Mrejesho wa Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika 3 - 4 January 2024

Mrejesho wa Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika 3 - 4 January 2024

Kuhusu Tume ya Haki, Ukweli, na Maridhiano, tunaweza kuangalia na kujifunza toka nchi rafiki ambazo ziliwahi kuunda tume hiyo.

Wazo la 4R linaonekana ni mikusanyiko tu wa maneno kwasababu halikufuatiwa na utekelezaji wa wazo hilo.

NB:

Kuhusu Abdullah Kassim Hanga unaweza kutafuta habari zake kwani suala lake limezungumziwa na wanaharakati wengi wa haki za binadamu. Lakini kwa kifupi ni kwamba alipotezwa na vyombo vya dola.
Unanikumbusha taarifa za mwandishi wa habari wa Saudi Arabia. Alipotelea ndani ya Ubalozi wa Saudia nchini Uturuki.

Kuhusu wazo la 4R. Hii dira ya kiongozi wa nchi namna anavyowaza nchi ya Tanzania iwe. Pakiwepo na utulivu ndani ya nchi maendeleo ya vitu na watu yanapatikana.

Kwahiyo ni wajibu kwa watendaji wa serikali kuanza kuiweka kwenye vitendo falsafa hii.
 
Kuna njia mbili zinazoweza kutumika.
Moja, kupitia Baraza la Wawakilishi wanaweza kuja na azimio la kura ya maoni (referendum).
Kuna Wabunge 5 kutoka BLW wanaoingia Bunge la JMT.

Pili, katika masuala yanayohitaji 2/3 katika Bunge la JMT ni suala la Muungano. Wazanzibar wanaweza kutumia 2/3 kudai referendum au ku-block kila agenda ndani ya Bunge wakidai mswada upelekwe wa referendum.

Kumbuka kwamba idadi ya Wazanzibar ndani ya Bunge la JMT inaweza kuathiri maamuzi hata yasiyo ya Muungano. Kwa hili la Muungano wanayo nafasi kubwa sana, hawajaweza kuitumia.

Lakini pia kuna njia yingine ya mkato, ni wao kukataa kuhudhuria mikutano ya Bunge, hilo tu linazuai shughuli zote za Bunge la JMT kwasababu Zanzibar haipo hata kama yanayojadiliwa ni ya Tanganyika! wierd eh!
Hapa kiongozi wangu unajichanganya sana. Hebu jaribu kuunganisha maelezo yako unayoyaandika kisha yaweke pamoja na uweze kupata logic yake.

Kwanza umesema zamani wazanzibar walikuwa hawataki muungano maana walikuwa wanasema kuwa wanaonewa. Ukasema kwa sasa wamegundua kuwa muungano upo na manufaa kwao. Sasa hao hao ambao wanapata manufaa eti ndio walalamike. Niambie sababu ya wazanzibar kutaka referendum ni zipi?

1. Wenye malalamiko ya kuonewa ni Wazanzibar. 2 Kanuni za kawaida ni haki kupewa mlalamikaji kama nilivyokupa mifano. Ethiopia haikupiga kura, Eritrea ilipiga, ndivyo ilivyokuwa kwa Scotland , Timor, Quebec Canada n.k.

Kumbuka kwamba Watanganyika wanapoteza zaidi kwa kuhudumia Muungano na SMZ kwa pamoja.
Yaani hapa umeandika contradicted statement. Yaani wanaolalamika ni Wazanzibar halafu Watanganyika wanapoteza zaidi kwa kuihumia Zanzibar. Which is Which? Kwahiyo Watanganyika hawana malalamiko? Hapa tunapojadili wewe ni mtanganyika na moja ya malalamiko yako ni haya ya Tanganyika kuihudumia Zanzibar.

Sijaju kwanini unakimbia kuongelea maridhiano. Lazima tuwe na common understanding. Kama tunataka kuendelea na muungano lazima wote pande zote mbili wahusishwe. Na kama wazo lako la kufanya referendum basi pande zote wafanye. Lakini sasa siyo tu kuongea kufanya referendum nani ambaye anayakiwa ku initiate?

