Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Dodoma uko geti jeusi njia ya kwenda mirembe!! Wazee wa suti nyeusi
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu Sana pm hutajutia nakumbia hutajutia
 
Vipi akishafika 33 na hajaona? Hapo ataruhusiwa kuwa desperate? Ushauri huu umamfaa iwapo tu amejiandaa kwa matokeo yote mawili...kupata au kukosa. Kama ndio wale wanaoamini kwa vyovyote vile ni lazima aolewe acha tu atafute mapema, akiibuka na furushi atapambana nalo mbele ya safari hitaji lake litakuwa limetimia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna umri sahihi wa kuwa desperate kwa ajili ya mume /mke vitu vingine kama ndoa na mahusiano vinakuja automatically ni yeye tuu kutukiza akili na kumchagua wake wakuishi nae
Ndio maana namwambia muda ukifika hata afikishe ama azidi miaka hiyo atampata wake hiyo ndio asili
 
Mume npo...nahitaj yafatayo:

1.unachura? (kama yupo ni lain au gumu?)

2.unabikra?

3.vp chuchu ni msumari au ndala?

km hvo vtu unavyo ni PM tumalze shughuli[emoji1]
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app

Lamuhimu kabisa hukuainisha

UNA CHURA?
 
Pole sana dada. Tatizo kubwa kiupande wako kwa stage uliyonayo sasa ni dini yako. Ungelikua Muislamu au upo tayari kuolewa na Muislamu naamini tayari ungelikua ushapata mtu,
Waisilamu ni wepesi wakuoa. Na kubwa zaidi wanaweza kuoa zaidi ya mke mmoja. Nahili ndio litakua advantage kiupande wako.
Mana kiuhalisia kwa mazingira kama yako career oriented women munakua wagumu sana kwenye ndoa. Hamupo tayari kuwa chini au kutumia mda wako mwingi kwa ajili ya mume. Na wanaume wengi bila ya kupata mke anaetumia mda mwingi kwa ajili yake wenyewe wanaita (wife material) basi haridhiki.
Sasa ukipata mwanaume mwenye mke mwengine maana yake huyo mwenza wako atakupunguzia mzigo (majukumu ya ndoa) naweye utajipunguzia mzigo. Hapo sasa utaweza kubalance vizuri shughuli zako za kazi na familia yako.

Kwa ushauri wa ziada, ukihisi mambo bado yanakua magumu, hicho kipengele cha dini ningekushauri kiengue, italeta wepesi mkubwa kwako.
 
Mawazo ya Mungu ni tofauti na mawazo ya mwanaadamu,Wewe unataka wa vigezo vyako ila nae Mungu kuna ambaye ameshakupangia wa vigezo vyake ila hutaki kukubaliana na hilo,Omba mungu akuchagulie mwema wa maisha yako vigezo vingine achana navyo
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe upoje
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Tengeneza wa kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
We sijui unadhani MUNGU ni mzee Jolijo...!! umpeleke tu utakavyo

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Ninazo hizo sifa tuwasiliane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asanteni kwa wote mlioniandikia jumbe pm

Nimetoa namba kwa mtu mmoja tu ambaye aliugusa moyo wangu.

Bado tunafahamiana kama marafiki na ikimpendeza Mungu tutakuwa wachumba, nashukuru kwa ushauri wenu mzuri katika post yangu nitauzingatia sana

Naomba mtuombee tu na kututakia mema

Asanteni Mungu awabariki wana Jf wote

#Pm imefungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asanteni kwa wote mlioniandikia jumbe pm

Nimetoa namba kwa mtu mmoja tu ambaye aliugusa moyo wangu.

Bado tunafahamiana kama marafiki na ikimpendeza Mungu tutakuwa wachumba, nashukuru kwa ushauri wenu mzuri katika post yangu nitauzingatia sana

Naomba mtuombee tu na kututakia mema

Asanteni Mungu awabariki wana Jf wote

#Pm imefungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera, Ukiachana na Blah blah kua makini , Sio kuchanua mapaja uko ,baadae urudi tena humu na ID hiii hii. Mabaharia kilichopo kichwan nikwamba utakua Umeliwa kwaiyo atakayefata naye atakua MTU wa masihara sababu sisi wanaume "Huwa hatumkubali mtu tukishajua tu aliliwa namtu tunayemjua au aliye toka ktk Jamii tunayoijua ..kwa ajili ya kutunza Heshima yetu, tunaogopa , 'Jamaa anataka kuoa Demu niliyemkanyaga ?'.. ndio maana unaona , Mimi Msukuma, Utashangaa naenda kuoa Mbeya ukooo , Ruvuma hahahah

Au hiii itakulazimu uje tena na ID nyingine




Jamaa ulopewa Namba, Tuwakilishe vzuri waoaji, hatutegemei kwa namna moja au nyingine baada yakula mzigo,uanze kutafuta sababu za kutoendana.



Zingatia sana sana.
 
Mtoa mada hujataja umri wa mwanaume unayemtaka.

Pia,
ilo suala la elimu kuanzia levo za vyuo Litakusumbua Sana ktk Kupata chaguo sahihi.

Ningependekeza ungelifuta, ukaweka vigezo vya MUHIMU zaidi.

Kwa maana skuhz,
Hata wapumbavu nao wanavika vyuo vikuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada hujataja umri wa mwanaume unayemtaka.

Pia,
ilo suala la elimu kuanzia levo za vyuo Litakusumbua Sana ktk Kupata chaguo sahihi.

Ningependekeza ungelifuta, ukaweka vigezo vya MUHIMU zaidi.

Kwa maana skuhz,
Hata wapumbavu nao wanavika vyuo vikuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajasema lazima aanzie levo ya chuo, amesema chini ya hapo anatakiwa awe anajiamini, hataki mambo mmekosana tu kidogo anakimbilia kusema 'unanidharau kwa sababu sijasoma' ....kosa la kibinadamu tu ambalo hata asiyejua kusoma na kuandika anaweza kukosea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom