cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Nenda kapime nae afya kwanza
Halafu nakushauri baki nae kwanza usimuache watoto wadogo hao .
Mpe nafasi coz kila mtu huliwa na kula hata wewe unakula huko nje
We tulia nae tu Kama unataka mpe pyschological torture Hadi ajirudi mwenyewe then mpe mkataba mmoja mgumu Sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNi kumfahamisha hata kama wanaachana ajifunze kutokana na hili huko anakokwenda asirudie kosa. Si ajabu alikua ana pet pet kumbe bangi man anafanya kweli.
AhahahahahahahahhahIshawahi nikuta hii aisee sitakaa nisahau japo nilikuwa nashuhudia moves za jamaa toka anaingia! Mpaka demu anabeba viatu vyake anaviingiza ndani! Nikawakurupua kabla hawajaanza sex
Kuna jamaa angu amekuwa akitegwa na mke wa mtu tena ndoa changa hata miezi sita haijesha.Sema hii hatari yani mwanamke Ndio anafosi kwenda kupigwa nao,aisee.....
Ila ni ufahari mwanaume kuwa mzinzi 🤔Ushauri wa kiroho: Kama utaendelea kuishi na huyo mwanamke basi unajiingiza mwenyewe kwenye shimo la mauti.
Ni aibu sana mwanamke kuwa malaya.
Mithali 5:1-
Hivi kuna mwanamke mwenye akili timamu na utashi, tena anayejiheshimu na kujitambua, akadate na boda boda? Yaan nikiona mwanamke anadate na boda boda hata niwe namuheshimu kias gan, namshusha vyeo vyote wallah.Jana nimepanda bodaboda nashuka,dogo ananiambia madam mwalimu Fulani pale kazini kwenu nimemla juzi..halafu mmewe mambo safi anamuwekea mafuta full tank anahudumia familia 100% daahh!!!nimechoka na mmewe namjua baasi niliumia roho mnoo...
Dogo nimembishia kanambia hivi next time nikimla ntakushtua uje ukae pembeni ya gesti uone tunavotoka...!!!
Seriously wake za watu ni malaaaaaaya kuliko wasoolewa...!!!
Walikuona ndezi... Yaani wakakufata kabsa na jamaa akakufata kukueleza huo ungese?? We Mola nitie nguvuMkuu ameliwa huyo... Mimi nilimkuta demu anatoka guest kabisa na jamaa afu hakukubali kama alienda kucheat yani unaweza hata kucheka, mbaya zaidi wakapanga na jamaa niliyemfuma nae akanifata kuniambia kuwa hakuwa amemla na mule sio guest wakati mtaa naujua na guest naijua kabisa.. hapo ndio nikaamini hawa watyu sio! Bro maisha yana mambo mengi ya kufany
Sasa dea, hata asipoenda kazin itabadilisha ukweli? Au kipi kitabadilika? Lazima maisha yaendelee hakna namna.Yaani huyo wala hajutiii na hajali wala nini!
Ouk sorry kwa hilo, na ahsante kwa kunielewesha sasa.cocastic
Jitahidi kupunguza hasira pindi unapoelezea hisia zako. Upo huru kunipinga ninachosema, ila unaponiattack kwa kuniita mm ni mnafiki kwa kuelezea mtazamo wangu, nahisi unanikosea.
Turudi kwenye mada. Siwezi kumshauri mwanamke, wakati aliyekuja kuomba ushauri ni mwanaume. Binafsi sipendelei mahusiano yenye watu zaidi ya wawili, ndio maana jamaa nimempa ushauri huo. Hata ingekuwa ni bi dada ndio amekuja kuomba ushauri, still ningemshauri the same. Kama upo na mtu ambae ameanza kutoka na mtu mwingine tofauti na wewe, jitoe kwenye mahusiano, thats Me.
Sababu ya kijinga sna hii, kwahio nikifanya kosa na wewe unafanya kosa ndio justification yake? Usimuache na usiondoke hapo. Take heart, imagine maisha bila watoto wako, kwani si una mchepuko? Usiondoke hapo, narudia usiondoke kwenye hio nyumba na wala usithubutu kuwaacha watoto wako.2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
Bora hata wee umesema.Muosha huoshwa. Wewe si ulikuwa ykalale kwa mchepuo ndipo uenda nyumbani Leo? Tena ningekuwa mimi.ni mwanamke na ni mke wako ningekulipizia kisasi cha michepuko mpaka uombe poo. Mkuki kwa nguruwe mtamu ila kwa binadamu mchungu. Nikuambie tu pamoja na wanaume wenzangu siku mke wako au mapenzi wako anayekupenda sana akitambua umemsaliti kisasi chake huwa siyo chepesi.
Huna haja ya kumuacha mke maana na wewe unamwibia kimapenzi. Muyamalize na wote muache michepuko. Mlee hao watoto maana mkicheza mtaachana na hao watoto watakutana na miziki ya wazazi wa kambo (baba na mama wa kambo).
yaani natype nafuta natypee nafuta..Sema hii hatari yani mwanamke Ndio anafosi kwenda kupigwa nao,aisee...
Jana nimepanda bodaboda nashuka,dogo ananiambia madam mwalimu Fulani pale kazini kwenu nimemla juzi..halafu mmewe mambo safi anamuwekea mafuta full tank anahudumia familia 100% daahh!!!nimechoka na mmewe namjua baasi niliumia roho mnoo...
Dogo nimembishia kanambia hivi next time nikimla ntakushtua uje ukae pembeni ya gesti uone tunavotoka...!!!
Seriously wake za watu ni malaaaaaaya kuliko wasoolewa...!!!
Kwa mtazamo wako huo, na mie mantiki yangu sina hata haja ya kujadili hilo.Ni kweli usemalo, lakini ulishawahi kujiuliza kwa nini mwanamke akimfumania mume, mwanamke humpiga mwanamke mwenzie? Je, ulishajiuliza kwa nini mwanaume akimfumania mke anaweza kumuua mke?.. Saikolojia ya mwanamke na mwanaume ktk usaliti ipo tofauti sana. Btw: nimempa option ya kuchagua. Ndoa ni ya wawili.. Karibu kwa mjadala dada yangu japo unatetea usawa lakini pia tuzitazame kwa kina tofauti za maumbile baina yetu na zinavyofanya kazi
Okay, shukrani [emoji120]Ouk sorry kwa hilo, na ahsante kwa kunielewesha sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahWa Kumlaumu ni huyo mchepuko wako alielala wakat ulimwambia unakuja sa hv ungekua unapata breakfast hotelin bila shida