Elewa Tanganyika ndio Tanzania kwasasa. Hakuna ''admin. structure'' inayoweza kusimama as 'an entity'.
Ni kwa msingi huo rasilimali za Tanganyika zinatumika kama za Muungano hata kule ambapo si pa muungano.

Ndani ya Bunge la JMT hakuna Wabunge wa Tanganyika, lakini kuna Wabunge wa Zanzibar! umeelewa?
Hakuna Mbunge wa JMT wa Bara anayeweza kufikisha mswada kwa niaba ya Tanganyika kwasababu haipo.

Bunge la Tanganyika ni la Muungano, Rais wa Tanzania basically ni wa Tanganyika, ataitisha vipi referendum ya Tanzania akadai ni ya Tanganyika!

Ni kwasababu hizo Tanganyika inakuwa abused kwa jina la Tanzania. Mfano, Zanzibar wanachukua kodi za TRA fedha za huduma za uhamiaji zinabaki huko.

Gharama za Wafanyakazi wa TRA na Uhamiaji zinalipwa na JMT kwasababu ni suala la Muungano ambazo ni kodi za Watanganyika kwa jina la Tanzania.
Unaona sasa!! Hapa unaendelea kukomelea msumari kuhusu malalamiko ya watanganyika. Na zaidi sana unazidi kujichanganya. Unaposema Rais wa Tanganyika ndiye wa muungano maana yake hatakiwi rais kutoka Zanzibar akawa Rais wa Tanzania? Bado sijakuelewa mantiki yako hapa. Ndiyo maana kunatakiwa kuwe na majadiliano ya kina na kuelewana tunataka kufanya nini kwa sasa.

Unasema Tanganyika imekuwa abused kwa jina la Tanzania. Je, hatuhitaji reforms?, Je hatuhitaji maridhiano? je, Hatuhitaji Rebuilding?
Kama tumegundua matatizo na makosa yaliyofanywa hapo nyuma hatuwezi kujisahihisha? Tuendelee tu kuongea na kuwalaumu watu kadha wa kadha badala ya kuchukua hatua na kuanza kwenda na falsafa ya 4R?

Wewe mapendekezo yako ni yapi?
Sheria zinatungwa na Bunge , zinafutwa na Bunge kila siku. Sheria inaweza kurudishwa na kuhuishwa
Hivi Kikosi kazi kimeanzishwa kwa sheria gani ya Bunge!
Sasa hiyo sheria unataka nani airudishe? Unaweza kumtaja mtu huyo? Kikosi kazi kwa kingereza tunaita task force. Kikosi kazi hakina madhara yoyote kwenye katiba. Je, unazijua hadidu za rejea za kikosi kazi?
Rasimu ya Warioba imebeba maoni ya Wananchi na ndipo pa kuanzia. Tunakwendaje mbele ndio mjadala.
Haya ya Mkandara si yametumia pesa, ni kwa sheria gani iliyoanzisha na kwa ridhaa ya chombo gani
Bado ndugu yangu unaongea kwa hasira tu bila mantiki yoyote. Mara unongelea kikosi kazi mara Mkandara. Unaondoka kwenye mada husika. Wewe umeleta ajenda ya katiba ya warioba ndiyo iwe katiba. Hayo yalikuwa ni mawazo yako. Lakini nikakuambia hiyo process yote kulikuwa na sheria inayo elekeza cha kufanya. Mengine unayoyaweka siyajui unayatoa wapi.
Wewe njoo na mawazo tangible ili tuweze kujadiliana achana na nadharia.
Idea yako ni kuwa UNATAKA KATIBA MPYA. Nikajibu hata mimi Ninataka hiyo Katiba mpya. Lakini utueleze ni
KWA UTARATIBU UPI?
25 nilisema kama 'nominal' tu kuonyesha ilivyo impossibe, ukweli ni kwamba hatuwezi kuwa na federation
Nkrumah, Nyerere, Biumediane, Gamal Abdel Nasar, Sekoutoure, Obote, walishindwa ! hawa wa leo hawawezi.
Sasa unasema miaka 25 halafu tafsiri yake unakuwa nayo wewe mwenyewe sisi tutaelewaje sasa. Miaka 25 ni michache mno katika utungaji wa katiba.
Sasa unataka katiba tunayoiunda isiweze kutazama mabadiliko haya? Nkurumah, Nyerere na wengine walifanya kwa sehemu zao na hawapo tena. Hao walipokuwepo hakukuwepo na Technology tuliyonayo leo. Leo hii tupo na AI tupo na Smartphone nk. Na kuwepo na EA federal state inawezekana sana sana. Kwahiyo tunapoamua kuwa na katiba mpya ni muhimu kuwa na fikra ya EA na Technology pia.
Falsafa! tafadhali tuache hili la 4R. Ni kupoteza muda hakuna falsafa yoyote!
Hatuwezi tukaacha, ni lazima tujadili na kutoa maoni yetu maana ndio mwongozo wa kiongozi wa nchi. Hatuwezi kukaa kimya tu eti tu member mmoja wa JF amekataa. Utaacha wewe kujadili lakini walio wengi watatoa maoni yao.

