AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Kama umepima TZ umedanganywa wale Wanasema Yes kwenye kila chunguzo. Hawataki watoto yatimaMiezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
😅 inaonekana upo serious sana usihofu hizi ajira za afya zilizotolewa utapata... Kijana usijione unajua sana ethics za kazi, hakuna cha ajabu si kila majibu yanayotolewa ktk vituo vya afya yanakua ya kweli, kuna wakat utapewa majibu kulingana na presha au saikolojia yako uliyonayo wakati huo... Karibu ktk kada ya afya utajifunza mengi tofaut na hayo uliyokaririshwa darasani...Boss unaingilia miongozo ya afya, mambo ya afya hayachezewi hivyo sawa mkuu. Kukuambia urudi baada ya miezi 3 ni kwasababu incubation period ya ukimwi ni miezi 3 kabla ya hapo kwavipimo huwezi kuuconfirm. Ya mtaani yaache mtaani, wakikucheleweshea kukuanzishia dose kama una ukimwi kweli utaishi kwahali mbaya hata ukianza dose baadae. Afya sio siasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ukijua maana ya damu ni nzito kuliko maji utanielewa.Mkuu hisia ni hisia ila siukweli, naunahisi juu ya matendo ya mama yao ila siwatoto. Tutumie hekima na akili kama wanaume, sio hisia. Kwahisia mwanamke aweza kukudhania unacheat ila wewe wala hufanyi hivyo. Tujitofautishe natukubali makosa kama hisia zako ni zauongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo jamaa uhakika mdogo. Watakuwa walimcheki Kwa mbali mapigo yake ya moyo wakagundua jamaa atadondoka wakafanya counter attack techniques. [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
Ila unaroho ngumu sana [emoji134][emoji134][emoji134]Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
😂😂😂 asante chief, ila mimi siwahospitali. Nifanye kazi tamisemi, wakati nilipo huku pananitosha.😅 inaonekana upo serious sana usihofu hizi ajira za afya zilizotolewa utapata... Kijana usijione unajua sana ethics za kazi, hakuna cha ajabu si kila majibu yanayotolewa ktk vituo vya afya yanakua ya kweli, kuna wakat utapewa majibu kulingana na presha au saikolojia yako uliyonayo wakati huo... Karibu ktk kada ya afya utajifunza mengi tofaut na hayo uliyokaririshwa darasani...
😂😂😂😂 achana na hisia zitakuua. Misemo ilikuwepo naitakuwepo mingi bali sio kila msemo utauapply maishani mwako. Uliambiwa kizazi hakizai haramu, siumeukataa hapo au ulikosea chief😂😂😂ukijua maana ya damu ni nzito kuliko maji utanielewa.
Ukiona mtoto wako mpaka upime DNA basi una tatizo.Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
Kwani kuna tatizo kuthibitisha?Hii ni chokochoko ambayo binadamu haiwezi
Safari moja ya kupima huanzisha safari nyingine ya wengine kuthubitisha
Sio kwamba natania mkuu, hii issue aliisema akiwa bungeni nakumbuka ilikua kipindi cha jiwe!!Umejuaje, nna jack daniels hapa ila comment ya Upepo wa Pesa inanitafuta ubaya, hahahaaa
Nadhani ungenambia una imani na dokta aliyepima kwa sababu ni mtu wako wa karibi maana hawezi chakachua wewe unasema una imani na wakili!Mkuu nina imani na wakili aliosimamia hili swala
Aliisema bungeni mkuu!! Ilikua kipindi cha magu..Hawezi kutamka huo ujinga mkuu. Utakuwa umebuni au umesikia stori za vijiweni.
Tupe gharama mkuu kama ni kweli.Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
Mkemia mkuu hawezi ongea hivyoKuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
Mtoto akipimwa DNA hawezi jua labda umwambie ,kwa mkemia zinaenda samples kama nywele ,kucha,mate au damuHiyo ni roho ya ubinafsi, na inaweza fanya mtoto kuwa mnyonge hata kupunguza upendo, katika maisha ya dunia hii hakuna ajuae kesho.. unachoweza kukitaa leo kumbe kesho kimeandaliwa kuwa kama daraja kwako... Siwezi mpima mtoto DNA .. mtoto anapotungwa mimba hakuna alichopanga anazaliwa tu hana makosa awe wako au sio wako
Mwaga maelezo ya kinaDNA za bongo ni uongo Nina ushahidi na Jambo hili Kuna scandle ilimpata uncle wangu hizo DNA za bongo Ni Aibu tupu