Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Hujui vizuri nature ya watu wa Arusha mjini vizuri wallah
Itakua unazungumza kishabiki...wacha tuone baada ya uchaguzi...Lema yeye mwenyewe anajiandaa kuwa Muhubiri,anajua kabisa hawezi toboa,anajua kabisa amepoteza mvuto...achilia mbali ndani ya chama chake ambapo kuna mgogoro mkubwa kati ya madiwani wake na yeye..Nanyaro ni diwani wa kata yetu ya Levolosi,Hary wa Ngarenaro keshakimbia...yote hyo ni umwamba ambao amekua akiuonesha ndani ya chama.
 
Tungepata katiba mpya iondoe hivyo vyeo visivyo na qualification hii nchi ingeanza kusogea kwenye maendeleo ya kweli.

Hizo kazi za RC na DC ndio zinasababisha yote uliyoeleza hapo juu, wanaangalia mwenye sura nzuri, mwenye kujua matusi, mpiga ngumi mzuri...

Hilo Ndilo Tatizo Mama , Vyeo hivi vya RC Na DC vimekuwa ni vyeo vya kupiga mapambio, ziara za kukagua miradi ya kitaifa, kuweka wapinzani ndani Na kuunga mkono juhudi tu .

Hakuna maono ya kiuchumi ya kuendeleza mikoa hiyo wala kuweka Miundo mbinu ya maana kwa mikoa yao ..

Ni vyeo ya hovyo sana kwa Nchi hii
 
Kuongeza Jimbo ni kumzidishia mlipa Kodi mzigo tu wa bure kisa watu wapate vyeo na kutumbua Kodi zetu bure ingekuwa uwezo wangu ningepunguza majimbo mengi Sana, maana bungeni kwenyewe huwa ni mipasho mitupu watu hawatetei Raia.
Hakuna jimbo linalogawanywa,hizo ni story za kusadikika...Kwa mjadala upi uliojadiliwa na bunge mpaka ugawe jimbo?
 
Wewe ujui jeografia ya mkoa wa Kilimanjaro, tuliza mshono...Siha ni sehemu pekee isiokua na Dominion ya Kichaga, Kule ni Wamasai ndo asilimia kubwa,alafu wameru na wachaga pia wasafa...kingdom za kichaga ni Machame,Kibosho, old moshi,Marangu na Rombo...toboa hapo ama weka pandikizi kwenye hizo sehemu nikupe hela...mwarusha ni tabaka la chini kabisa upande huu wa kaskazini mkuu,ni ma ignorant na mapimbi Tuu...mnatawaliwa kubali.
tatizo una elimu ndogo na akili uliyonayo ipo rigid..we argue na wanywa mbege wenzako...Hawa machinga waliompa Lema kura mjini,wamesharudi mwakao...Na hii SACCOS ya kutafutia pesa za mbega na faru John ndio imeshakufa.
 
Hujui vizuri nature ya watu wa Arusha mjini vizuri wallah
Kaa tuu ukijua zile siasa za Harakati ambazo lema alikua akiziendesha hazipoge tena...wafuasi wake wengi walikua wamachinga ambao walikua hawana mahala pa kufanyia kazi....cha ajabu ni kwamba wamepewa yale yale maeneo ambayo lema alikuwa apkipendekeza wapewe..i.e Kilombero stand ,na uwanja wa NMC..
 
Inawezekana toka aingie madarakani Maguri, utenguzi huu alioufanya ndio umefurahisha kila mtanzania. Hakuna anaelalamika tumbua tumbua kuzidu
 
tatizo una elimu ndogo na akili uliyonayo ipo rigid..we argue na wanywa mbege wenzako...Hawa machinga waliompa Lema kura mjini,wamesharudi mwakao...Na hii SACCOS ya kutafutia pesa za mbega na faru John ndio imeshakufa.
Mkuu,njoo na fact wacha kunyamba kwenye nguo...
 
tatizo una elimu ndogo na akili uliyonayo ipo rigid..we argue na wanywa mbege wenzako...Hawa machinga waliompa Lema kura mjini,wamesharudi mwakao...Na hii SACCOS ya kutafutia pesa za mbega na faru John ndio imeshakufa.
Mimi siko kwenye huo mrengo mkuu..tambua tuu nachokieleza hapa ni ukweli...najaribu kukueleza tuu...siasa za Arusha zinabebwa na wachaga iwe CCM iwe Cahadema...kataa..kunya mavi...huo ndo ukweli.
 
