelewa kampuni yetu haipo Bukene, bali ipo Dar lkn huwa tunaitwa na makampuni ya ujenz hasa haya ya international kufanya baadhi ya kazi, so nipo hapa Kwashughuli maalumu na Jumatatu nageuka zangu DSM, hata mwezi uliopita nilikua BBN bandarini Tanga, REYNOLDS mang'ula Morogoro, nilikua CPPE Tanga, nilikua CCEC Zanzibar, nilikua CHINA RAILWAY LINDI, nilikua hapo Morogoro, nilikua na BUILDSOL MPIJI BLOCK NO 6, nilikua na ADVENT, hio nikuanzia mwezi November mpaka Sasa nipo huku, lkn ntarajia pia JWIL pangani, nategemea kwenda TECLAB Uganda, nategemea kwenda CHICO kibondo. Ukitaka ujue tunafanya shughuli Gani hayo hayakuhusu.