Hatuhitaji 4R kwa sheria za nchi, hayo ni maono ya mtu anaweza kuwa nayo.
Kama Taifa hatuoni umuhimu zaidi ya kupotezeana muda tu. Hivi hawa si walikuwa katika serikali zilizopita! kipi kipya walifanya zaidi ya umasikini miaka 60 leo wanakipi cha kusema.

Falsafa tuongelee akina Nyerere!
Nashangaa unaposema hatuhitaji 4R. Kwanini unawajumuisha na watu wengine? JItaje wewe binafsi. Falsafa zitakuwepo na zitaendelea kuwepo. Hata huko japan wapo falsafa yao ya 5S. Sasa Mwalimu Nyerere alikuwa na falsafa zake; kwahiyo wengine wasiwe na falsafa? Ni Nyerere pekee anayetakiwa kuwa na falsafa? Hapa sijakuelewa kabisa mantiki yako.

Watu wanakuwa na falsafa kwenye familia zao, watu wanakuwa na falsafa kwenye makampuni yao, watu wanakuwa na falsafa kwenye imani zao. Iweje nchi kama ya tanzania isiwe na falsafa? Watu wenye muono hafifu hawataona chochote kwenye falsafa hii ya 4R. Lakini kwa watu intellectual wanaona mwelekeo wake.

Hakuna mabadiliko ya sheria bila kufumua Katiba. Tume ya uchaguzi ipo kisheria utawezaje kubadili tume bila kugusa katiba. Sitaki mtu aamini ninachoamini , kila mtu ana mawazo yake na yaheshimiwe kama yangu pia.

Tunachosema wengine ni kwamba mikutano inayofanyika sasa hivi ni kupoteza muda, fedha na ulaghai tu hakuna chochote cha maana. Kama ndio 4R basi ni dead on arrival. Tunahitaji kuikwamua nchi !
Ona sasa unarudi huko huko. HAKUNA MTANZANI AMBAYE HATAKI TUWE NA KATIBA MPYA.
Tuchouliza katiba mpya tuipate kwa kutumia hatua zipi? Unapokuja na kuongea tu bila kuleta mapendekezo watanzania wakueleweje sasa? Rais amekuja na falsafa ya 4R wewe huitaki; sasa unataka falsafa gani?

Hata Yesu wote wahawakumuamini wakati alikuwa yeye ni mwokozi wao. Hata wewe upo na uhuru wa kuamini unachotaka kukiamini. Lakini imani isiyo na direction haina maendeleo yoyote.

Njoo na solution ya "TUNATAKA KATIBA, KWA NAMNA GANI TUIPATE?"
 
