Msaada kwa wenye utaalamu na masuala ya dini je ni kweli Quran imeshushwa kutoka mbinguni?

Msaada kwa wenye utaalamu na masuala ya dini je ni kweli Quran imeshushwa kutoka mbinguni?

Heri ya Pasaka?

Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.

Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?

JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?

1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.

2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?

3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.

4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?

Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .

Natanguliza shukrani nyingi.
Quran ilishushwa na majini ndy maana majini yote ni maislamu hakuna mbingu yoyote iliyoshusha Quran
 
Quran ilishushwa na majini ndy maana majini yote ni maislamu hakuna mbingu yoyote iliyoshusha Quran

Quran 2:97

Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur’ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.”

NAKUUNGA MKONO ADUI WA GABLIEL HAWEZI KUWA MUNGU.
ADUI WA GABLIEL NI SHETANI.
 
Heri ya Pasaka?

Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.

Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?

JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?

1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.

2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?

3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.

4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?

Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .

Natanguliza shukrani nyingi.
Yaani, Google inaweza kukusaidia mara elfu, maana uwaulizao ni vipofu wa kuona na kuchambua na viziwi wa kusikia.. Means, unataka hoja 8toke humu? Wengi hawana idea hata kidogo kuhusiana na Q'uran au question yako ilikuwa ni kuanzisha kelele humu ndani?
 
Sijashangaa Member nimeuliza, Hilo ni swali????

Nauliza JE ilishushwaje???
Ilichapwaje??
Coverage ilipatikanaje????.
Printer nk......

Ungejibu hoja ingependeza zaidi
Jibreel, Jibreel, Gabriel and more Gabriel alileta ujumbe, kila kitu kilikuja kuandikwa many years later, kama vitabu vilivyo pita, kwenye stone tablets, magogo ya miti, ngozi za wanyama, kwenye vipande vigumu vya nguo Enzi hizo then karatasi finally just like Torah, Psalms, Bible then Q'uran... Hakuna kilichokuwepo tofauti katika kuhifadhi hivi vitabu muhimu.
 
Kwahiyo Mungu akaona duniani ndio panawafaa viumbe aliowashindwa hata yeye?

Logic inakataa, hapa mtunga mashairi alipuyanga.

Ukisoma mashairi ya Shabaan Robert kumbe wa juzi tu, basi hawana magenius wa zamani walikuwa washairi wazuri ila kuna sehemu logic inakataa.
Ignorance comment
 
Jibreel, Jibreel, Gabriel and more Gabriel alileta ujumbe, kila kitu kilikuja kuandikwa many years later, kama vitabu vilivyo pita, kwenye stone tablets, magogo ya miti, ngozi za wanyama, kwenye vipande vigumu vya nguo Enzi hizo then karatasi finally just like Torah, Psalms, Bible then Q'uran... Hakuna kilichokuwepo tofauti katika kuhifadhi hivi vitabu muhimu.



Quran 2:97

Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur’ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.”

NAKUUNGA MKONO ADUI WA GABLIEL HAWEZI KUWA MUNGU.
ADUI WA GABLIEL NI SHETANI.

Jibu hapa tukuone
 
Heri ya Pasaka?

Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.

Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?

JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?

1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.

2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?

3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.

4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?

Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .

Natanguliza shukrani nyingi.
Habari mkuu, Naimani ni Mzima wa Afya...

Kuhusu swali la Je, ni kweli Qur-an ilishushwa kutoka mbinguni?????
Swali lako ni swali ambalo sio swali lililokamilika. Japo watu wengi wanajaribu kukujibu kwa maarifa mazuri ya hekima na wengine kukukashifu wewe pamoja na dini nyingine ambayo hawajui kama wewe upo kwenye dini hiyo au laa!!!

Kwanza kabisa tuangalie hali uliyonayo katika kuuliza swali lako!
  • Je, unauliza ili kupata jibu la ndio au hapana?
  • Je, unauliza kwa sababu ya kujenga hoja?
  • Je, unauliza kwa sababu ya kukebehi?
  • Je, unaulizia kwa sababu ya kuongeza elimu?
Vyovyote vile dhamira yako ya kuuliza unaifahamu wewe mwenyewe na nafsi yako. Lakini yoyote anaetaka kukujibu yapaswa afahamu anamjibu mtu gani na wa hali gani?

kwa maana kila mtu anajibiwa kulingana na hekima ya muulizaje.

Ikiwa swali lako unauliza na wewe ni Mtu anaeamini uwepo wa Mungu haijarishi ni dini gani basi kuna jinsi ya kujibiwa kwako..