Kaa tuu ukijua zile siasa za Harakati ambazo lema alikua akiziendesha hazipoge tena...wafuasi wake wengi walikua wamachinga ambao walikua hawana mahala pa kufanyia kazi....cha ajabu ni kwamba wamepewa yale yale maeneo ambayo lema alikuwa apkipendekeza wapewe..i.e Kilombero stand ,na uwanja wa NMC..
Sio hazipo sikuhizi ukionekana unashadadia siasa za upinzani unapotezwa Nani hapendi uhai wake, vile watu wako kimya tu kuanzia uchaguzi serikali za mitaa I did research nothing has changed at all, vile intimidation and fear kwa jamii.
 
Option ya kwanza.

Baada ya utenguzi huu naona Siasa za Arusha zikibadilika. Mrisho Gambo naona akienda KUGOMBEA Jimbo la Arusha Mjini. Kama ikiwa hivyo Lema atakutana na Wakati mgumu Sana kwa fitna na weledi wa Gambo Jukwaani. Itategemea pia kama Chama kitampitisha.
Option ya Pili.
Kuna harufu ya Jimbo la Arusha kugawanywa Mara mbili na kuzaa Jimbo la Muriet. Kama likigawanywa kwa Jimbo hili Gambo atakwenda kugombea Muriet. Hii itampa unafuu Sana Mh Lema Kama Atabaki na kugombea Arusha. Itategemea pia Kama Chama bado kinamuhitaji.
Hasara anayoweza kuipata kwenye Option hizi.
1. Makundi ambayo alikuwa anagombana mayo kila siku kwenye Chama je watamuunga mkono?
2. Kuondolewa kwenye nafasi sio sifa nzuri, yaani "Demotion" sio sifa ya kiongozi anayehitaji kusogea juu zaidi. Ana kazi ya kuwaaminisha waliomteua na wananchi kuwa anaweza zaidi.
All in all Vijana tuna mengi ya kujifunza kwenye Hili tunapokabidhiwa majukumu ya kiuongozi. Bado ana nafasi kubwa tu kwenye siasa, Kila la Kheri.
View attachment 1484003
Nani amesema jimbo la arusha litagawanywa, na kwani mkuu wa mkoa kutenguliwa imeanzia kwa gambo? Acheni ndoto za mchana..kwani gambo ni maalum sana hawezi fanya kazi nyngn zaidi ya siasa..
 
tatizo una elimu ndogo na akili uliyonayo ipo rigid..we argue na wanywa mbege wenzako...Hawa machinga waliompa Lema kura mjini,wamesharudi mwakao...Na hii SACCOS ya kutafutia pesa za mbega na faru John ndio imeshakufa.
Kaa tuu ukijua kwamba hao wachaga wamejipanga siku Nyingi,wengi wao wanafanya biashara zao mjini kati n hapo ndiko walikojiandikishia kura...sasa jamii ya waarusha hawakai mjini.....nataka tuu nikufundishe...kwa mfano ,kwa idd,sakina,manguruweni,mianzini,ilboru,sanawari,sekei...huko sio Arusha mjini mkuu..na huko ndiko angalau kuna ka population kakubwa ka hilo kabila lako..huko ni Arumeru....wachaga wanaishi uko uko ndani yenu lkn wanajiandikisha mjini...ni rahisi kum support mtu wao.
 
B
sasa kumekucha gambo rasmi ubunge kwa lema mbona mtakoma mwaka huu hana kosa la kutumbuliwa kama mnadhani ni hivyo hayo ni maandalizi ya ubunge
Bado ndoto moja, utaota gambo amekuwa makamu wa rais arusha..
 
Sio hazipo sikuhizi ukionekana unashadadia siasa za upinzani unapotezwa Nani hapendi uhai wake, vile watu wako kimya tu kuanzia uchaguzi serikali za mitaa I did research nothing has changed at all, vile intimidation and fear kwa jamii.
Hapana,lema alishindwa kubadilisha mfumo wa siasa zake,,kwa mfano angekuwa vizuri na diwani Nanyaro angekuwa angalau ana matumaini...maana huyo nanyaro ni mjanja.. hata km hamna siasa kila siku yuko masokoni akizungumza na wananchi...sasa lema ajui ku renew policy.
 
