Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mmh..serious?Jamaa alikutwa Msamvu Moro akiwa na kiatu kimoja na shati lina rangirangi ya mwendokasi na vumbi lakini liko nusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh..serious?Jamaa alikutwa Msamvu Moro akiwa na kiatu kimoja na shati lina rangirangi ya mwendokasi na vumbi lakini liko nusu.
Kama sio CCTV camera afande angeaminikaInawezekana baada ya kugongwa hapo lilikuwa kwenye free movement mpaka lilipojikita hapo puma..(sijui umbali wake lakini)....kwa ugongwaji huo breaking system sidhan kama zitafanya kazi na limegongwa upande wa dereva. Mapolisi wetu wanatabia ya kubambikiza kesi bila kujua ulimwengu wa sasa ni wa cctv camera.
Huyo huyo [emoji23]Shani siyo yule Dada ana vichunusi vingi usoni alikua pale kivukoni ferry!!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Probably.Mmh..serious?
Hapana
Ni ngumu sana kupata hiyo akili ndugu lile ni tukio la ghafla alijaribu kumkwepa jamaa wa Rav 4 ikampeleka uelekeo ule asingeweza kuwahi kukunja kona kwa mara ya pili na mbele yake kuna ukuta umemzuia.Au dereva wa mwendo kasi hakumuona mpita njia ? Maana nimefikili angefunga brake au kubana kushoto kwake
So sad inauma from no where the guy might be gone for all
Huyo mpita njia mwenye shati la draft amepona?Naiweka hapa muone wenyewe...
MREJESHO WA TAARIFA YA AJALI ILIYOTOKEA KISUTU MNAMO MAJIRA YA SAA 05:45
Mnamo majira ya saa 06:58 niliweza kufika Eneo la tukio nilikuta ajali imetokea gari ya mwendokasi yenye usajili wa
Plate No: T 122 DGW
JINA: SHABANI NGAUGIA
Ilipata ajali Eneo la Kisutu mbele kidogo ya mataa ilikuwa inatoka Kivukoni kwenda Kimara.
Chanzo cha ajali dereva wa mwendokasi alikuwa anatoka Kivukoni kwenda Kimara alifika mataa wakati anavuka kuna gari ndogo aina ya RVA4 yenye namba ya usajili T 978 DHZ ilikuwa ikitokea posta mpya ikielekea Kivukoni ilikuwa inapita pasipo kuangalia dereva wa mwendokasi alimuona akawa anamkwepa ndipo alipoenda kugonga flame za maduka na kuleta itirafu nje ya maduka. Ndani ya gari ya mwendokasi kulikuwa na abiria wanafunzi na wananchi wamepata majaraha madogo madogo walipelekwa Muhimbili kwa check up ila dereva wa mwendokasi ameumia sana sehem ya mguuni yupo Muhimbili akiendelea na matibabu.
Wakati ajali imetokea gari aina ya RVA4 iliyosababisha ajali ilikuwa inakimbia kuelekea Kisutu kufika mbele ikapata ajali ikagonga ukuta wa shelli ya puma Kisutu na kuaribika. Waliokuwa ndani ya gari hiyo ndogo waliumia na kupelekwa hospital dereva wa gari ndogo alivyofika hospital alikimbia akabaki Majeruhi mmoja ambae ni mwanamke.
Katika ajali hii iliyotokea akuna vifo vilivyotokea isipokuwa kuna Majeruhi na wote wako Muhimbili kwa matibabu ila dereva wa mwendokasi na watu wanne wanahali sio nzuri sana.
Reported by
Overall Incharge
Shani Mussa.
&
Zonal Incharge
Amina Juma.
Vyombo ya usalama havijasema kama kuna aliyefariki, kwaiyo inawezekana ni majeruhi tu.Huyo mpita njia mwenye shati la draft amepona?
Mbona kajitahidi sana. Hawa ndugu zetu si inasemekana ni Fa Fa Fa...kwa hiyo nampa hongera kajitahidi.
Na huyu wa rav 4 alikimbiajeView attachment 2526255
mbn ktk hii report haijaInclude yule mpita njia!Naiweka hapa muone wenyewe...
MREJESHO WA TAARIFA YA AJALI ILIYOTOKEA KISUTU MNAMO MAJIRA YA SAA 05:45
Mnamo majira ya saa 06:58 niliweza kufika Eneo la tukio nilikuta ajali imetokea gari ya mwendokasi yenye usajili wa
Plate No: T 122 DGW
JINA: SHABANI NGAUGIA
Ilipata ajali Eneo la Kisutu mbele kidogo ya mataa ilikuwa inatoka Kivukoni kwenda Kimara.
