Mrithi wa Samia ana kazi nzito kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye Mstari

Kama kimepwaya subiria 2025.Cha kufahamu ni kwamba Samia hawezi kuongoza Nchi kijinga na kibabe kama Mwendazake never
 
Labda umeoza wewe na familia yako, usituingize kwenye uozo wako
 
Anajenga nini huyo muimba taarabu.Maisha magumu kama tupo Somalia!
Wewe mzembe lazima uone maisha magumu kwa kuwa unategemea shemeji arudi kazini akupe hela ya bando na alipie king'amuzi.

Wajanja wanakimbiza fursa ziko kibao
 
Wacha porojo uchuni mama kaukuta hohehahe, anaukinbiza na unakuwa kwa haraka sana.

Kikwete aliuwacha uchumi mzuri sana, bwana yule kuja akafanya mazagazaga yake tukaporomoka.


Mama anafaya vizuri sana kwenye uchumi, tafuta lingine.
 
Mama kasomea chuo Pakistan, nchi inayodidimia kiuchumi na kijamii kila kukicha. Mtegemee Pakistani Islamic ways of thinking in dealing with Tanzania’s problems.
 
Magufuli aliharibu uchumi ifuatavyo:-

1. Mabenki ya Biashara kufungwa

2. Wasiojuoikana

3. kudhulumu watu haki ya kuchagua (serikali za mitaa+kuu)

4. Kubambikiza watu kesi
za uhujumu uchumi

5. Uonevu wa Bashite

6. Sakata la bisdhsra ya korosho

7. kuvunjia watu nyumba, kimara mbezi

8. Bias na kutokuwa considerate sakata la vyeti feki

9. Kauli mbaya na kutweza utu wa watu in public

10. Kutoheshimu katiba

11. Mishandle ya Covid - hasa second wave

12. Rushwa kwenye siasa (ili watu waunge mkono juhudi)

13. Kuligeuza bunge na mahakama kuwa kama nguo yake

14. Propaganda kali, uwongo na brainwashing

15. Kuharibu private sector

16. Kukataa kuendeleza mchakato wa katiba wakati iikuwemo kwenye ilani ya CCM 2015

17. Kuua private sector

18. White elephant projects za Chato tena wakati mwingine kukiwa hakuna fully participation ya bunge

19. Kutoongeza nyongeza na kutoa stahiki za wafanyakazi zilizoko kwa mujibu wa sheria

20. TRA kubambika watu kodi
 
Ndio umekaa ukatungaa huu uchafu kutuaminisha propaganda za kinafiki tumeona Magufuli hakuwa rais bora hakuna wakuamini vitu kama hivi vya kutungwa na vyeti feki na walamba asali vipi vitabu vyenu vya chato vimenunuliwa vingapi mlivyotumia kumchafua Magufuli
 
Wewe ni MSUKULE tu ambaye umebaki hai baada ya aliyekushikia akili zako Magufuli kufa bila kukurudishia akili zako. Mimi nimeweka issues nilizochagua ambazo Mwendazake alifanya vibaya. Unapaswa uje na hoja ya kupinga.

Kwa mfano nimesema aliharibu zao la korosho, wewe njoo na hoja kuonyesha hakuharibu. Kinyume cha hapo wewe ni MSUKULE tu
 
Kwa Mkapa uko sahihi lakini kwa Kikwete na Magufuli sio sahihi.

Kuna maeneo mengi JK na Magu wote walivurunda, tofauti ilikuwa:-
1. Kiwango cha upashaji habari na uwazi. Wakati wa JK angalau media na Bunge vilijadili kwa kiasi fulani madudu husika lakini wakati wa Magu hakukuwa na uhuru kujadili madudu husika....

2. Propaganda - Magu alitumia kila kitu na njia kujijenga (Magufulism). JK hakuwa na falsafa hiyo.

Mwisho wa siku, Magu ameonekana (perceived) bora kwa Kiwango ambacho o si halisi wala hakina uhusiano wowote na ukweli wala uhalisia.
Eneo la uchumi ni mfano hai. Ufisadi ni eneo jingine - yote Magu anadhaniwa alifanya vizuri wakati si kweli. Facts hazisapoti hisia na kelele za wafuasi wa Magufuli.
 
Magufuri alikuwa anawanyooshea inchi hapa mkamwita muuwaji, sijui katili mara dikteta, MUNGU kamchukua sasa ni mwendo wa hawa mnaowataka wanaoharibu nchi hadi mtanyooka.
Kama Magufuli angekuwa hai leo - sukari ingekuwa kwa mgao, watu wangekuwa wanakula mlo mmoja kwa siku, watu wangevaa kaniki, sabuni za kuogea mngetumia jamaa (mngeambiwa za kutoka nje ni za mabeberu na ni anasa), mngekuwa na TBC radio & TV 24hrs, station nyingine zingefungiwa au kufikisiwa/ka; mabanki yangekuwa yamefungwa/filisika(wa) labda CRDB na NMB tu ndio wangekuwa sokoni - mngepata muda mzuri sana wa kumwimbia mapambio. Mngefurahi kuwa na nchi isiyo na. Matajiri wala ukwasi. Mngefurahi zaidi wote kuwa sawa (egalitarianism).
 
Haa chawa wanakuambia kwa sàsa ndo uchumi umeimsrika etii
 
Naona unajichanganya .Kama hana basic skill , na competency anawezaje kumzid jpm
 
Nimefurahia ulivyomalizia ndo ukweli wenyewe huyu mama amna kitu
 
Abinafsishe na BOT kwa kuwa kichwa cha yule bibi kila akiona changamoto yeye immediately solution kwake huwa ni ubinafsishaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…