Msaada kwa wenye utaalamu na masuala ya dini je ni kweli Quran imeshushwa kutoka mbinguni?

Msaada kwa wenye utaalamu na masuala ya dini je ni kweli Quran imeshushwa kutoka mbinguni?

Akili yangu ni ndogo sana mkuu.

Nahitaji kujifunza zaidi na zaidi.
Ndio maana ya kuuliza swali.

Heri wewe mwenye akili nyingi uliyeweza kujibu swali kwa ufasaha
Ninajibu kwa uchache wa elimu yangu kuhusu swali lako ni hivi kitabu kitukufu cha quran hakikushuka kama karatasi kama unavyodai wala hakikuwa kama vile kilivyo bali yale ni maneno yaliyokuwa yakipelekwa kwa mtume Muhammad s.a.w kupitia kiongozi wa malaika wote jibrill mara nyingi alishushiwa kwenye kusimulia watu wa wakati wake kuhusu khabari za watu waliopita na ufafanuzi matatizo mbali mbali kwa wakati wake ndio maana quran sio kama vitabu vingine mfano hadithi kinaanza mwanzo wa story mpaka mwisho kwa mpangilio wa visa hapana

Wabillahi taufiq mola ndio mjuzi zaidi
 
Kwahiyo Mungu akaona duniani ndio panawafaa viumbe aliowashindwa hata yeye?

Logic inakataa, hapa mtunga mashairi alipuyanga.

Ukisoma mashairi ya Shabaan Robert kumbe wa juzi tu, basi hawana magenius wa zamani walikuwa washairi wazuri ila kuna sehemu logic inakataa.
Cha kuelewa ni kwamba wakati Joka anatupwa Duniani palikuwa ukiwa tena ukiwa mtupu, giza likiwa limetanda kuifunikiza dunia hapakuwepo mti wala mwanadamu duniani. Tambua Joka hakutupwa Duniani ili kuitawala bali kupewa adhabu baadaye sanaaaa ndo wazo la Mungu kuweka mtawala Duniani likamwijia ikambidi aweke mazingira ya kumfanya mtawala kuenjoy utawala wake.
 
Ninajibu kwa uchache wa elimu yangu kuhusu swali lako ni hivi kitabu kitukufu cha quran hakikushuka kama karatasi kama unavyodai wala hakikuwa kama vile kilivyo bali yale ni maneno yaliyokuwa yakipelekwa kwa mtume Muhammad s.a.w kupitia kiongozi wa malaika wote jibrill mara nyingi alishushiwa kwenye kusimulia watu wa wakati wake kuhusu khabari za watu waliopita na ufafanuzi matatizo mbali mbali kwa wakati wake ndio maana quran sio kama vitabu vingine mfano hadithi kinaanza mwanzo wa story mpaka mwisho kwa mpangilio wa visa hapana

Wabillahi taufiq mola ndio mjuzi zaidi


Asante sana Kwa Majibu Mazuri kaka.
Samahani nakuongezea swali jingine.

Nilipokuwa Napitia Quran nimekutana na hii Aya sijaelewa kabisa.

2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI.
ADUI WA MUNGU NI SHETANI.

INAVYOONYESHA SHETANI NDIO AMEANDIKA KWA KUSHIRIKIANA NA MOOD.??????????

MSAADA tafadhari.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwamba mbinguni kuna stationary na sijui wanauza na wino
Stationary Mbinguni Ipo,Kama Ipo duniani Kwa Nini Mbinguni Isiwepo.Kinachowezekana Kwa Mwanadamu Mungu Hakimshindi,Mbinguni Inawezekana Ipo Stationary Kwani Mungu Anashindiwa Nini Kujenga Stationary,Kama Babako Kaweza Mungu Hawezi Shindwa
 
Kutokana Na Yuda 1:4 wewe Unafikiri Kafiri Ni Nani?
Kafiri Ni Wakristo za Zama Hizi Kwani Humkana mungu aliye Mmoja,Huamini Mungu Katika utatu
Waislamu Huamini Mungu mmoja Na Humwamini Yesu Kuwa Ni Mtume wa Mungu.
Wewe endelea tu kushikilia Imani Yako isiyokuwa na msingi wa Elimu sahihi ya MUNGU. Wenzenu wanapata ukweli wa juu ya UONGO ulioko kwenye Quran wanauacha Uislam in big numbers. Islam started as something strange as is fast going back to being strange- kituko
Ona hii screen shot
 

Attachments

  • Screenshot_20230520-175626.png
    Screenshot_20230520-175626.png
    121.8 KB · Views: 7
Quran haiukushuka, kuhusu hii dini ya Kiislamu Papa ndiye mwenye siri zote pamoja na Saudi Arabia.


