Hyo hali ilinianza kubla ya kuishi na huyu binti baada ya kupata supplementary 2018
Hiyo roho inayokujia dili nayo MkuuNimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.
Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.
Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.
Naombeni msaada.
Tafuta mkoa wenye ardhi nzuri ya kilimo uende huko upate walau ekari 3 uwe bize masaa yote na kazi za shamba. Uhakikishe unashiriki physically kiasi kwamba jioni uko hoi, lazima usingizi utakuja na baadae utavuna mazao na kupata pesa.Nimetibiwa Muhimbili miaka yote hyo amna kitu
Hebu cheki na Chid Benz kwanza.Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.
Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.
Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.
Naombeni msaada.
Mkuu naiomba hiyo namba TafadhaliKama uko dar tembelea sinza Mori Kuna ajent pale wa kazi za nje ya hii nchi anaitwa competitive manpower limited.
Ngoja nikutaftie namba zao kwa mdau kwnza. Kuna jamaa humuhm jf amepata mchongo hapo juzi juzi tu
Best advice. Mtoa mada hukua hili... Hapo ulipo hama kwanza! Huko utakapoenda patakupush japo utaanza moja.Dah pole Sana mkuu, hali hiyo ni mbaya Sana Nina ushuhuda rafiki yangu alipata Hali kama iyo na sasa Iv dah inauma Sana amechanganyikiwa. wakati tunamaliza chuo kila mmoja alikuwa na matarajio makubwa Sana,binafsi sikurudi nyumban nilitafuta mkoa mwingine wa mbali sana, kijijini nikajichanganya na kilimo na biashara ndogo ndogo uku marafiki zangu Wakinibeza wao walirudi nyumban kusubiria Ajira, kifupi nilikula msoto haswaa lakini nilikaa kwenye mstari hapo baadae, kwa upande wao mambo yalikuwa tofauti Sana mategemeo Yao yakawa tofauti, ikafika mahali mawasiliano yalipotea nakuja kurudi nyumban kusalimia, nikasema niende na kwao maana ninapajua asee nilichokikuta dahh inauma Sana jamaa amechizika full na akuwahi kutumia madawa yeyote, nakushauri Hama sehemu uliyopo, tafuta Mishe yeyote ufanye, jiamini unaweza, mapenzi usiyapekipaumbele Sana, usikae peke yako Mda mrefu, usione aibu kujaribu fursa utakayoifikiria, uku ukiendele kutafuta Ajira, mwisho wa siku Mungu ndio mpaji, onyesha jitihad a utafanikiwa.
Nichek dmMkuu naiomba hiyo namba Tafadhali
Sawa kkPia badilisha ID hiyo sijui Mafanikio muda wote unawaza mafanikio kwani unadaiwa lazima ufanikiwe ? Chukulia maisha very simple ila unatakiwa upambane kila kitu utapata kwa wakati wake...
PM umefunga mkuuNichek dm
Kwa nini asipige nyeto mkuu?Ila ukiwa jobless au kipato kidogo jitahidi kutojihusisha na mapenzi kabisa.
Hata nyeto usipige, komaa kutafuta hata vibarua tu.
Kujihusisha na mambo ya ngono vitakuletea sonona zaidi.
Usilaumu watu kwa kufeli kwako, tathmini makosa na ulipokosea na utafute soln.
Sonona ni mbaya sana, faraja na furaha yako i ndani yako, usimtegemee mpenzi, ndgu au rafiki akupe furaha.
Mimi nilikua najitahidi nipate bundle tu, madem nikaachana nao kabisa na wala sikua natongoza kabisa(mpaka leo).
Mkuu usitegemee demu wako akupe furaha, jitafute wewe mwenyewe. Ridhika na ulichonacho, usitake kua kama fulani, jitafute.
Ulikosea wapi?? Rekebisha, muda unao, nguvu unazo, wao wana nini na wewe ushindwe.
Ni mwiko na marufuku kukata tamaa.
📌🔨 Nakaziavuta bangi
KAMA upo Dar njoo pm nikupe namba ya daktari bingwa wa magonjwa ya akili,huyu jamaa atakusaidia Ila tu ,dawa ni bei kidogo kwenye maduka ya mtaani Kwa town bei ni rahisi Tu,ila utapona na kurudi sawa as per doctor instructionsPole mkuu nahitaji kukuandikia mengi on how you can overcome that challenge.
Check on me +255658124288 via WhatsApp then I will share with you A lot about negative emotions.
Naomba na MTU mwingine ambaye yupo na msongo Wa mawazo anicheki