Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Hao wabunge wote wa kubebwa na mbeleko ya Mwendazake, hivi Sasa matumbo motoMrisho Gambo alipewa ubunge wa bure na Magufuli , sasa amerukwa na akili baada ya kujua kwamba hana tena nafasi , maana siasa za kubebana zimezikwa pamoja na jiwe