Hapana,lema alishindwa kubadilisha mfumo wa siasa zake,,kwa mfano angekuwa vizuri na diwani Nanyaro angekuwa angalau ana matumaini...maana huyo nanyaro ni mjanja.. hata km hamna siasa kila siku yuko masokoni akizungumza na wananchi...sasa lema ajui ku renew policy.
Ulilosema ni kweli Ila sio siasa za sikuhizi mkono wa chuma hamna usawa upinzani inaonekana ni uadui
 
Ulilosema ni kweli Ila sio siasa za sikuhizi mkono wa chuma hamna usawa upinzani inaonekana ni uadui
Wanasiasa wengi wa upinzani wanachukulia faida kwamba wanakandamizwa na dola...lkn nakwambi km wangekuwa na umoja na wakaweka mfumo wao wa uongozi kuanzia ngazi ya chini ni rahisi sana....imagine km ukianza na balozi wa nyumba kumi,una uongozi,uje mtaa una uongozi,uje kata una uongozi...ni rahisi sana maana wao ndo wanakutana na wananchi wengi....Lema alijiaminisha kwamba yeye ni Chaguo la watu,akashindwa kuelewa kwamba uongozi mbaya wa CCM ya 2015 na kurudi nyuma ndio uliompa faida ya yeye kung'ara na wala sio kwamba aliwavutia WANANCHI kwa sera nzuri
 
Wanasiasa wengi wa upinzani wanachukulia faida kwamba wanakandamizwa na dola...lkn nakwambi km wangekuwa na umoja na wakaweka mfumo wao wa uongozi kuanzia ngazi ya chini ni rahisi sana....imagine km ukianza na balozi wa nyumba kumi,una uongozi,uje mtaa una uongozi,uje kata una uongozi...ni rahisi sana maana wao ndo wanakutana na wananchi wengi....Lema alijiaminisha kwamba yeye ni Chaguo la watu,akashindwa kuelewa kwamba uongozi mbaya wa CCM ya 2015 na kurudi nyuma ndio uliompa faida ya yeye kung'ara na wala sio kwamba aliwavutia WANANCHI kwa sera nzuri
Upinzani nao ni walewale, ccm nao ni wale wale wanajitaftia matumbo yao na kusahau wananchi wao. Imagine after kampeni hawaonekani kuanzia hao kina Mbowe hafu ni vinara kupiga kelele huku wao wametekeleza majimbo yao ni kuongea ongea tu ka chiriku. Mwaka huu wananchi tuwanyooshe Hawa wababaishaji Tena huko Arusha mjini kumu athiriwa na siasa chafu sio kwa jiji la kitalii kutia aibu kwa miundo mbinu
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha atenguliwa. Juzi kati Mrisho alienda Dar kumuomba Makonda amuombee msamaha kwa Magufuli lakini akakwama. Waliongozana kwenye kikao cha UVCCM pale Mnazi mmoja akajifanya kumsifia Magufuli.. Yote yameshindikana.

TAKUKURU walipoenda Arusha nikasema kuna watu wanaondoka.

Nmekumbuka Maneno ya Godbless Lema. Hakika Mungu ndo anapanga kesho yetu.

Nomba wafikishwe Mahakamani pia. Hii aione DPP

Mbunge wa Arusha G.Lema na Mke wake wafikishwa mahakamani leo

Taarifa kwa umma: Matumizi mabaya ya madaraka ya Mrisho Gambo, Arusha
View attachment 1483610

Alienda kuomba ushauri kwa Bashite akimuuliza; Hivi mwenzangu unafanyaje maana unaharibu mara kibao na Magu atakusema hadharani lakini hakutengui. Nipe siri yake!

Mrisho kamkumbushia Bashite, angalia ulikuwa na skendo ya makonteina- ukapangua, Vyeti feke, Koko beach, Ukusanyaji wa kodi DSM nk.
 
Siuji mkuu alisoma maombi yangu humu JF kuhusu nia ya kugombea Ubunge Arusha na nikasema ni bora wachague mwingine yeyote toka CCM Lakini sio Gambo. Kwa kupigwa chini ukuu wa mkoa hata janja ya kurudi Arusha hana tena. Ubunge kaukosa mchana kweupeeeeeee!
 
Upinzani nao ni walewale, ccm nao ni wale wale wanajitaftia matumbo yao na kusahau wananchi wao. Imagine after kampeni hawaonekani kuanzia hao kina Mbowe hafu ni vinara kupiga kelele huku wao wametekeleza majimbo yao ni kuongea ongea tu ka chiriku. Mwaka huu wananchi tuwanyooshe Hawa wababaishaji Tena huko Arusha mjini kumu athiriwa na siasa chafu sio kwa jiji la kitalii kutia aibu kwa miundo mbinu
Njaa nip kitu kimoja kibaya sana.imagine hawa wakina Mbowe walikua wanasimama majukwaani wanaongea mpaka watu wanalia machozi...lkn mioyoni mwao wanajua kabisa wanadanganya,Cheki aibu zao sasa...siasa ni Matope matupu.....tuendelee kuomba Mungu atupe wazalendo watakaoongoza nchi Kwa Uzalendo mkubwa.
 
Back
Top Bottom