Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Dada anaenda kuweka balance kwenye udanganyifu
Maana equation ilkuwa inaelemewa,, wanaume walikuwa wanatuzidi udanganyifu, sasa hivi ubao unasoma 3_3.

Hatari sana.

Tuwe waaminifu Kwa wenzi wetu na kutosheka na hali zao.
 
Kuna watu wana moyo wa utoaji aisee!

Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani πŸ™Œ

Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Mkuu,
Nguvu ya papa ni kubwa sana, asikwambie mtu.
 
Dada anaenda kuweka balance kwenye udanganyifu
Maana equation ilkuwa inaelemewa,, wanaume walikuwa wanatuzidi udanganyifu, sasa hivi ubao unasoma 3_3.

Hatari sana.

Tuwe waaminifu Kwa wenzi wetu nankutishika na hali zao.
Ubao unasoma ngapi ngapi🀣 ni kama vile liverkuku anashinda 3-0 HT, then FT ni 3-3....
 
Kuna watu wana moyo wa utoaji aisee!

Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani πŸ™Œ

Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Babu na wewe Nini? Wewe umeshazeeka umekuwa kibogoyo, waache vijana wavunje mifupa meno bado Iko 😁😁😁watu Wana pesa zao mjini halafu sio wabahili kama Robert Heriel Mtibeli na nduguye Extrovert
 
Mafeminist ya jf yatakuja hapa na kumlaumu jamaa kwamha hana upendo wa kweli kwanini kama "anampenda asimpe tu"

kwa mafeminist wao kila blame huitwist kwa mwanaume yani "kila kosa hua ni la mwanaume" ngoja waje uone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…