Tuko makini sana kwenye mambo ya kipuuzi puuzi, hapo hatujawahi kufeli. SMH
 
Kwanza umesema zamani wazanzibar walikuwa hawataki muungano maana walikuwa wanasema kuwa wanaonewa. Ukasema kwa sasa wamegundua kuwa muungano upo na manufaa kwao. Sasa hao hao ambao wanapata manufaa eti ndio walalamike. Niambie sababu ya wazanzibar kutaka referendum ni zipi?
Umeshasiki kitu kinaitwa ''mamlaka kamili''. Huwezi kuwa na mamlaka kamili katika Muungano.
Hakuna anaye define mamlaka kamili ni kitu gani. Ili kuondoa malalamiko hayo, Wadai referendum.
Which is Which? Kwahiyo Watanganyika hawana malalamiko? Hapa tunapojadili wewe ni mtanganyika na moja ya malalamiko yako ni haya ya Tanganyika kuihudumia Zanzibar.
Watanganyika hawana malalamiko! Wanachotaka ni kudhibiti 'abuse' inayotumiwa sasa hivi. Mifano
Kwanini Zanzibar wapewe 9% ya Bajeti ya Tanganyika ikiwa kuna mgao wao wa BoT n.k.
Kwanini Wazanzibar watumie huduma, gharama alipishwe Mtanganyika.
Kwanini Zanzibar wakusanye kodi, mishahara ya wakusanya kodi wa Zanzibar alipe Mtanganyika
Kwanini Mzanzibar aamue hatma ya mambo yasiyo ya muungano ndani ya Bunge
Kwanini Kodi za Watanganyika ziende mfuko wa jimbo Zanzibar! Watu 2.500 sawa na Ubungo watu milioni 1.
Kwanini Zanzibar itumie jina Tanzania kama uchochoro wa kodi kwa gharama za Watanganyika
Kwnini Zanzibar apewe mkopo na deni lilipwe kwa jina la Tanzania kupitia kodi za Watanganyika

Orodha ni ndefu sana,
Yote yanafanyika kwa 'abuse' ya jina Tanzania. Siyo malalamiko ni 'abuse' ya Rasilimali za Tanganyika
Sijaju kwanini unakimbia kuongelea maridhiano. Lazima tuwe na common understanding. Kama tunataka kuendelea na muungano lazima wote pande zote mbili wahusishwe. Na kama wazo lako la kufanya referendum basi pande zote wafanye. Lakini sasa siyo tu kuongea kufanya referendum nani ambaye anayakiwa ku initiate?
Simple, Tanganyika haihitaji Zanzibar! Wanaohitaji wafanye referendum waamue wanahitaji Muungano au la. Kama wanahitaji wakubali hakuna mamlaka kamili na wawajibike katika Muungano si kushiriki
Unaposema Rais wa Tanganyika ndiye wa muungano maana yake hatakiwi rais kutoka Zanzibar akawa Rais wa Tanzania? Bado sijakuelewa mantiki yako hapa.
Ni kweli kwasababu inahitaji kufikiri ili upate mantiki. Nitakusaidia
Hakuna Wizara, Taasisi, shirika au mamlaka ya ''Tanzania'' isiyokuwa na mbadala Zanzibar. Kama ipo nitajie moja tu

Kwa mantiki hiyo, kila kinachoitwa cha Muungano ni cha Tanganyika kwasababu Zanzibar kuna mbadala wake.
Kumbuka Zanzibar wanapohitaji ku 'abuse' wanatumia taasisi za Tanganyika kwa jina la Tanzania .
Mfano;
Mgonjwa toka Zanzibar anakujaTanganyika na kudai apelekwa India kwasababu yeye ni Mtanzania.
Wizara ya afya si ya Muungano. Mtanganyika hawezi kuhudumiwa na SMZ katika afya. Abuse ya jina.

SMZ inakataza Mtanganyika kumiliki ardhi. Mzanzibar anamiliki ardhi Bara kwa jina la Tanzania . Abuse

Rais Mwinyi alikuwa Mbunge wa Mkuranga kwa jina la Tanzania. Ni haramu Mtanganyika kufikiria hilo Zanzibar

orodha ni ndefu

Unasema Tanganyika imekuwa abused kwa jina la Tanzania. Je, hatuhitaji reforms?, Je hatuhitaji maridhiano? je, Hatuhitaji Rebuilding?Tunaridhiana na Zanzibar kwa lipi? Kwanini huelewi ! Hatuhitaji reform au rebuilding, tunahitaji kusimamisha 'abuse'

Kuna ''abuse'' kubwa sana, hivi kodi zinajenga Ofisi ya Mkamu wa Rais na Waziri mkuu Zanzibar kwa faida gani.

