Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,353
- 1,784
Issue ya malori inaweza kuwa imechangia yuko soft sana ingawaje sina uhakika, mwenzie shigella hacheki na mtu, anyway cheo ni dhamana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gambo juzi kaacha Mkoa wake kaja Dsm kwa UVCCM na Makonda.Katibu Mwenezi wake kaenda Arusha kasema Arusha CCM wanagombana sbb ya kutaka ubunge.
Huyu Kihongosi ni Mkimbiza Mwenge,lakini ndiye siku kadhaa zilizopita alitoa kauli ya vitisho dhidi ya Wapinzani.Alisikika akisema vijana wamteketeze Zitto.
Hii team inaenda ku-deal na Lema,Usalama wa Chama umejiridhisha katika majimbo magumu ya Upinzani,Arusha ni namba moja.
Unaweza kumpa mtu offer ya chakula lakini kumchagulia nini cha kula baada ya offer ni kinyume cha offer uliokusudia.Acheni watu waamue
Ubunge una maslahi makubwa kisiasa kuliko u RC
Hahahaaaa........ Mzee wa degree za chupi!Haya Gambo njoo mtaani uone maisha halisi yalivyo
Gambo alikuwa kijana makini sana,,ghafla akalewa cheo,
malipo gani bwana na wakati upinzani ndio unaondoka arusha mana hakuna la maana kwa miaka kumi walichofanya, hio ni kamati ya ushindi, upinzani kwishaMalipo ni hapa hapa duniani.
Nenda kachukue na wewe!Pipa na funiko, demokrasia ipi ya kutoa form moja ya kugombea uraisi?
Ila Daqaro sidhani kama amepoteza. Ila DED na RC kazi wanayo...
Kulinganisha Arusha na Dar ni makosa yasiyosameheka.Ukweli ni kwamba uchaguzi ni wenyeji. Wenyeji wa Arusha mjini na wafanyabiashara wengi in wachaga ni ngumu kushinda pale maana ni mji wa biashara sio ushahili wa Dar
Walikuwa wakitunishiana misuli. Dc huku, Rc huku na mkurugenzi kule. Sasa kawatimua wote. Atakae umia ni Gambo. Kweli ukiua kwa upanga lazima ufe kwa upanga. Gambo alimchongea Ntibenda akaondolewa Arusha kama mwizi. Sasa nae kaondoka kama paka.
Daqaro na Madeni wata rudi kwenye jazi zao. Gambo je????
Dc yeye alikua kazini na ndiyo amereport yote amemaliza mission yake atarudiswa ofisi ya rais alipotokea.Duuh, RC, DC, DED.. hapa kuna dili walikuwa wamepanga wote, labda hilo la ubunge, mtu umepewa uRC unahangaika na ubunge ya nini? Sasa kakosa yote