Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
‘Wenye hatia wana hofu’
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia za akina mama wa pwani haziishiBwana Gambo amemtumia salamu Godbless Lema kwamba kabla ya kuliota jimbo la Arusha mjini ahakikishe amelipa madeni yote na pia aongeze juhudi za kuwapigia magoti wazungu ili waendelee kumlea yeye na mke wake pamoja na kumlipia ada za watoto wake.
Wanakimbia madeni alafu wanasingizia Magufuli anataka kuwauwaYaani hawa Chadema ndio wanalalamika serikali inakopa kumbe wao wanakopa, wanashindwa kulipa, wanakimbia nchi
Dawa ya deni ni kulipaWanaomdai wako kimya Ila asiyemdai anawashwa
Hamia Burundi mkuuHata yeye ana kopa, hata lipa yeye. Ila kasi yake ya kukopa iko 5G
Angesema mgogo angeambiwa ajiuzuru😂😂Sasa Madeni ni kitu gani? Rais Samia tu kakopa Trillion 30 in less than 2 years.
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mh Mrisho Gambo a.k.a kiboko ya mafisadi, anampongeza Rais Samia kuruhusu mikutano ya hadhara kwani sasa wanaume watapimwa jukwaani na si kwa mbeleko tena.
Bwana Gambo amemtumia salamu Godbless Lema kwamba kabla ya kuliota jimbo la Arusha mjini ahakikishe amelipa madeni yote na pia aongeze juhudi za kuwapigia magoti wazungu ili waendelee kumlea yeye na mke wake pamoja na kumlipia ada za watoto wake.
Huyo Gambo wako, alishajibu tuhuma za wale BODA BODA!Wanakimbia madeni alafu wanasingizia Magufuli anataka kuwauwa
Kashazoea bure sio raisi kuacha ni kama kula nyama ya binadamuLema katuaibisha sana wamachame.. Si angerudi Xmas pale Nronga aombe asaidiwe kulipa madeni yake..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu anajua hatahusika nayo. Yaani halipi yeye. Si mshahara wake, si posho yake wala si pensheni yake. Ye ufahari wake ni kuitwa rais fulani tu. Mengineyo mtajua wenyeweSasa Madeni ni kitu gani? Rais Samia tu kakopa Trillion 30 in less than 2 years.
Ujinga mtupu, iambie pia serikali yako ilipe madeni yake, auoni kuwa nawe una madeni kupitia serikali.Hakika.
Hata mbweha umekopa vile vileYaani hawa Chadema ndio wanalalamika serikali inakopa kumbe wao wanakopa, wanashindwa kulipa, wanakimbia nchi
Iambie na serikali ya setikali haramu ya ccmDawa ya deni ni kulipa
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mh Mrisho Gambo a.k.a kiboko ya mafisadi, anampongeza Rais Samia kuruhusu mikutano ya hadhara kwani sasa wanaume watapimwa jukwaani na si kwa mbeleko tena.
Bwana Gambo amemtumia salamu Godbless Lema kwamba kabla ya kuliota jimbo la Arusha mjini ahakikishe amelipa madeni yote na pia aongeze juhudi za kuwapigia magoti wazungu ili waendelee kumlea yeye na mke wake pamoja na kumlipia ada za watoto wake.