Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Huwezi jua,wengine tunakula keki ya taifa vizuri tu!Mtapata tabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi jua,wengine tunakula keki ya taifa vizuri tu!Mtapata tabu sana
Wewe mwenyewe hujui, kujipendekeza tu. Ainisha vizuri andiko lako tukuelewe...Kuna Wataalamu koko waliopendekeza kuwa vyoo vijengwe kilomita 10 kutoka mradi wa umeme wa Stigler gorge ulipo kwa kusema utachafua mazingira vyoo vikiwa eneo la mradi!!!!!.Mbona vyoo visivyochafua mazingira vipo .ukiwa Na mikutano au sherehe mbona watu huvileta? Hao Wataalamu koko hawajui hilo kuwa viko vyoo visivyoharibu mazingira? Hadi watoe ushauri wa kijinga kama huo? Timua wote
Ww umebakia na wivu kwa makonda, dah! Jamaa ww noma sanaHuwezi jua,wengine tunakula keki ya taifa vizuri tu!
Kina nani? Watanzania?Mtapata tabu sana
Ofisi ya mazingira iko chini ya makamo Wa rais ....wataalamu hawa wako chini yake, ripoti iliyotoka imepitia kwake,....nashukuru kutujulisha kuwa yeye ni koko pia....aanze kumtimua Makamu wake !Kuna Wataalamu koko waliopendekeza kuwa vyoo vijengwe kilomita 10 kutoka mradi wa umeme wa Stigler gorge ulipo kwa kusema utachafua mazingira vyoo vikiwa eneo la mradi!!!!!.Mbona vyoo visivyochafua mazingira vipo .ukiwa Na mikutano au sherehe mbona watu huvileta? Hao Wataalamu koko hawajui hilo kuwa viko vyoo visivyoharibu mazingira? Hadi watoe ushauri wa kijinga kama huo? Timua wote
Nakwambia huwezi jua,wengine tulikuwa karibu sana na jukwaa uzinduzi wa Tazara overpass leo!Ww umebakia na wivu kwa makonda, dah! Jamaa ww noma sana
Ww kama unahangaika na makonda aidha kwa kutumwa au kwasababu zako binafsi unajichosha bure endelea na mambo mengineNakwambia huwezi jua,wengine tulikuwa karibu sana na jukwaa uzinduzi wa Tazara overpass leo!
Ndio defense uliyobaki nayo,umesikia hotuba ya makonda lakini?Ww kama unahangaika na makonda aidha kwa kutumwa au kwasababu zako binafsi unajichosha bure endelea na mambo mengine
Hata kama tunawaomba pesa (msaada-( grant) na sio mkopo kwa sababu mkopo ni hela yetu) pia hawana haki ya kutuamlia jambo lolote. Hili lieleweke kuwa hatutaki kusikiliza ushauri na kuutolea maamuzi sisi wenyewe.Ifike mahali kama hatuwaombi pesa ya kujenga hilo bwawa tuwe huru kujiamulia mambo yetu.
Hahahaa, ni kweli wananchi wameshaanza kupata tabu, juzi kwenye ajali serikali umewaacha wajiokoe wenyewe baada ya siku mbili ndipo serikali ikaja kuokoa mmoja.Kina nani? Watanzania?
Wataalamu waweza tumia utaalamu wao kumharibia mtu kazi au kupiga Vita mradi kwa Sababu za kisiasa labda hao Wataalamu koko ni Chadema wanaisadia Chadema inayopinga mradi kwa kupitia utaalamu koko wao au ni maajenti wa watu wa nje wasiotaka nchi ijitegemee kwa umeme au Wala rushwa waliohongwa Na makampuni ya kufua umeme.Makamu wa Raisi hatoki Ila Wataalamu wote walioandika Na kupitisha hilo pendekezo wote wafungishwe viragoOfisi ya mazingira iko chini ya makamo Wa rais ....wataalamu hawa wako chini yake, ripoti iliyotoka imepitia kwake,....nashukuru kutujulisha kuwa yeye ni koko pia....aanze kumtimua Makamu wake !
CHADEMA tena wanahusika???????daaah mnachosha aiseee!Wataalamu waweza tumia utaalamu wao kumharibia mtu kazi au kupiga Vita mradi kwa Sababu za kisiasa labda hao Wataalamu koko ni Chadema wanaisadia Chadema inayopinga mradi kwa kupitia utaalamu koko wao au ni maajenti wa watu wa nje wasiotaka nchi ijitegemee kwa umeme.Makamu wa Raisi hatoki Ila Wataalamu wote walioandika Na kupitisha hilo pendekezo wote wafungishwe virago
Walisema wameshajidhihiriahabkuwa hakuna ambaye yuko haiHahahaa, ni kweli wananchi wameshaanza kupata tabu, juzi kwenye ajali serikali umewaacha wajiokoe wenyewe baada ya siku mbili ndipo serikali ikaja kuokoa mmoja.
Wapo wafanyakazi wa serikali wana vitambulisho viwili cha serikali shingoni na matakoni wana cha chademaCHADEMA tena wanahusika???????daaah mnachosha aiseee!
Kwenye post yako nimeona neno moja tu, Makamu wa rais 'hatoki'.Wataalamu waweza tumia utaalamu wao kumharibia mtu kazi au kupiga Vita mradi kwa Sababu za kisiasa labda hao Wataalamu koko ni Chadema wanaisadia Chadema inayopinga mradi kwa kupitia utaalamu koko wao au ni maajenti wa watu wa nje wasiotaka nchi ijitegemee kwa umeme au Wala rushwa waluohongwa Na makampuni ya kufua umeme.Makamu wa Raisi hatoki Ila Wataalamu wote walioandika Na kupitisha hilo pendekezo wote wafungishwe virago
Wapumbavu tu ninyi,huyo waziri alikuwa wapi?Katibu mkuu wa wizara alikuwa wapi?Mtajibeba wenyeweWapo wafanyakazi wa serikali wana vitambulisho viwili cha serikali shingoni na matakoni wana cha chadema