Msaada: Biashara unayoweza kufanya kwa mtaji wa Tsh. Milioni 20

Faida hiyo na zaidi ukiamua kuwa unanunua tanzanite unakata unawauzia wenye maduka ya utalii kwa mil 25 kama ni mjuzi wa mawe 10 mil kwa mwezi unapata
Sawa, nisikubishie lakini kuna time nilikuwa na roll mitaa ya Goliondoi, Arusha. Nikakutana na ushauri wa biashara ya Tanzanite.

Kisha nikamshirikisha Babu yangu, akaniambia achana nao hao, afadhali umeniambia mapema.

Sidhani kama ni biashara anaweza kwenda fasta na kuielewa na kuanza kuifanya. Na akisema asaidiwe, anawez nasa kwa wapigaji.
 
Ndo maana nkaweka "kama unayajua mawe" Babako alitakiwa akupeleke ukasomee gemology mwaka .Kisha ukirudi uanze kuwa dalali miez 6 leo ungekuwa billionaire
 
Business idea and plan zinaanza hata kabla hujapata Hela ya mtaji kinyume na hapo all the best
Uzi ufungwe.
Hapa Niko natafuta mil 50 huku kichwani nishamaliza kila kitu, kwamba hizo mil 50 zinaenda wapi na zitafanya nini..!!!
Japo sijui pazukipatia..!!!

#YNWA
 
Aloo

Shukrani kaka kwa mawazo yako, yote nayaona mawazo bora hata kwa ambae anataka kufanya biashara ila chakuongezea ni kuwa biashara zote zonahitaji muda ni muhimu kwa biashara ambayo utaichagua ukaipa muda wakutosha ili kuona matokea bora
 
Faida hiyo na zaidi ukiamua kuwa unanunua tanzanite unakata unawauzia wenye maduka ya utalii kwa mil 25 kama ni mjuzi wa mawe 10 mil kwa mwezi unapata
Biashara ya mawe haiko straight foward namna hiyo. 1. Kwanza hakuna uhakika wa kupata mawe kila wakati. 2. Ukipata hakuna uhakika wa kuwa na thamani unayotegemea 3. Plus risks nyingine nyingi sana ambazo mpaka uwe kwenye field ndiyo utazijua.
 
Biashara ya mawe haiko straight foward namna hiyo. 1. Kwanza hakuna uhakika wa kupata mawe kila wakati. 2. Ukipata hakuna uhakika wa kuwa na thamani unayotegemea 3. Plus risks nyingine nyingi sana ambazo mpaka uwe kwenye field ndiyo utazijua.
Mm nko field mkuu.kinacholipa kwenye mawe sio kuvizia misimu .ni kuongeza thaman
 
Hakuna BIASHARA ambayo ni stress free labda ununue bond za serikali
Yani mtu anasemaje biashara halafu stress free?
Biashara na stress ni mapacha huwezi kuwatenganisha.

Hata hizo Bondi za serikali kipindi cha jiwe kuna watu walifilisiwa. Watu wanakuja wanakuuliza una bond milioni 300 umetoa wapi pesa, umefanya biashara gani, unalipa kodi Tsh ngapi
Pesa inakwenda.
 
Ubarikiwe Mkuu pamoja na wote walionipa ideas nawashukuruni sana
 
Napendelea ile biashara ambayo ni stress free, na ambayo inaweza kusimama vizuri bila direct involvement kwenye biashara.
Hakuna biashara ambayo ni stress free. Waswahili husemaa "Biashara mtu mwenyewe".
 
Lengo langu hasa la kufingua huu uzi ni kuangalia aina tofauti za biashara just incase i want to jump in I would know some clues and all that, ila uliposema “inayoweza kusimama vizuri bila direct involvement” , I was like , nope let me start with that, homie business doesn't run like that, You have to be involved 100%, i mean all in. You have to look for a way to be involved I mean thaaaat involved regardless you being full time employed. Business is no joke my brother, BUSINESS IS WAR and you got to be THE INFANTRY, lo entiendes ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…