Ni kuweka majengo na kutengeneza ajira Zanzibar kwa jina la Tanzania na kuhudumiwa na kodi za Tanganyika. VP na PM hawana kazi Zanzibar. ''abuse' ya kodi za Tanganyika. Nyerere hadi Magufuli hayakuwepo haya.
Je, unazijua hadidu za rejea za kikosi kazi?
Nimezisoma , ni non sense. Kwamba Tatizo la Tanzania ni uwiano wa jinsia!
Nikajibu hata mimi Ninataka hiyo Katiba mpya. Lakini utueleze ni
KWA UTARATIBU UPI?
Rasimu ya Warioba irudishwe. Mswada upelekwe, sheria zinatungwa na kufutwa na Bunge.
Kwani sheria gani ilianzisha kikosi kazi?
Hatuwezi tukaacha, ni lazima tujadili na kutoa maoni yetu maana ndio mwongozo wa kiongozi wa nchi.
Endelea kujadili 4R
Hatuwezi kukaa kimya tu eti tu member mmoja wa JF amekataa. Utaacha wewe kujadili lakini walio wengi watatoa maoni yao.
Wananchi wamegoma! sijui una umri gani! ukirejea 'slogan' za waliopita hili Wananchi wamegoma.Maoni yangu
Ni Nyerere pekee anayetakiwa kuwa na falsafa? Hapa sijakuelewa kabisa mantiki yako.
Hutanielewa, tuachie hapa maana tutavuka mipaka. Viatu vya Nyerere wapo wasioweza kuvibeba.
Watu wanakuwa na falsafa kwenye familia zao, watu wanakuwa na falsafa kwenye makampuni yao, watu wanakuwa na falsafa kwenye imani zao. Iweje nchi kama ya tanzania isiwe na falsafa? Watu wenye muono hafifu hawataona chochote kwenye falsafa hii ya 4R. Lakini kwa watu intellectual wanaona mwelekeo wake.
Falsafa ya nchi ni maono ya Wananchi siyo maoni ya Mwananchi.
Unapokuja na kuongea tu bila kuleta mapendekezo watanzania wakueleweje sasa? Rais amekuja na falsafa ya 4R wewe huitaki; sasa unataka falsafa gani?
Katiba haiandikwi kwa 4R au kikosi kazi. Katiba ni nyaraka shirikishi iliyobeba maoni na maono ya Wananchi kama alivyofanya Jaji Mzee Warioba, Mzee Butiku na Mzee Salimu.

Hawa Wazee ni hazina, wanaijua Tanzania walikwenda kuwasikiliza Wananchi. Kikosi kazi kimefanya ''survey' .
Njoo na solution ya "TUNATAKA KATIBA, KWA NAMNA GANI TUIPATE?"
Turudi kwenye Rasimu ya Warioba iliyobeba maoni yetu. Upelekwe mswada wa mchakato.
Lichaguliwe Bunge la Katiba lisilo na Wanasiasa bali wawe sehemu ya Bunge. Tuendelee kuanzia hapo.

Kikosi kazi ni kupoteza muda na rasilimali, zaidi ya kutaka usawa wajinsia katika vyama Kikosi kazi hakikuwa na chochote kipya zaidi ya Rasimu ya Warioba.

Kikosi kazi kimetuletea hoja ya kwamba '' Vyama vya siasa viwe na uwakilishi wa 50/50' katika uongozi.
Pamoja na umasikini uliotopea hili ndilo tatizo kuubwa saaaana la Watanzania. Kikosi kazi! Mungu ibariki Tanzania
 
Umeshasiki kitu kinaitwa ''mamlaka kamili''. Huwezi kuwa na mamlaka kamili katika Muungano.
Hakuna anaye define mamlaka kamili ni kitu gani. Ili kuondoa malalamiko hayo, Wadai referendum.

Watanganyika hawana malalamiko! Wanachotaka ni kudhibiti 'abuse' inayotumiwa sasa hivi. Mifano
Kwanini Zanzibar wapewe 9% ya Bajeti ya Tanganyika ikiwa kuna mgao wao wa BoT n.k.
Kwanini Wazanzibar watumie huduma, gharama alipishwe Mtanganyika.
Kwanini Zanzibar wakusanye kodi, mishahara ya wakusanya kodi wa Zanzibar alipe Mtanganyika
Kwanini Mzanzibar aamue hatma ya mambo yasiyo ya muungano ndani ya Bunge
Kwanini Kodi za Watanganyika ziende mfuko wa jimbo Zanzibar! Watu 2.500 sawa na Ubungo watu milioni 1.
Kwanini Zanzibar itumie jina Tanzania kama uchochoro wa kodi kwa gharama za Watanganyika
Kwnini Zanzibar apewe mkopo na deni lilipwe kwa jina la Tanzania kupitia kodi za Watanganyika