Nilisoma UFUNUO 9 JINSI DINI hii shimo la Jehanam lilivyozuka.

Tunawaelekeza hawaelewi

VATCAN WABAYA SANA
 
Quran itakuwaje kitabu kilichoshushwa Toka kwa Mungu iwapo Mtume wake ndiyo kama hivyo ilivyo kwenye hii video footage!!!
 

Attachments

  • pt-1-muhammad-stealing-his-son-s-wife-zainab-christian-prince-vidloadr.mp4
    7.6 MB
Ninajibu kwa uchache wa elimu yangu kuhusu swali lako ni hivi kitabu kitukufu cha quran hakikushuka kama karatasi kama unavyodai wala hakikuwa kama vile kilivyo bali yale ni maneno yaliyokuwa yakipelekwa kwa mtume Muhammad s.a.w kupitia kiongozi wa malaika wote jibrill mara nyingi alishushiwa kwenye kusimulia watu wa wakati wake kuhusu khabari za watu waliopita na ufafanuzi matatizo mbali mbali kwa wakati wake ndio maana quran sio kama vitabu vingine mfano hadithi kinaanza mwanzo wa story mpaka mwisho kwa mpangilio wa visa hapana

Wabillahi taufiq mola ndio mjuzi zaidi
Asante kwa ufafanuzi mkuu maana hapo awali nilikuwa najua kuwa kilianguka tu Toka mawinguni puu kikiwa Kimeandikwa tayari.
 
Asante kwa ufafanuzi mkuu maana hapo awali nilikuwa najua kuwa kilianguka tu Toka mawinguni puu kikiwa Kimeandikwa tayari.


BAHATI Mbaya Imeandikwa na ADUI WA MALAIKA WA MUNGU.

IMEANDIKWA na ADUI WA MUNGU.
 
Stroke

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Heri ya Pasaka?

Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.

Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?

JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?

1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.

2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?

3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.

4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?

Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .

Natanguliza shukrani nyingi.
Namba 3- kuwa Mungu aliandika hizo amri 10 kwenye mawe umejua kwasababu umesoma kwenye kitabu (biblia) ambayo imeandikwa na watu kama wewe! Kwahiyo hao watu ndio wamekuambua/kukuaminisha kuwa Mungu aliandika amri 10 kwenye mawe!
Naamini hukuyaona hayo mawe na vizazi vyake 10 nyuma nao hawakuyaona.
Hivi bado yapo hayo mawe yaliyoandikwa? Yamehifadhiwa wapi? Je hizo amri 10 alikaa chini akaandika kwa mkaa, chaki, kwakuchonga na kitu Chenye ncha kama chuma hivi!? Kulikuwa na vyuma zama hizo!? Au alitumia nyenzo gani? Jiwe kwa jiwe ama!?

Hayo maneno kwenye biblia yanayoelezea Mungu unayemuamini wewe yameandikwa na nani? Aliandika mwenyewe Mungu/Yesu akawapa watu wasome? Alikuwa na printer, karatasi kipindi hicho? (hili linaendana na swali lako la kwanza na la pili).

Utakuwa una hoja yamsingi sana ila huenda namna ulivyoiwasilisha haikukaa sawa au umekosea kidogo tu maana maswali hayo unayouliza kuhusu Quran hata kwenye biblia pia ni yakufikirisha.
Au neno kushushwa ndio linakutatiza? Unahisi labda msahau (kuna tofauti ya msahafu na Quran) uliandikwa na kushuswa mzima mzima!
 
Namba 3- kuwa Mungu aliandika hizo amri 10 kwenye mawe umejua kwasababu umesoma kwenye kitabu (biblia) ambayo imeandikwa na watu kama wewe! Kwahiyo hao watu ndio wamekuambua/kukuaminisha kuwa Mungu aliandika amri 10 kwenye mawe!
Naamini hukuyaona hayo mawe na vizazi vyake 10 nyuma nao hawakuyaona.
Hivi bado yapo hayo mawe yaliyoandikwa? Yamehifadhiwa wapi? Je hizo amri 10 alikaa chini akaandika kwa mkaa, chaki, kwakuchonga na kitu Chenye ncha kama chuma hivi!? Kulikuwa na vyuma zama hizo!? Au alitumia nyenzo gani? Jiwe kwa jiwe ama!?

Hayo maneno kwenye biblia yanayoelezea Mungu unayemuamini wewe yameandikwa na nani? Aliandika mwenyewe Mungu/Yesu akawapa watu wasome? Alikuwa na printer, karatasi kipindi hicho? (hili linaendana na swali lako la kwanza na la pili).

