Msaada kwa wenye utaalamu na masuala ya dini je ni kweli Quran imeshushwa kutoka mbinguni?

Msaada kwa wenye utaalamu na masuala ya dini je ni kweli Quran imeshushwa kutoka mbinguni?

SOMA QUR'AN 3:144 .
Wapi katika aya hii imesema kuwa masihi amekufa?
Aal-e-Imran 3:144

وَمَا مُحَمَّدٌ إِلَّا رَسُولٌ قَدْ خَلَتْ مِن قَبْلِهِ ٱلرُّسُلُۚ أَفَإِي۟ن مَّاتَ أَوْ قُتِلَ ٱنقَلَبْتُمْ عَلَىٰٓ أَعْقَٰبِكُمْۚ وَمَن يَنقَلِبْ عَلَىٰ عَقِبَيْهِ فَلَن يَضُرَّ ٱللَّهَ شَيْـًٔاۗ وَسَيَجْزِى ٱللَّهُ ٱلشَّٰكِرِينَ



Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume tu. Wamekwisha pita kabla yake Mitume. Je, akifa au akauwawa ndiyo mtageuka mrudi nyuma? Na atakaye geuka akarudi nyuma huyo hatamdhuru kitu Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu atawalipa wanao mshukuru.
 
Katika hiyo aya Allah anataka tujue kwamba watu wote waliokuwa wanaabudiwa kipindi aya hii inashuka walikuwa ni wafu, kumbuka Yesu naye alikuwa akiabudiwa hivyo naye kipindi aya hii inashuka alikuwa mfu, hiyo ndio point ya aya hiyo ambayo Allah anatufahamisha kama hiyo siyobpoint hebu leta point yako juu ya hiyo aya.
jaman kile kifungu nilikupa alivyochukuliwa yesu ulisoma? Ebu rudia kule ...
Ni hivi yesu hakufa na yule aliteswa pale Mungu aliresemble among of them yaani alimfananisha miongo mwao ndo wakamkata ila sio isa ...Isa bin maryam alipaishwa ipo dhahiri.
 
Quran 74:24

Mohamed Alikuja na UCHAWI.......
Usiisome Quran kwa ajili ya kuizushia uongo kwani daima itakuumbua

Aya uliyoitaja ni hii na haizungumzii hayo unayoyasema hapa

Anza kuisoma kuanzia 74:9-24 ujue kilikuwa kinazungumziwa kitu gani.

Al-Muddaththir 74:24

فَقَالَ إِنْ هَٰذَآ إِلَّا سِحْرٌ يُؤْثَرُ


Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.
 
Wewe unadhani katika Qur'an utapata aya inayosema, nabii fulani na fulani kafa!!, kwani Quran imekuwa ni kitabu cha matangazo ya vifo vya manabii?? Qur'an inapotaja vifo vya manabii huwa inataja kwa ujumla mfano katika (3:144) au inataja kwa namna ambayo inabidi mtu utumie akili kujua.

Sasa tuliza fikra zako na tutazame hizi aya mbili za Qur'an.

Na Allah atakaposema; Ewe Isa bin Mariam! Je uliwaambia watu; Nishikeni mimi na mama yangu kuwa waungu wawili badala ya Allah??, (Isa) atasema; Wewe ndiwe mtakatifu hainipasi mimi kusema ambayo sina haki nayo, kama ningalisema bila shaka ungalijua; Unajua yaliyomo nafsini mwangu, lakini mimi siyajui yaliyomo nafsini mwako, hakika wewe ndiye ujuaye sana mambo ya ghaibu. [ Qur'an 5:116]


Aya inayofuatia ambayo ni muendelezo wa hiyo iliyotangulia inasema:-

Sikuwaambia lolote ila yale uliyoniamuru ya kwamba; Mwabuduni Sllah, Mola wangu na Mola wenu, na nilikuwa shahidi juu yao nilipokuwa kati yao, lakini uliponifisha Wewe ukawa mchungaji juu yao, na wewe ni shahidi juu ya kila kitu. [Qur'an 5:117]

Hilo.ni swali Allah atamuuliza nabii Isa (as) diku ya Qiyama kwamba; yeye aliwasmbia watu wamuabudu yeye na mama yake??, naye atajibu siku hiyo ya Qiyama kwamba hakuwaambia lolote isipokuwa yale aliyoamrishwa na Allah kwamba Wamuabudu Allah, na hajui huko nyuma kama watu walimuabudu yeye kama Mungu kwakuwa alikuwa kafariki.

Swali ni hili: kama nabii Isa leo yupo hai mbinguni na leo hii bado anaabudiwa kama Mungu sasa atawezaje siku ya Qiyama kumwambia Allah kwamba:- Sikuwaambia lolote ila yale uliyoniamuru kwamba Muabuduni Allah Mola wangu na mola wenu----- uliponifisha wewe ukawa mchungaji wao---!!??

Hapo ina maana Isa (as) hivi sasa hajui kama anaabudiwa yeye na mama yake kama Miungu wawili kwakuwa kafa na ndio maana siku ya Qiyama atajibu hivyo.

Hiyo ni aya inayothibitisha kuwa hivi sasa Isa (as) kafa ndio maana hajui kama yeye anaabudiwa na siku ya Qiyama atajitetea mbele ya Allah akisema kwamba kipindi anaabudiwa alikuwa hajui kwakuwa Allah alikuwa kamfisha na Allah mwenyewe ndiye hivi dasa amebaki kuwa mchungaji wa hao wanaomuabudu Isa (as), Isa leo hajui chochote kwakuwa kafa zamani mno (Qur'an 3:144).

