Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
hapo ulipo but your not aware of itMbinguni ndio wapi Rafiki hizo ni sehemu za kubuniwa hakuna sehemu mbinguni kama ipo tuambie wapi 😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo ulipo but your not aware of itMbinguni ndio wapi Rafiki hizo ni sehemu za kubuniwa hakuna sehemu mbinguni kama ipo tuambie wapi 😁😁😁
Kwahiyo Quran imeshushwa? Kumbe mbinguni kuna printer kabisa?Sasa kama umetoa ushahidi juu ya Mwenyezi mungu kuweza kuyaandika mawe na kumkabidhi nabii Mussa, unashangaa nini juu ya Quran tukufu kushushwa?
kwa mujibu wa maandiko wansema juu utaona hata YEsu alikuwa anainua mikoni yake juu nakuelekea mbingunihapo ulipo but your not aware of it
Hapa napo pana kau kakasi ngoja tuwaskilize miambaHeri ya Pasaka?
Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.
Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?
JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?
1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.
2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?
3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.
4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?
Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .
Natanguliza shukrani nyingi.
Dini ni dhana na mawazo ya kufikirika zaidi.Mungu anatafutwa kwa shida na mashaka sana,
Yaani watu wana-force hata kusadiki!
Kwa sifa za Mungu mwenyewe, yafaa Mungu mwenyewe awasaidie watu, kwa kuwa nia yao ni njema, wanataka kumjua kama walivyofanya Waisrael walipomwambia Mussa wanataka kumwona Mungu wenyewe, wakidai wamechoka habari za kuletewa, wanataka wamwone ili wamtukuze! Cha abau kuna watu wengi wamepoteza maisha yao au wakati wanalazimishwa kusadiki au wakati wa kulazimisha wengine wasadiki.
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuuMkristo anawezakuwa Phd holder lakini linapokuja suala la dini anakuwa mpuuzi wa kureasoning zaidi ya mwehu.
Kuna bibi hapa JF akiona hii comment yako vita kali itazuka hapa kwenye huu uzi [emoji23][emoji23][emoji23]Waislamu ni wapumbavu sana hawa watu.
Ndugu Quran haikushushwa Kwa karatasi au kwenye mawe quran imeshuhswa Kwa njia ya Revelation{wahyi) ambapo malaika jibril au Gabriel alikua akiifikisha moja Kwa moja Kwa mtume Muhammad Kwa njia hio kutokana na matukio mbali mbali na Muhammad aliyasoma maneno hayo Kwa wafuasi wakeHeri ya Pasaka?
Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.
Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?
JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?
1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.
2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?
3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.
4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?
Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .
Natanguliza shukrani nyingi.
Yani mbinguni Joka kawasumbuwa tukatupiwa duniani.
Ukitaka kujuwa dini ni Utapeli ndio kwenye maandiko kama haya.
Kwahiyo Mungu akaona duniani ndio panawafaa viumbe aliowashindwa hata yeye?Lusifer Alikuwa MBINGUNI MALAIKA Alikuwa KIONGOZI wa Kuomba na kusifu.
MUNGU alimpendelea sana.
Alipoasi yeye na theluthi ya MALAIKA akatupwa Duniani.
Baada ya kutupwa Duniani, Lusifer akaitwa Shetani, au Joka.
MALAIKA walioasi wakaitwa Majini, MAPEPO, MASHETANI nk....
Hii ni kwa mujibu wa Bible
Namjua yule Bibi ni mpumbavu tuKuna bibi hapa JF akiona hii comment yako vita kali itazuka hapa kwenye huu uzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Izi zilizoandikwa zilikuwa zipi ?Na wengi wao wakahifadhi kichwani hayo maneno ya Qur'an
Qur'an kunakiliwa kwenye karatasi Kwa kutumia kalamu imenakiliwa na masahaba za mtume na wala haikushushwa ikiwa imeandikwa tayar
Natumai utakua umenifaham ndugu yangu
Heri ya Pasaka?
Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.
Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?
JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?
1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.
2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?
3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.
4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?
Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .
Natanguliza shukrani nyingi.
Mkristo anawezakuwa Phd holder lakini linapokuja suala la dini anakuwa mpuuzi wa kureasoning zaidi ya mwehu.
🤣🤣🤣 kwamba mbinguni kuna stationary na sijui wanauza na winoKwahiyo Quran imeshushwa? Kumbe mbinguni kuna printer kabisa?