Utakuwa una hoja yamsingi sana ila huenda namna ulivyoiwasilisha haikukaa sawa au umekosea kidogo tu maana maswali hayo unayouliza kuhusu Quran hata kwenye biblia pia ni yakufikirisha.
Au neno kushushwa ndio linakutatiza? Unahisi labda msahau (kuna tofauti ya msahafu na Quran) uliandikwa na kushuswa mzima mzima!

JIWE LA MOAB.

katika mwaka wa 1868 kule Diboni, Yordani Kulipatikana jiwe lifaamikalo kama MOABITE STONE lililogunduliwa na mwana akiolojia na mmishionari wa ujerumani Klein,

Jiwe hili linathibitisha vita ya wa moabu dhidi ya Israeli kama ilivyoandikwa katika 2 WAFALME 2 na 3.

Kati ya shuhuda za kiakiolojia za kabila hili la wa moabu ni Jiwe la Mesha, linaloeleza ushindi wao dhidi ya mwana wa mfalme Omri wa Israeli.


1619285584601.png
JIWE HILI LILIKUTWA LIMEANDIKWA MANENO HAYA

“Mimi ni Mesha […] mfalme wa moabub […] Omri alikuwa mfalme wa Israeli, na akawatesa moabu Moabu […]Nilichukua kutoka humo vyombo vya Yehova […] ilihali nyumba ya Daudi ilimiliki Horonaimu


Jiwe la moabu ni maelezo ya matukio yanayofanana na 2 Wafalme sura ya 3. Watu kadhaa wa bibilia na mahali hutajwa:


1619285427570.png


1619285475248.png

Jiwe la MOABU Lilikuwa na umri unaokaribia miaka 3,000. Ni kipande cha jiwe la basalti jeusi lililosuguliwa likiwa na upande wa juu ulioviringishwa vizuri, lilikuwa na kimo cha karibu meta 1.2 likipita kidogo tu upana wa meta 0.6, na likiwa na unene unaokaribia meta 0.6
 
Usiwe mvivu wa kutembea NENDA islael utakutana na vitu kibao.....................
 
Namba 3- kuwa Mungu aliandika hizo amri 10 kwenye mawe umejua kwasababu umesoma kwenye kitabu (biblia) ambayo imeandikwa na watu kama wewe! Kwahiyo hao watu ndio wamekuambua/kukuaminisha kuwa Mungu aliandika amri 10 kwenye mawe!
Naamini hukuyaona hayo mawe na vizazi vyake 10 nyuma nao hawakuyaona.
Hivi bado yapo hayo mawe yaliyoandikwa? Yamehifadhiwa wapi? Je hizo amri 10 alikaa chini akaandika kwa mkaa, chaki, kwakuchonga na kitu Chenye ncha kama chuma hivi!? Kulikuwa na vyuma zama hizo!? Au alitumia nyenzo gani? Jiwe kwa jiwe ama!?

Hayo maneno kwenye biblia yanayoelezea Mungu unayemuamini wewe yameandikwa na nani? Aliandika mwenyewe Mungu/Yesu akawapa watu wasome? Alikuwa na printer, karatasi kipindi hicho? (hili linaendana na swali lako la kwanza na la pili).

Utakuwa una hoja yamsingi sana ila huenda namna ulivyoiwasilisha haikukaa sawa au umekosea kidogo tu maana maswali hayo unayouliza kuhusu Quran hata kwenye biblia pia ni yakufikirisha.
Au neno kushushwa ndio linakutatiza? Unahisi labda msahau (kuna tofauti ya msahafu na Quran) uliandikwa na kushuswa mzima mzima!


Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.
Mithali 26:4
 
Stroke

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Shetani baba wa uongo.
 
Heri ya Pasaka?

Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.

Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?

JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?

1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.

2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?

3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.

4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?

Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .

Natanguliza shukrani nyingi.
Jibu Ni NDIO imeshushwa kutoka katika kitabu kitukufu cha Mbinguni cha kwake yeye Mwenyezi Mungu kinacho rekodi kila tukio kuanzia alipoanza kuumba Hadi wewe unaposhusha Uzi huu kitabu kilikwisha andika na kitaendela kuandika mpaka mwenyew atakapo amua kiache...

Matendo yote ya binadamu mazuri na mabaya yamerekodiwa humo japo na malaika wanaandika lakini hiki ndio kitabu kikuu cha kumbukumbu zote hivyo vitabu vyote vometokea humu

QURAN 57:22 kila kitu kimekwisha andikwa katika kitabu

21:105 zaburi imeteremshwa kutoka katka kitabu

7:145 tourat pia imeshuka kutoka kitabuni

85:21-22 Quran kutoka kitabuni

Allah A'alam...



Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom