Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
- Thread starter
- #41
Tunamwambia Lema kwanzaIambie na serikali ya setikali haramu ya ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamwambia Lema kwanzaIambie na serikali ya setikali haramu ya ccm
Nani kawaambia Lema anadaiwa?Kama tunavyo tamani tusikope au tukikopa tulipe kama taifa, basi ni vyema na wengine kwa nafasi zao walipe hayo madeni popote walipo... wasikimbie madeni! Dawa ya deni ni kulipa, usitake kuja kulipaukiwa waziri, lipa sasa. Huko baadae tutakuona ni fisadi
Ukikopa lipa sasa na siyo kukimbilia CanadaKila mtu anakopa ye mwenyewe anakopa mama anakopa baba pia alikopa watu wote wakope hata mimi nikipata pakukopa nakopa.
Andaiwa milioni 400Nani kawaambia Lema anadaiwa?
lazima kuna dhamana hivyo huwezi kimbia deni mana dhamana itabaki...achana na hizi tantarara za gambo deni halikimbiwiUkikopa lipa sasa na siyo kukimbilia Canada
Unajua kiasi anachodaiwa? Nani anamdai?Kama tunavyo tamani tusikope au tukikopa tulipe kama taifa, basi ni vyema na wengine kwa nafasi zao walipe hayo madeni popote walipo... wasikimbie madeni! Dawa ya deni ni kulipa, usitake kuja kulipaukiwa waziri, lipa sasa. Huko baadae tutakuona ni fisadi
Hiyo dhamana iuzwe?lazima kuna dhamana hivyo huwezi kimbia deni mana dhamana itabaki...achana na hizi tantarara za gambo deni halikimbiwi
Unauliza jibu mana kama wadaiji hawajafikia kuiuza ni kwamba jamaa anapeleka rejesho basi hivyo kusema amekimbia deni ni siasa tu.Hiyo dhamana iuzwe?
Kwani anadaiwa shilingi ngapi hata ashindwe kulipa?Lema katuaibisha sana wamachame.. Si angerudi Xmas pale Nronga aombe asaidiwe kulipa madeni yake..
Kwamba wana Arusha ni wajinga sana mpaka wachague mkumbizi wa Canada??Lema anashinda uchaguzi akiwa hukohuko Canada, bila kupiga kampeni
Zilisomwa na spika Ndugai millioni 400Kwa
Kwani anadaiwa shilingi ngapi hata ashindwe kulipa?
Yaani hawa Chadema ndio wanalalamika serikali inakopa kumbe wao wanakopa, wanashindwa kulipa, wanakimbia nchi
Sisi ndo wenye Arusha. Nyinyi wenye akili mchagueni Ndugai huko 🚮Kwamba wana Arusha ni wajinga sana mpaka wachague mkumbizi wa Canada??
Anadaiwa na nani? Manake hakuna Benki hata moja ikiyotoa notice hiyo wala hakuna broker yeyote aliyetangaza kutaka kushikilia Mali za LemaAndaiwa milioni 400