pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Gambo wewe mwenyewe ulibebwa na yule kichaa, ila tambua Lema akirudi huna chako Arusha i swear!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona haujui hata maana ya deni la Taifa kama wewe ulikopa benki ya nje ya nchi upo kwenye hizo T30 , fikra zako zote hizo T30 kakopa mama samia, kwenye hizo wapo Mo, Rostam, Rwega etc . Kuuliza sio ujingaSasa Madeni ni kitu gani? Rais Samia tu kakopa Trillion 30 in less than 2 years.
Lema alikuwa Mbunge na hivyo kuvaa kofia ya Mheshimiwa. Hivyo basi, kama hayo yaliyotamkwa si kweli, hata huko aliko anaweza kuchukua hatua. USIMSEMEEKuna clip Moja inazunguka kwenye mitandao ya kijamii, ikimuonyesha Mbunge wa Arusha mjini, Kwa tiketi ya CCM, Mrosho Gambo, alimkashifu Sana Mbunge wa zamani wa jumbo hilo...
Akizidiwa atarudi kukanushaKuna clip Moja inazunguka kwenye mitandao ya kijamii, ikimuonyesha Mbunge wa Arusha mjini, Kwa tiketi ya CCM, Mrosho Gambo, alimkashifu Sana Mbunge wa zamani wa jumbo hilo...
Lakini siyo Kwa kutoa shutuma za uongo wa wazi kabisa, kuwa Lema alipokuwa akienda salon kunyoa nywele, au alipokuwa akienda Kwa mama lishe, kupata chakula, alikuwa halipi!Kwa nn ashindwe wakat huyo ni direct opponent , yaan hamna mtu mwingine gambo anatakiwa apambane naye from the scratch Zaid ya Lema...!!
Mkuu naona tuachane nae tusije kupoteza muda na hayawani!Lakini siyo Kwa kutoa shutuma za uongo wa wazi kabisa, kuwa Lema alipokuwa akienda salon kunyoa nywele, au alipokuwa akienda Kwa mama lishe, kupata chakula, alikuwa halipi!
Huyo Gambo na wenzake akina Sabaya na Mnyeti, walikuwa wakifanya ubabe katika utawala wa awamu ya 5, chini ya Mwendazake.Tumdharau tu kwani ni mpuuzi kama wapuuzi wengine walivyo.
Kuna sehemu mtoa hoja kasema kuwa Lema kawa guranteed kuwa mgombea wa ubunge Arusha kupitia Chadema?Kwamba Lema ni "guarantee kuwa ni mgombea wa ubunge Arusha kupitia Chadema"??
Yaani hata Wana chadema wengine hamuwapi nafasi ?.....
Na kwamba wewe mwana JF unashabikia hizi siasa za kumilikisha watu majimbo hata kama hawajapitishwa bado rasmi?
Kwanini usimuulize haya maswali yako Mrisho Gambo ?Kwamba Lema ni "guarantee kuwa ni mgombea wa ubunge Arusha kupitia Chadema"??
Yaani hata Wana chadema wengine hamuwapi nafasi ?.....
Na kwamba wewe mwana JF unashabikia hizi siasa za kumilikisha watu majimbo hata kama hawajapitishwa bado rasmi?
Mrisho Gambo alipewa ubunge wa bure na Magufuli , sasa amerukwa na akili baada ya kujua kwamba hana tena nafasi, maana siasa za kubebana zimezikwa pamoja na jiweKuna clip Moja inazunguka kwenye mitandao ya kijamii, ikimuonyesha Mbunge wa Arusha mjini, Kwa tiketi ya CCM, Mrosho Gambo, alimkashifu Sana Mbunge wa zamani wa jumbo hilo...