Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutajie faida zake kwa sasaAndika pia na faida za bwawa hilo kwa ukuaji wa.uchumi wa nchi yetu,"pathetic"
Mkuu hukusikia Jiwe anakwambia wakubwa wamegawana gesi? Ile gesi Maccm yaliigawa kwa hati ya dharula haraka haraka wala hakuna namnaMradi wa gesi umeishiwa wapi?? Kwa nini wang'ang'ane na vitu vua uharibifu wakati vitu vyenye madhara madogo tena gharama nafuu na very effective vipo??
Hata mimi kwa kweli mwenye kujua aje anisaidie piaNataka kujua maana ya hili jina STIEGLER’S gorge
Tafiti zingine ni upuuzi mtupu!Katika hili anastahili kukosolewa, katika dunia ya leo utafiti ni kitu mhimu. Huwezi kipinga ripoti ya utafiti bure bure tu.
Utafiti wa jua na mradi tazara ukisikia mavi ukanye kawe au? Na mtu anaekuambia hvyo ana PhD khaaaKatika hili anastahili kukosolewa, katika dunia ya leo utafiti ni kitu mhimu. Huwezi kipinga ripoti ya utafiti bure bure tu.
Cha msingi ni kupambana na hujuma tu,hujuma ni kikwazo kikubwa sana,watu hutanguliza ubinafsimoja ya matatzio ya watanganyika ni UJINGA.
WA KUTOYATAMBUA/KUYAKABILI MAZINGIRA YAO.
mradi Unaweza fanyika lakini je?kuna mpango mkakati wa kuitunza na kuifadhi ecology na mfumo wa pale??? nisingeprnda yale ya kihansi yajitokeze
ahahaa nimekukubal mangataraKuna sehemu nampenda rais wangu kwa moyo wangu wooote kabisa kabisa. Bonde la mto Rufiji lipo kwetu. Mtu asitupangie cha kulitendea bonde letu. Hao walionunuliwa na mabepari kwa vijiallowance vyao wasituyumbishe. Tunataka tuwe na umeme hadi mwingine tuuweke kapuni kwa matumizi yasiyo ya lazima. Umeme wa maji ndio pekee wa gharama ya chini. Msitupangie cha kufanya na bonde letu tulilopewa na Mungu. Natamani kusikia tu kuwa Kazi imeanza
Una akili sanaUtafiti hupingwa kwa utafiti.
Uzalendo kisiwe kisingizio cha kiharibu taaluma yako kama wakina prof mruma.