kababaa1
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 633
- 421
Hahaaaaaa nimecheka kwa sauti kubwa kabisa mkuuTuendelee kula mtori nyama zipo chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaaa nimecheka kwa sauti kubwa kabisa mkuuTuendelee kula mtori nyama zipo chini
Nenda kachukue na wewe!
Ndo alikuwa mgeni rasmi kwenye kile kikao maarufu cha "kuwachinja wapinzani", vijana wa CCM wasiruhusu Mbowe aende Sokoni, wala Zitto kwenda hotelini!Kaharibu nini huyo Gambo. Pamoja na kujipendekeza kote kwa Mfalme na Mwana Mfalme imekuwa kazi bure.
Wajuvi tuambieni kulikoni
Huyo Bashite sasa hivi kakalia kuti kavuSasa ndo atajua kina nani ni marafiki zake wa kweli? Alikuwa anajiona Bashite part two.
Takukuru wamebaini nini hasaMkuu wa Mkoa wa Arusha atenguliwa. Juzi kati Mrisho alienda Dar kumuomba Makonda amuombee msamaha kwa Magufuli lakini akakwama. Walionhozana kwenye kikao cha UVCCM pale Mnazi mmoja.
TAKUKURU walipoenda Arusha nikasema kuna watu wanaondoka.
Napenda sana busara zako barafuGambo juzi kaacha Mkoa wake kaja Dsm kwa UVCCM na Makonda. Katibu Mwenezi wake kaenda Arusha kasema Arusha CCM wanagombana sbb ya kutaka ubunge.
Huyu Kihongosi ni Mkimbiza Mwenge, lakini ndiye siku kadhaa zilizopita alitoa kauli ya vitisho dhidi ya Wapinzani. Alisikika akisema vijana wamteketeze Zitto.
Hii team inaenda ku-deal na Lema,Usalama wa Chama umejiridhisha katika majimbo magumu ya Upinzani,Arusha ni namba moja.
Unaweza kumpa mtu offer ya chakula lakini kumchagulia nini cha kula baada ya offer ni kinyume cha offer uliokusudia. Acheni watu waamue
Mbona hili lilitegemewa zaidi ya mwezi sasa? Wanarumbana hadharani kila siku kisa jimbo, jimbo lenyewe hawana uhakika nalo.
CC: GAMBO,
Lema alikwambia wewe si mkuu wa mkoa wa kwanza Arusha na si wa Mwisho, nadhani sasa umeelewa.
😂😂😂😂Si ndio alisema vijana wa CCM wakizeeka wanakuwa wachawi
Wewe ndo wa kupewa pole, unadhani hakuna walioteuliwa kushika hizo nafasi? Nyumbu sijui mnawaza nini!Rais Magufuli leo hii amemtimua kazi mkuu wa mkoa wa Arusha.
Pamoja na Mkurugenzi wa jiji la Arusha. Mataga poleni
Kafanya kosa gani tena ?Huyo Bashite sasa hivi kakalia kuti kavu
Huo ninutenguzi na uteuzi wa kimkakati,! Kwa akili zenu za kinyumbu hamuwezi kuelewa,!Arusha kunani? Hii ni message kwa waimba mapambio wooote. Bwana Jiwe ni kama Simba wa kufugwa. Hata umpe msosi kwa miaka mingi kiasi gani, siku ya siku akikosa chakula tu, anakugeuza wewe kuwa kisusio.
Labda hapo ulipo unafanya vizuri anaona asikusumbue.Mbona mkuu haniteui mimi jamani sijui na feli wapi?
Ukweli ni kwamba uchaguzi ni wenyeji. Wenyeji wa Arusha mjini na wafanyabiashara wengi in wachaga ni ngumu kushinda pale maana ni mji wa biashara sio ushahili wa Dar
Dogo huo utenguzi ni wa kimkakati,! Naona kwa akili zako unafikiri Gambo kakomolewaAendelee kumsakama Lema sasa