Orodha ni ndefu sana,
Yote yanafanyika kwa 'abuse' ya jina Tanzania. Siyo malalamiko ni 'abuse' ya Rasilimali za Tanganyika

Simple, Tanganyika haihitaji Zanzibar! Wanaohitaji wafanye referendum waamue wanahitaji Muungano au la. Kama wanahitaji wakubali hakuna mamlaka kamili na wawajibike katika Muungano si kushiriki

Ni kweli kwasababu inahitaji kufikiri ili upate mantiki. Nitakusaidia
Hakuna Wizara, Taasisi, shirika au mamlaka ya ''Tanzania'' isiyokuwa na mbadala Zanzibar. Kama ipo nitajie moja tu

Kwa mantiki hiyo, kila kinachoitwa cha Muungano ni cha Tanganyika kwasababu Zanzibar kuna mbadala wake.
Kumbuka Zanzibar wanapohitaji ku 'abuse' wanatumia taasisi za Tanganyika kwa jina la Tanzania .
Mfano;
Mgonjwa toka Zanzibar anakujaTanganyika na kudai apelekwa India kwasababu yeye ni Mtanzania.
Wizara ya afya si ya Muungano. Mtanganyika hawezi kuhudumiwa na SMZ katika afya. Abuse ya jina.

SMZ inakataza Mtanganyika kumiliki ardhi. Mzanzibar anamiliki ardhi Bara kwa jina la Tanzania . Abuse

Rais Mwinyi alikuwa Mbunge wa Mkuranga kwa jina la Tanzania. Ni haramu Mtanganyika kufikiria hilo Zanzibar

orodha ni ndefu

Unasema Tanganyika imekuwa abused kwa jina la Tanzania. Je, hatuhitaji reforms?, Je hatuhitaji maridhiano? je, Hatuhitaji Rebuilding?Tunaridhiana na Zanzibar kwa lipi? Kwanini huelewi ! Hatuhitaji reform au rebuilding, tunahitaji kusimamisha 'abuse'

Kuna ''abuse'' kubwa sana, hivi kodi zinajenga Ofisi ya Mkamu wa Rais na Waziri mkuu Zanzibar kwa faida gani.

Ni kuweka majengo na kutengeneza ajira Zanzibar kwa jina la Tanzania na kuhudumiwa na kodi za Tanganyika. VP na PM hawana kazi Zanzibar. ''abuse' ya kodi za Tanganyika. Nyerere hadi Magufuli hayakuwepo haya.

Nimezisoma , ni non sense. Kwamba Tatizo la Tanzania ni uwiano wa jinsia!

Rasimu ya Warioba irudishwe. Mswada upelekwe, sheria zinatungwa na kufutwa na Bunge.
Kwani sheria gani ilianzisha kikosi kazi?

Endelea kujadili 4R

Wananchi wamegoma! sijui una umri gani! ukirejea 'slogan' za waliopita hili Wananchi wamegoma.Maoni yangu

Hutanielewa, tuachie hapa maana tutavuka mipaka. Viatu vya Nyerere wapo wasioweza kuvibeba.

Falsafa ya nchi ni maono ya Wananchi siyo maoni ya Mwananchi.

Katiba haiandikwi kwa 4R au kikosi kazi. Katiba ni nyaraka shirikishi iliyobeba maoni na maono ya Wananchi kama alivyofanya Jaji Mzee Warioba, Mzee Butiku na Mzee Salimu.

Hawa Wazee ni hazina, wanaijua Tanzania walikwenda kuwasikiliza Wananchi. Kikosi kazi kimefanya ''survey' .

Turudi kwenye Rasimu ya Warioba iliyobeba maoni yetu. Upelekwe mswada wa mchakato.
Lichaguliwe Bunge la Katiba lisilo na Wanasiasa bali wawe sehemu ya Bunge. Tuendelee kuanzia hapo.

