Hata walimu wenyewe hakuna anayejua hesabu, kuandika tu ni shida, elimu ni kama unavyo mpira wa miguu ni ngumu nchi masikini kuchukua kombe la dunia na elimu hivyohivyo.Uko sahih watoto wengi pia was level za English medium wengi wankuwa wanalaini sna na hawajui hesabu wengi ,wengi Ni vilaza wa hesabu mno
Usiseme hatuna hela sema mimi sina hela.wataje hao watu so that we be sure if not talking about ghosts
Tabora School na Middle School(Native Authority) hizi nyingi zilikuwa za boding'i na karibuni majimbo yote(mikoa) zilikuwepo na baada ya uhuru zilikuwa chini ya serikal za mitaa(Local Authority)Zikikuwa private za dini za katoliki, Anglican ,Agha Khan nk serikali ya kikoloni haikuwa na shule za Serikali ilileta tu syllabus na mitihani ya Cambridge
Mkoloni hakuwa na shule hata moja ya serikali
Maneno kama ya mwanamke shangingi. Huu Uzi ni wanaume wanao tafuta hela na ambao wana jua ugumu wa hela. Wewe unakaa kwa shemeji huwezi elewa chochoteUsiseme hatuna hela sema mimi sina hela.
Hakuna faida yoyote ya kumtoa mtoto private school na kumpeleka st Kayumba.Shule Kama fezza mtoto atapata elimu nzuri,ila kwa mtoto wa kiume siyo nzuri,anakua laini Sana na mikato ya kike
Kuna hizi za private Ila siyo kizungu Sana,hizo zinafaa kwa mtoto wa kiume,hizo za hela Sana uzungu mwingi,maisha halisi ya nchi yake hayajui,anakua incompatible na jamii yakeHakuna faida yoyote ya kumtoa mtoto private school na kumpeleka st Kayumba.
Lakini yote maisha,na kama anajifariji bas ni njia nzuri kuliko njia ya kujistress mkuu.Mungu aendelee kumpigania huyu mpambanaji👊Unajua sisi masikini huwa tunajifariji sana tusionekane tumeshindwa au hatuna hela. Utasikia yeye anaishi kwenye ghorofa mimi kwenye nyumba ya kawaida ila usingizi ni ule ule.
Hapa duniani kuna watu wanaishi na wengine wanapambana ili waishi.
Kuna watu watoto wao wanasoma kwenye shule za hela, maendeleo anafanya, akimaliza mtoto anaenda kusoma nje ya nchi km Canada. Sisi masikini ukipata hela, una fake maisha ili uonekane na wewe una hela.
Kuna watu wanakaa hoteli ya nyota 5 mwaka mzima akifanya shughuli zake yaani kifupi hela kwake siyo tatizo.
Huyu bwana hakuwa na hela ila alifake maisha aonekane na yeye ana hela matokeo yake akarudi kwenye uhalisia.
Kuna watu wanahela na hela kwao siyo tatizo.
Anajisifia baada ya kuwarudisha shule za kayumba amewanunulia kiwanja, sijui atawajengea nyumba na hapati stress za ada. Huyu hakuwa na hela tu alifake maisha.Uko sahihi sana watu wanalazimisha shule sio za level zao.
MO DEWJI alosomeshwa IST sababu ndio uwezo wa familia yao utajiri mkubwa ulikuwa upo kwenye familia yao. Hakuwai kusimamishwa asiende shule kisa ada.
Na wala baba yake hakuwai kwenda kukopa hela ya Ada ili amlipie Mo dewji IST.
Mo dewji hakuwai kuzunguka na bahasha kutafuta ajira ama kazi
MO DEWJI WAKATI YUPO A LEVEL ( HIGH SCHOOL ) baba yake alikuwa ananunua shirika la National milling kutoka kwa serikali kwa mabilioni ya pesa.
Tukumbuke kuishi kiuhalisia bila kufake maisha.Lakini yote maisha,na kama anajifariji bas ni njia nzuri kuliko njia ya kujistress mkuu.Mungu aendelee kumpigania huyu mpambanaji👊
AminaTukumbuke kuishi kiuhalisia bila kufake maisha.
Wengine pesa wanazo kuna sehemu nilikaa nikashangaa mzazi ana hela anasomesha mtoto kayumba kisa anasema anataka mwisho wa siku mtoto akimaliza form six aje apate mkopo bodi ya elimu ya juu bila shidaTafuta hela wapeleke watoto shule nzuri
Huyo alikuwa ana fake maisha. Mtoto wa Samia, Majaliwa, MO, Bakheresa, Jafo, Mwigulu nchemba na Diamond unaweza kuwakuta kwenye shule za kayumba?Hakuna faida yoyote ya kumtoa mtoto private school na kumpeleka st Kayumba.
Usiandike km umekatwa kichwa. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu anayetafuta hela na mwenye hela.Maneno kama ya mwanamke shangingi. Huu Uzi ni wanaume wanao tafuta hela na ambao wana jua ugumu wa hela. Wewe unakaa kwa shemeji huwezi elewa chochote
Level ya shule za msingi sidhani kulikuwa na shule hata moja ya serikali kipindi cha mkoloni .Zote zilikuwa za private English medium SchoolsTabora School na Middle School(Native Authority) hizi nyingi zilikuwa za boding'i na karibuni majimbo yote(mikoa) zilikuwepo na baada ya uhuru zilikuwa chini ya serikal za mitaa(Local Authority)