Lakini vile vile ikiwa unauliza na wewe ni mtu ambaye hata ukisikia neno Mungu unahisi kichefu chefu na kuona ni uongo. Basi pia kuna jinsi wewe unataka kujibiwa pia.....

Kuna maswali ukitaka kumjibu mtu lazima utumie roho na imani na kuna maswali ukiwa unataka kumjibu mtu lazima utumie akili na uelewa....

Yote kwa yote...
Kukujibu kiimani ni njia sahihi zaidi ingawa hujataka kujibiwa kiimani kwa maana Thread yenyewe umeiweka kwenye Jukwaa la Jamii ya Akili(Intelligence) na hili kupelekea wewe kuwa unataka kujibiwa kiakili zaidi.

Hivyo hadi kufikia hapa nitakua nimeelewa swali lako limeelemea wapi unless otherwise unirekebishe kwamba ulitaka kujibiwa kiimani...

Na kama ulitaka kujibiwa kiimani basi moja kwa moja kwa hao member waliokujibu hapo juu utakuwa teyari umeshapata jibu lako lakini kwa kuwa umeelemea kwenye Intelligencer twende pamoja...

JE, QURAN ILISHUSHWA KUTOKA MBINGUNI?

Jibu ni hapana ikiwa tu unauliza kitabu kama kitabu ambacho kimepigwa copy za kutosha basi ni kweli hakikushuka kutoka mbinguni,

Lakini ikiwa unauliza Chanzo chake ni wapi basi hapana shaka ni Maneno ambayo yameshuka kutoka mbinguni kupitia Roho takatifu ambaye ni Malaika wa Mwenyezi Mungu...............

Jinsi ilivyoshushwa na aliyepokea hilo ni swali lingine ikiwa utauliza lakini naamini hadi hapo utakuwa umepata jibu la kwanza.....

Swali lako la pili: Inamaana Mungu alitengeneza karatasi

Jibu ni HAPANA...

Swali la tatu akatafuta peni na printer na kadhalika?

Jibu ni HAPANA...

Swali la Mwisho Je tunaushahidi gani kama Qur-an ilishushwa na Mungu?

Jibu ni KAMILISHA SWALI LAKO ILI NIJUE NAKUPA USHAHIDI GANI UNAOTAKA
Lakini kama unataka roughly Quran ni kitabu ambacho chenyewe kinajitaja kwamba

"Hiki ni kitabu kisichokuwa na Shaka ndani yake, Na Ni uwongofu Kwa Wacha Mungu..

Quran 2: 2

Sasa ndugu yangu Ikiwa wewe sio Mcha Mungu saa ngapi hiyo Quran utaamini ama kuthibitisha kuwa inatoka kwa Mwenyezi Mungu?

Bado Quran 2: 272

Inasema:

Si juu yako wewe kuwaongoa, Lakini Mwenyezi Mungu humuongoa amtakaye.

Kama haitoshi

Quran: 2: 256

Inasema:

Hapana kulazimishana katika dini.....

Sasa hao wanaokulazimisha uamini wanavyoamini wao nao hawapo sawa wanasahau kuna watu imeshasema:

Quran; 22:46

Kwani HAKIKA si macho yanayo pofuka, lakini zinazopofuka ni nyoyo ziliomo vifuani

Sasa mtu ambaye kapofuka moyo rejea kwa Firauni na Waliokufuru wengine walikuwa wakiletea uongofu walikuwa wakisema "hadha sihirul Mubiin' huu ni uchawi ulio Dhahiri.....

Bado wewe unataka Quran ishushwe kama mazingaombwe watu kama wewe watasema Aliens walipita na ndege wakadondosha karatasi hizi Basi hawataamini...

N.B
Nimejibu ulivyo uliza ikiwa unataka kujenga hoja jenga hoja kwa mazingatio ya jukwaa husika

Rakims
 
Quran 2:97

Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur’ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.”

NAKUUNGA MKONO ADUI WA GABLIEL HAWEZI KUWA MUNGU.
ADUI WA GABLIEL NI SHETANI.

Jibu hapa tukuone
Really.. Don't twist the word of Almighty... Hii Aya inasema hivi kwa wale wenye upeo... "waambie kuwa yule aliyekuwa ni adui wa Gabriel (Jibreel) (ajue kwamba) Mwenyezi Mungu ameiteremsha (Qur’ani) moyoni wako (kwa maana Mtume) kupitia Jibreel kwa idhini yake Muumba wa mbinguni na Dunia na pia inasadikisha Vitabu vilivyoteremshwa kabla yake, (Torah, Psalms, Bible) na ni uwongofu na bishara njema kwa Mwenyezi Mungu. watu wa Imani watamuamini Mtume (SAW) na wasio na Imani watamkana mtum (SAW)

Sasa, kwa asiyejua kusoma haya maneno kwa ufasaha basi utajikuta ukibadilisha dhamira yake. Poleeeee!
 
