Nani kakudanganya?Asante Mungu hakuna alie kufa tunawaombea majeruhi wapone haraka
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakudanganya?Asante Mungu hakuna alie kufa tunawaombea majeruhi wapone haraka
Wamekufa wangapi mkuu?
HahahhaaaahaHead on tungemuona hapo mbele ya bus.
Kuna mambo yanaibua maswali aise kwahiyo dereva kapelekwa hospital.na bado kawakimbia?Na huyu wa rav 4 alikimbiajeView attachment 2526255
Haya. Ila usichoelewa ni kuwa bus baada ya collision na ukuta limebadili uelekeo kwa degrees kadhaa.Head on tungemuona hapo mbele ya bus.
Kila kitu nakijua? Na kipi Tena ndugu? Yes. Huenda najua ndio, kwani dhambi? Kama hujapata lunch acha makasiriko, mimi sio wa level YakoAcha ujuaji wako wa kijinga jinga..
Kila Kitu unakijua.
Ulitaka aandike vipi
Ulivomfundisha ww
Kila taasisi wana uandikaji wao wa reports and returns of the particular situations.
Jamaa alikutwa Msamvu Moro akiwa na kiatu kimoja na shati lina rangirangi ya mwendokasi na vumbi lakini liko nusu.Hebu check hii video kama huyu jamaa kasalimika basi atakuwa ICU
na huyu wa Rav 4 kama alikimbia na kwenda kugonga Puma sijui alifikajeView attachment 2526307
Labda wewe ndio unabishana mimi naongea ninachoona na ninachoweza kutafsiri.Haya. Ila usichoelewa ni kuwa bus baada ya collision na ukuta limebadili uelekeo kwa degrees kadhaa.
Muwe mnaangalia basi na kuelewa sio kibishana tu.
Kwasababu hujaelewa concern yangu ilipo! Simple sana ungeelewa kile nataka, hujaisoma!Mbona kwa hii taarifa inaonekana mwenye kichwa kizito ni wewe mleta uzi?
Okay mkuu.Labda wewe ndio unabishana mimi naongea ninachoona na ninachoweza kutafsiri.
Inawezekana baada ya kugongwa hapo lilikuwa kwenye free movement mpaka lilipojikita hapo puma..(sijui umbali wake lakini)....kwa ugongwaji huo breaking system sidhan kama zitafanya kazi na limegongwa upande wa dereva. Mapolisi wetu wanatabia ya kubambikiza kesi bila kujua ulimwengu wa sasa ni wa cctv camera.Hebu check hii video kama huyu jamaa kasalimika basi atakuwa ICU
na huyu wa Rav 4 kama alikimbia na kwenda kugonga Puma sijui alifikajeView attachment 2526307
Daaah huyu jamaa,ase vitu vingine vinatisha kwakweliAngalia hii videoView attachment 2526253
Nadhan akiangalia video za hili tukio atacheka kwanza Kisha atamshukuru mungu😁😁 huyo atakesha anasali kwa imani zake
Hapo unahisi kuna uwezekano wa kuwa na mlango kwamba alipenya kuingia ndani ya jengo?
Hawezi cheka aiseeNadhan akiangalia video za hili tukio atacheka kwanza Kisha atamshukuru mungu
Ila naangalia uhalali wa pedestrian kupona ni ngumu, taarifa ya polisi ni batiliHebu check hii video kama huyu jamaa kasalimika basi atakuwa ICU
na huyu wa Rav 4 kama alikimbia na kwenda kugonga Puma sijui alifikajeView attachment 2526307