Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Kosa lake nini mmoja wa watoto pendwa wa mheshimiwa.

Hao inaonekana kuna mchongo walikuwa wanapiga kwa pamoja, ndio maana wote wametenguliwa.
Walikuwa wakitunishiana misuli. Dc huku, Rc huku na mkurugenzi kule. Sasa kawatimua wote. Atakae umia ni Gambo. Kweli ukiua kwa upanga lazima ufe kwa upanga. Gambo alimchongea Ntibenda akaondolewa Arusha kama mwizi. Sasa nae kaondoka kama paka.
Daqaro na Madeni wata rudi kwenye jazi zao. Gambo je????
 
Alhamdulillah! Huyu alizidisha majivuno. Aje mtaani tugombee ajira za kubeba zege.
Kwa nini unataka wote mjazane chini kama wewe? Hii roho mbaya sana ndio maana umeganda hapo hapo kwenye zege. Mungu kakisudia ugande hapo hapo.
 
Duuh, RC, DC, DED.. hapa kuna dili walikuwa wamepanga wote, labda hilo la ubunge, mtu umepewa uRC unahangaika na ubunge ya nini? Sasa kakosa yote
Ubunge una maslahi makubwa kisiasa kuliko u RC
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duh Hii mbona balaaa

HIVI vyeo hivi dah..Gambo umepigwa Muda Mbaya sana ....Kaza roho mwanangu huyu Mzee hatabiriki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…