Quran 2:97

Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur’ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.”

NAKUUNGA MKONO ADUI WA GABLIEL HAWEZI KUWA MUNGU.
ADUI WA GABLIEL NI SHETANI.

Jibu hapa tukuone
Una onyesha kutoelewa unachosema. Huna point zaidi ya kutwist words kama baadhi ya viongozi wa dini mitaji. Huelewi lugha ya Q'uran, unachofanya hakina mantiki yeyote. Bisha utakavyo, huujui UISLAM. Alhamdulillah!
 
Una onyesha kutoelewa unachosema. Huna point zaidi ya kutwist words kama baadhi ya viongozi wa dini mitaji. Huelewi lugha ya Q'uran, unachofanya hakina mantiki yeyote. Bisha utakavyo, huujui UISLAM. Alhamdulillah!

Sema unayejua tukusikie.

Unatumia NGUVU kunishambulia Baada ya kunishambulia hoja.

Muwe mnaficha UJINGA
 
jaman kile kifungu nilikupa alivyochukuliwa yesu ulisoma? Ebu rudia kule ...
Ni hivi yesu hakufa na yule aliteswa pale Mungu aliresemble among of them yaani alimfananisha miongo mwao ndo wakamkata ila sio isa ...Isa bin maryam alipaishwa ipo dhahiri.
Eh ety alimfananisha 😂 Waislamu mna vituko nyie
 
Kwasababu ALLAH ametaka iwe hivyo. Kwamba mwisho wa siku Masihi Issa ndiye atakayekuja kuondoa mzozo wa dini itafahamika kuwa ipi ni dini ya haki lakini itawafaa nini wale ambao watakuwa wamekufa ilihali hawakuifata dini ya haki?
Kumbe kuna mzozo wa kujua ipi ni dini ya haki.! 😂 Sasa kwann wahukumiwe watu ingali Issa mwnyw anajua kuna mzozo wa dini.? Na kama kuna mzozo, je watu watajuaje hy dini ya haki.?
 
Eh ety alimfananisha 😂 Waislamu mna vituko nyie
Waislam mambumbumbu kama Accumen, nikuwaacha tu. Wenzao wengi wamestukia uongo wa kijinga ndani ya Quran na wanakuwa exmuslims. Take my word, huu mwaka hautaisha na sisi Tanzania tutashuhudia mass exodus of Muslims from their religion; hasa wale wanaotumia mitandao kikilifu
 
Waislam mambumbumbu kama Accumen, nikuwaacha tu. Wenzao wengi wamestukia uongo wa kijinga ndani ya Quran na wanakuwa exmuslims. Take my word, huu mwaka hautaisha na sisi Tanzania tutashuhudia mass exodus of Muslims from their religion; hasa wale wanaotumia mitandao kikilifu
Akili za Waislamu wanazijua wnyw
 
Ninajibu kwa uchache wa elimu yangu kuhusu swali lako ni hivi kitabu kitukufu cha quran hakikushuka kama karatasi kama unavyodai wala hakikuwa kama vile kilivyo bali yale ni maneno yaliyokuwa yakipelekwa kwa mtume Muhammad s.a.w kupitia kiongozi wa malaika wote jibrill mara nyingi alishushiwa kwenye kusimulia watu wa wakati wake kuhusu khabari za watu waliopita na ufafanuzi matatizo mbali mbali kwa wakati wake ndio maana quran sio kama vitabu vingine mfano hadithi kinaanza mwanzo wa story mpaka mwisho kwa mpangilio wa visa hapana

Wabillahi taufiq mola ndio mjuzi zaidi
 
Akili za Waislamu wanazijua wnyw
Ninajibu kwa uchache wa elimu yangu kuhusu swali lako ni hivi kitabu kitukufu cha quran hakikushuka kama karatasi kama unavyodai wala hakikuwa kama vile kilivyo bali yale ni maneno yaliyokuwa yakipelekwa kwa mtume Muhammad s.a.w kupitia kiongozi wa malaika wote jibrill mara nyingi alishushiwa kwenye kusimulia watu wa wakati wake kuhusu khabari za watu waliopita na ufafanuzi matatizo mbali mbali kwa wakati wake ndio maana quran sio kama vitabu vingine mfano hadithi kinaanza mwanzo wa story mpaka mwisho kwa mpangilio wa visa hapana

Wabillahi taufiq mola ndio mjuzi zaidi
 
Back
Top Bottom