Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
hakuna mtu atakaesimama mbele yako kwa ubishi 😀
Malizia dafu uje hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia dafu uje hapa
Wanawake wenye UTI wamekua wengi sana kama vibanda vya kuchomea mahindi mtaaniKuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani 🙌
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Hatari na nusu my cuzo wangu!Ni balaa Cuzoo..
Watu wanaingia gharama kuwa maarufu....Hatari
Uchoyo tuSafi sana...watunze familia zao
Habari hapo sio kupewa gari,habari hapo ni kumshindwa kujua jina la mtoa gariKweli kabisa inawezekana ni kiki tu maana mjini mambo ni mengi, ila asingeikataa hiyo ingekua habari kubwa zaidi.
UDSM....Chuo gani hicho wanafanya mahafali mwezi huu was kumi? Au sio chuo kikuu au kiki ?
🤣🤣Babu,hiyo baiskeli lazima ilikuwa phonex........Hahaha...............hatari sana, enzi za Ujana niliwahi kumnunulia Mchumba baiskeli kama huyo jamaa alivyofanya, lakini hadi leo hii nikikumbuka roho inaniuma bado 😅
Kweli kutoa ni moyo 🏃🏃
Okay.... uzuri wa hizi mambo ni mduaraHakuna jipya, na wanaume sio wajinga.
Wanakula ccm, wanalala chadema
Babu muhuni tu huyu...Babu hataki kupitwa anawatafuna wajukuu kimya kimya humu 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe ulijua unaulizwa raisi Ben Mkapa?mdogo wangu nakujua unapenda sana mambo ya siasa ndio maana ulichanganya madesa😂😂😂😂 Sisy niache kwanza niko ICU
Mwambie Kantry furaha ilizidi nikamtaja Ben, huyo Ben sio bwanaangu nilijua kaniuliza jina la raisi wa awamu ya tatu.
Mimi😁Wa kumzawadia Me gari ni nani mkuu!
Babu aliambiwa afungue group la WhatsApp na wajukuu zake 😂😂😂Babu muhuni tu huyu...
Itabidi Ben amfikirie,kamheshimisha sana!!shout out to Benson,Benard, Benjamin whatever the Ben😁😁😁😁Huyo baharia mwenzetu katuwakilisha vizuri sana!! Kwanza ana uhakika wa wanaume wa kununua gari zaidi ya watatu.
Hapo atulie asubirie gari lingine kikubwa asijichanganye tena 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Wawe na group lao kabisa?Babu aliambiwa afungue group la WhatsApp na wajukuu zake 😂😂😂
Eee dada naomba mwambie gari langu alilete na nimeshaliona harrier ole wako abadilishe alete Vits sitomuelewa 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe ulijua unaulizwa raisi Ben Mkapa?mdogo wangu nakujua unapenda sana mambo ya siasa ndio maana ulichanganya madesa
wanawake wajinga kama hao nanilii zao ndo zinaumiaHuyo baharia mwenzetu katuwakilisha vizuri sana!! Kwanza ana uhakika wa wanaume wa kununua gari zaidi ya watatu.
Hapo atulie asubirie gari lingine kikubwa asijichanganye tena 😂😂😂