Yan uko kwenye matatizo, ukaamua kuongeza tatizo jingineMwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.
Hizo zinasaidia niniMeza citaloprilom 20mg kidonge kimoja na promethazine 20mg vidonge viwili kila siku usiku
Acha kujenga hofu ya kupata usingizi just relax utakuja tu wenyewe
Sent from my 21061119AG using JamiiForums mobile app
Citaloprom na promethazine zinasaidia kutuliza ubongo na kupata usingizi hizi dawa hazina addictionHizo zinasaidia nini
Nyeto ni kujifariki kijinga.Kwa nini asipige nyeto mkuu?
Anza utaratibu was kuchemsha chai yenye majani yakutosha bila kuweka sukari!Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.
Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.
Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.
Naombeni msaada.
Kwann mkuu wakati haina tofauti na tendo lenyewe? Tena unaondokana na stress za kuhongaNyeto ni kujifariki kijinga.
🤣🤣 zingatia maokotoPole mkuu nahitaji kukuandikia mengi on how you can overcome that challenge.
Check on me +255658124288 via WhatsApp then I will share with you A lot about negative emotions.
Naomba na MTU mwingine ambaye yupo na msongo Wa mawazo anicheki
Kama hii ndio roho yako endelea nayo mkuuMimi sina group na sifanyi biashara ya kuuza maarifa, haya maarifa tumepewa na Mungu hivyo siwezi kushindwa kummulikia mwanga MTU yoyote aliyepo gizani.
Sio vizuri kufikiria kutaka kujiua.Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.
Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.
Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.
Naombeni msaada.
Upo katika wakati mgumu sana,lakini njia hii ya kushirikisha watu utaponaNimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.
Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.
Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.
Naombeni msaada.
Nipe namba yake mkuu.Nilimuacha dem wangu dar pisi kali kinoma nikaja mkoani kujitafuta siku zilivyokua zinazidi kwenda mawasiliano yakawa yanapungua inaweza pita siku hatujawasiliana, nikajiongeza nikaamua kumfungia vioo nayeye akafanya the same nikawa naview status zake za mafumbo baadae nikaamua kuacha na kuangalia status zake tho naumia coz nilimpenda ila maisha ndio yametutenganisha uwezo wa kumuhudumia sasa mimi sina bado najitafuta, ni mwanamke mzuri lazima atapata mtu mwenye uwezo, G nilikupenda ila nimeamua nijitenge ili kuepusha mengi, haya maisha kama huna hela mapenzi weka pembeni. Am out.
Nenda kwa Mwamposa.Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.
Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.
Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.
Naombeni msaada.
Umekalibia kupatwa na kiharusiNimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.
Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.
Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.
Naombeni msaada.