Heri ya Pasaka?
Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.
Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?
JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?
1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.
2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?
3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.
4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?
Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .
Natanguliza shukrani nyingi.
KUNA SIRI NZITO SANA kuhusu Quran, NA DINI ya kiislamu, naeleza kifupi sana
Quran imetoka , kwa Allah mungu wa Muhammad (yule mwenye watoto watatu wa kike) , NA SIO toka kwa Mungu Yahweh, Mungu wa Israel...... Muhammad na wenzake waliandika Quran ili kuweza kuwashawishi wakristo na wayahudi kumuamini mungu wa kabila la muhammad, allah ndio maana mmeona wamekopi kopi stori za biblia, wamejaribu kumfananisha mungu wa Kabila lao afanane na Mungu wa Israel ili kuwashawishi wakristo na wayahudi waamini , Pale walipogoma kumuamini, sasa ili bidi PANGA LIANZE KUPITA , kama mnakumbula Yesu alitabiri kuwa mtauwawa kwa sababu ya Jina lake yeye YESU (KING OF KINGS) , Mtume Paulo alitabiri kuna malaika wa Mwanga atakuja kuwadanya wengi, ndiye yule aliye mtokea mtume wa allah Kuwaletea Quran, Quran imechimba mkwara kuhusu kui hoji hoji, ina vitisho vingi mnoo,,, ndio maana hawana Muda wa ku ihoji na anayepinga kitabu hicho ametishishwa mnoo,,,,the devil is very intelligent
Time to accept Jesus Christ who died for your sins
Na
Mtume wa mungu wao Allah alitabiri alisema
"The most awful name in the day of resurrection will be the man who calls himself king of Kings"
King of king is Jesus , no wonder allah himself is afraid of a man who calls himself king of kings
Waislamu na Wakristo lets keep on loving one another in the name of Jesus ( TRUTH SHALL SET US YOU FREE)
Christians are taught to love all people ...muslims always hate Christians & Jews
God is LOVE [emoji120][emoji120]PEACE in Jesus'NAME