Chanzo cha ajali dereva wa mwendokasi alikuwa anatoka Kivukoni kwenda Kimara alifika mataa wakati anavuka kuna gari ndogo aina ya RVA4 yenye namba ya usajili T 978 DHZ ilikuwa ikitokea posta mpya ikielekea Kivukoni ilikuwa inapita pasipo kuangalia dereva wa mwendokasi alimuona akawa anamkwepa ndipo alipoenda kugonga flame za maduka na kuleta itirafu nje ya maduka. Ndani ya gari ya mwendokasi kulikuwa na abiria wanafunzi na wananchi wamepata majaraha madogo madogo walipelekwa Muhimbili kwa check up ila dereva wa mwendokasi ameumia sana sehem ya mguuni yupo Muhimbili akiendelea na matibabu.
Wakati ajali imetokea gari aina ya RVA4 iliyosababisha ajali ilikuwa inakimbia kuelekea Kisutu kufika mbele ikapata ajali ikagonga ukuta wa shelli ya puma Kisutu na kuaribika. Waliokuwa ndani ya gari hiyo ndogo waliumia na kupelekwa hospital dereva wa gari ndogo alivyofika hospital alikimbia akabaki Majeruhi mmoja ambae ni mwanamke.
Katika ajali hii iliyotokea akuna vifo vilivyotokea isipokuwa kuna Majeruhi na wote wako Muhimbili kwa matibabu ila dereva wa mwendokasi na watu wanne wanahali sio nzuri sana.
Reported by
Overall Incharge
Shani Mussa.
&
Zonal Incharge
Amina Juma.
Huyu kasagika
😔 Maskinimtembea kwa miguu uyo apo kalala zake mbele daaa huzuni kwa kweli View attachment 2526336
Tuliambiwa polisi wengi ni form four failures,Chanzo cha ajali dereva wa mwendokasi alikuwa anatoka Kivukoni kwenda Kimara alifika mataa wakati anavuka kuna gari ndogo aina ya RVA4 yenye namba ya usajili T 978 DHZ ilikuwa ikitokea posta mpya ikielekea Kivukoni ilikuwa inapita pasipo kuangalia
Aiseeeemtembea kwa miguu uyo apo kalala zake mbele daaa huzuni kwa kweli View attachment 2526336
kwa graduate wa form four mwenye division four, amejitahidi sana.Naiweka hapa muone wenyewe...
MREJESHO WA TAARIFA YA AJALI ILIYOTOKEA KISUTU MNAMO MAJIRA YA SAA 05:45
Mnamo majira ya saa 06:58 niliweza kufika Eneo la tukio nilikuta ajali imetokea gari ya mwendokasi yenye usajili wa
Plate No: T 122 DGW
JINA: SHABANI NGAUGIA
Ilipata ajali Eneo la Kisutu mbele kidogo ya mataa ilikuwa inatoka Kivukoni kwenda Kimara.
Chanzo cha ajali dereva wa mwendokasi alikuwa anatoka Kivukoni kwenda Kimara alifika mataa wakati anavuka kuna gari ndogo aina ya RVA4 yenye namba ya usajili T 978 DHZ ilikuwa ikitokea posta mpya ikielekea Kivukoni ilikuwa inapita pasipo kuangalia dereva wa mwendokasi alimuona akawa anamkwepa ndipo alipoenda kugonga flame za maduka na kuleta itirafu nje ya maduka.
Ndani ya gari ya mwendokasi kulikuwa na abiria wanafunzi na wananchi wamepata majaraha madogo madogo walipelekwa Muhimbili kwa check up ila dereva wa mwendokasi ameumia sana sehem ya mguuni yupo Muhimbili akiendelea na matibabu.
Wakati ajali imetokea gari aina ya RVA4 iliyosababisha ajali ilikuwa inakimbia kuelekea Kisutu kufika mbele ikapata ajali ikagonga ukuta wa shelli ya puma Kisutu na kuaribika. Waliokuwa ndani ya gari hiyo ndogo waliumia na kupelekwa hospital dereva wa gari ndogo alivyofika hospital alikimbia akabaki Majeruhi mmoja ambae ni mwanamke.
Katika ajali hii iliyotokea akuna vifo vilivyotokea isipokuwa kuna Majeruhi na wote wako Muhimbili kwa matibabu ila dereva wa mwendokasi na watu wanne wanahali sio nzuri sana.
Reported by
Overall Incharge
Shani Mussa.
&
Zonal Incharge
Amina Juma.
RIP amekuwa na mwisho mbaya sana jamaa dahmtembea kwa miguu uyo apo kalala zake mbele daaa huzuni kwa kweli View attachment 2526336