Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Kuna watu wana moyo wa utoaji aisee!

Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani πŸ™Œ

Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Wanawake wenye UTI wamekua wengi sana kama vibanda vya kuchomea mahindi mtaani
 
Ujana ni kazi.

Kuna mdogo wa rafiki yangu kafilisiwa na mwanamke nsomi wa Kiunguja ndani ya miaka 5.

Toka ubilionea kwa viwango vyaTanzania, mpaka ubaoni hajui la kufanya.

Mwanamke anasema wazi, nilipokupenda ulikuwa na pesa, sasa katafute zingine utanikuta nipo tu.

Nawashauri vijana wacheni wazee wenu wawatafutie wake wa kuowana nao, tena muoane wakati wa dhiki, siyo wakati wa faraja.
 
Hahaha...............hatari sana, enzi za Ujana niliwahi kumnunulia Mchumba baiskeli kama huyo jamaa alivyofanya, lakini hadi leo hii nikikumbuka roho inaniuma bado πŸ˜…

Kweli kutoa ni moyo πŸƒπŸƒ
🀣🀣Babu,hiyo baiskeli lazima ilikuwa phonex........
Kumbe Babu ungekuwa kijana zama hizi ungehonga hata Vanguard wewe!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sisy niache kwanza niko ICU
Mwambie Kantry furaha ilizidi nikamtaja Ben, huyo Ben sio bwanaangu nilijua kaniuliza jina la raisi wa awamu ya tatu.
🀣🀣🀣🀣🀣Kumbe ulijua unaulizwa raisi Ben Mkapa?mdogo wangu nakujua unapenda sana mambo ya siasa ndio maana ulichanganya madesa
 
Huyo baharia mwenzetu katuwakilisha vizuri sana!! Kwanza ana uhakika wa wanaume wa kununua gari zaidi ya watatu.
Hapo atulie asubirie gari lingine kikubwa asijichanganye tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Itabidi Ben amfikirie,kamheshimisha sana!!shout out to Benson,Benard, Benjamin whatever the Ben😁😁😁😁
 
🀣🀣🀣🀣🀣Kumbe ulijua unaulizwa raisi Ben Mkapa?mdogo wangu nakujua unapenda sana mambo ya siasa ndio maana ulichanganya madesa
Eee dada naomba mwambie gari langu alilete na nimeshaliona harrier ole wako abadilishe alete Vits sitomuelewa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…