Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Amegongwa hajaingia dukani, atakuwa uvunguni mwa basi.Mwamba itakuwa aliingia kwenye duka hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amegongwa hajaingia dukani, atakuwa uvunguni mwa basi.Mwamba itakuwa aliingia kwenye duka hapo!
Huyu mtu lazma atakuwa amepata 80% damage hawezi pona kirahisi maana kabamizwa ukutaniAngalia hii videoView attachment 2526253
Wejifanye Huna mbiooMwamba itakuwa aliingia kwenye duka hapo!
Akomae atalipwa pesa ndefu tuHuyu mtu lazma atakuwa amepata 80% damage hawezi pona kirahisi maana kabamizwa ukutani
Huyu Kama kapona hii ndio explanation. Bus limegonga ukuta at an angle na limekita baada ya yeye kupita hivyo alipata gap ya kukimbia.Huyu mtu lazma atakuwa amepata 80% damage hawezi pona kirahisi maana kabamizwa ukutani
Rrondo we ndio umechora hapo?Huyu Kama kapona hii ndio explanation. Bus limegonga ukuta at an angle na limekita baada ya yeye kupita hivyo alipata gap ya kukimbia.View attachment 2526294
Hahahaha aje hapa Mwenge apashe kidoogoHalafu huyo Shani namhahamu [emoji23]
Nah...my two yr old boyRrondo we ndio umechora hapo?
Kaambiwa hio asiripoti hahahahahahaKwahyo huyo mpita njia anaeonekana kwenye video inayosambaa amepona.
SawaNah...my two yr old boy
Duh! Mbona unapenda sana vita? Yaani kama huu uandishi ni sahihi basi ndio Maana Msukuma mmempa Udaktari na mnataka akafundishe Uchumi hapo UDKila taaluma ina uwasilishaji wake ulitaka aandike kama bar vicha anatoa tamko
USSR
Hahahahahhaaha acha uchokoziMbona kajitahidi sana. Hawa ndugu zetu si inasemekana ni Fa Fa Fa...kwa hiyo nampa hongera kajitahidi.
DuhAngalia hii videoView attachment 2526253
Afande anasema hakuna VifoUmeona CCTV video mkuu? Pale definitely kuna mwamba alikuwa anatembea kwa mguu lazima kafa yule.
Huyu Kama kapona hii ndio explanation. Bus limegonga ukuta at an angle na limekita baada ya yeye kupita hivyo alipata gap ya kukimbia.View attachment 2526294
Aisee hii ni hatari jamaa sidhani kama kapona
dah nimemuona huruma huyu mpita njia
Kapenya.....bus hapo mbele lina fibres tu ndio hizo zimeruka juu