Kikosi kazi ni kupoteza muda na rasilimali, zaidi ya kutaka usawa wajinsia katika vyama Kikosi kazi hakikuwa na chochote kipya zaidi ya Rasimu ya Warioba.

Kikosi kazi kimetuletea hoja ya kwamba '' Vyama vya siasa viwe na uwakilishi wa 50/50' katika uongozi.
Pamoja na umasikini uliotopea hili ndilo tatizo kuubwa saaaana la Watanzania. Kikosi kazi! Mungu ibariki Tanzania
Kwa sasa nipo natoka kwenye mihangaiko nitatoa somo kesho
 
Kama nilivyosema hapo awali madai na matakwa yanakuwa ni paradox. Kwa upande mmoja unadai hiki lakini kwa upande mwingine unapinga sehemu ya madai yako.
Mfano unamwambia mtu "Usiingie kwenye maji mpaka utakapojua kuogelea"

Madai ya kuwa na Maridhiano ya HAKI kwa kuweka condition ya kuwa na MSULUHISHI kutoka nje. Sasa huyo msuluhishi kutoka nje anatafutwa na nani? Au kuna watu wanawapendekeza hao wasuluhishi kisha wanapigiwa kura? Je, ni nani atakaye simamia kura za kumpata msuluhishi? Maswali ni mengi mno hayana mwisho.

Kwanza lazima kuwe na nia ya dhati na kuaminiana.

Vilevile suala la kuamua kutafuta msuluhishi wa nje hayo ni maridhiano mzee wangu. Maridhiani ni makubaliano ya pande zote mbili katika jambo fulani.

Kwahiyo Idea yako ya kutafuta msuluhishi wa nje ya nchi sidhani kama yanamashiko.

..Mazungumzo kati ya Ccm na Cuf yaliyowezesha kupatikana kwa muafaka Zanzibar yalisimamiwa na Bw.Emeka Anyauko ambaye alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola.

..Vyama vya siasa vya Tanzania kupatanishwa na msuluhishi toka nje sio jambo geni.

..Nakushauri usipende ubishi wa kishabiki ktk mambo makubwa yenye maslahi kwa nchi yetu. Kuwa tayari kupokea taarifa sahihi na kuzifanyia kazi.
 
Kuhusu wazo la 4R. Hii dira ya kiongozi wa nchi namna anavyowaza nchi ya Tanzania iwe. Pakiwepo na utulivu ndani ya nchi maendeleo ya vitu na watu yanapatikana.
Ukiacha 1964 mutiny taja muda mwingine ambao Tanzania haikuwa na utulivu kutokana na 'Unrest'
Kwahiyo ni wajibu kwa watendaji wa serikali kuanza kuiweka kwenye vitendo falsafa hii.
Hapa kuna tatizo la kutoelewa. Tumeondoka katika mfumo wa chama kimoja wa ' supremacy' ambako makada wa chama walikuwa watumishi wa umma 'civil servants'.

Nyerere alikuwa na ' Falsafa' ya Ujamaa na Kujitegemea, alieleza katika Chama, ikaingizwa katika Katiba ya nchi na kuwa sehemu ya sheria mama ya nchi. Ilikuwa wajibu wa 'civil servants' kuifuata kama policy ya nchi kisheria.

Ruksa, Ukweli na Uwazi, Maisha bora kwa kila mtu ni slogans tu za siasa hazikuwepo kisheria ndio maana hakuna mfanyakazi aliyelazimika kuzitumia.

Civil servants wanaongozwa na rules and regulations , ndiyo maana hawapaswi kushiriki katika siasa.

Unaposema Watendaji wa serikali wasimamie 4R ni kutoelewa nini kinafanyika wapi, lini , kwanini na kwa namna gani. Wapi 4R zimekuwa documented kama mwongozo wa utumishi au umma.

Tuna matatizo mengi ikiwemo uwezo duni wa watu wetu katika majukumu wanayopewa.

Kwa nchi za wenzetu , 'Chawa' wanaitwa 'Pundits' . Uenezi wa falsafa au sera siyo usemaji wa Simba au Yanga.
Pundits n tofauti na chawa, natamani siku moja tuwe na Pundits ! Chawa ni mtihani.

Pascal Mayalla JokaKuu
 
Back
Top Bottom