Nimeandika kwa kirefu ili kukufafanulia hii point.

Qur'an ni kitabu cha watu wanaotumia akili.
M@neno mengi haya hayaendani na mada nishakuonyesha aya kwamba yesu alichukuliwa vip ..!

swali kama hakuna sehemu imeandikwa kifo inakuwaj unalazimisha alikufa ..

Ni dhahiri kuchukuliwa kwake yesu alipaishwa rejea comment zangu nimeonyesha aya ilionyesha alivyochukuliwa.
 
Wapi katika aya hii imesema kuwa masihi amekufa?
Aal-e-Imran 3:144

وَمَا مُحَمَّدٌ إِلَّا رَسُولٌ قَدْ خَلَتْ مِن قَبْلِهِ ٱلرُّسُلُۚ أَفَإِي۟ن مَّاتَ أَوْ قُتِلَ ٱنقَلَبْتُمْ عَلَىٰٓ أَعْقَٰبِكُمْۚ وَمَن يَنقَلِبْ عَلَىٰ عَقِبَيْهِ فَلَن يَضُرَّ ٱللَّهَ شَيْـًٔاۗ وَسَيَجْزِى ٱللَّهُ ٱلشَّٰكِرِينَ



Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume tu. Wamekwisha pita kabla yake Mitume. Je, akifa au akauwawa ndiyo mtageuka mrudi nyuma? Na atakaye geuka akarudi nyuma huyo hatamdhuru kitu Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu atawalipa wanao mshukuru.


قد خات من قنله الرسل

Yaani Mitume wa kabla yake Mtume mtukufu Muhammad "wemepita" have passed away, yaani wamepita ama kwa kufa au kuuawa. Isa (as) alikuwa ni mtume wa kabla ya mtukufu mtume hivyo naye atakuwa alipita (pass away) kama walivyopita mitume wengine wa hapo kabla.
 
Heri ya Pasaka?

Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.

Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?

JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka MBINGUNI?

1. Inamaana Mungu alitengeneza karatasi.

2. Akatafuta Penny Compyuta printer nk?

3. Mbona ni tofauti sana na KIPINDI Cha Musa Mungu aliandika zile Amri Kumi kwenye mabamba mawili ya mawe na kumpa Musa kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 24:12-18) Zile Amri Kumi zimeorodheshwa kwenye Kutoka 20:1-17 na Kumbukumbu la Torati 5:6-21.

4 JE tuna ushahidi Gani kama Quran ilishushwa na Mungu?

Natamani Mjadala Huu tujikite kwenye kujibu hoja sio Dini .

Natanguliza shukrani nyingi.
Mkuu hivi na wewe unakubaliana na kitendo cha kupigwa na kitu kizito kichwani tena chenye ncha kali kabisa?
Wangeniambia kwamba ilipatikana kwa njia ya "Revelation" angalau naweza kukubali ila kunidanganya kwamba ule ni mwandiko wa Mungu nakataa (Na wengi huamini Mungu alishika kalamu na karatasi).
Ikumbukwe pia zama hizo hakukuwa na matumizi ya karatasi, maandishi yalikuwa yanaandikwa kwenye mawe, ngozi, na vipande vya mbao kwahiyo kama ni kweli kitabu kingekuwa kinapatikana katika mifumo hiyo lakini haiko hivyo.
Sema ndiyi hivyo tena, uongo ukirudiwa kutamkwa mara nyingi huonekana kuwa ukweli
 
قد خات من قنله الرسل

Yaani Mitume wa kabla yake Mtume mtukufu Muhammad "wemepita" have passed away, yaani wamepita ama kwa kufa au kuuawa. Isa (as) alikuwa ni mtume wa kabla ya mtukufu mtume hivyo naye atakuwa alipita (pass away) kama walivyopita mitume wengine wa hapo kabla.
Mkuu Manabii wote wamekufa isipokuwa Issa pekeyake
Ni Issa pekeyake ndiye atakeyekuja mara ya 2 na sio nabii wala mtume yoyote .

Huwa najiuliza sana maswali kwann awe yeye na sio kipenzi cha Allah


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Huwa najiuliza sana maswali kwann awe yeye na sio kipenzi cha Allah


Unayo akili kubwa sana kujiuliza hilo swali, ni Waisilamu wachache sana hujiuliza hivyo, inshallah Allah akipenda nitakudadavulia ukweli kupitia Quran tukufu, ninapata futari kwanza baadaye Taraweh nitarudi.
 
Izi zilizoandikwa zilikuwa zipi ?

Aishah said:
“The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.” Sunan Ibn Majah 1944
Baada ya kuliwa na kondoo ikapotea tena vichwani mwa waliokariri loh
 
Baada ya kuliwa na kondoo ikapotea tena vichwani mwa waliokariri loh
Rumors zinasema Aisha aliwachezesha maana alikuwa hapendi kunyonyesha watu wazima

Alikuwa ata kipindi Cha Muhammad anawapanga dada zake ndio wanyonyeshe watu wazima
 
Tafsiri yake iliyonyooka ni hii:-

Na wale ambao wanaitwa badala ya Allah (hao) hawaumbi chochote bali wao wameumbwa.
Ni wafu, si wazima, na hawajui watafufuliwa lini. (Quran 16:20-21).

Aya hiyo ni ya Qur'an na kashushiwa mtume (saw), hapo anaambiwa kwamba Wale wote wanaoitwa Mungu badala ya Allah watu hao wameumbwa, hawaumbi na ni Wafu na hawajui watafufuliwa lini nabii Isa (as) naye yumo.kwenye kundi hilo la kuitwa Mungu kimakosa badala ya Allah soma Qur'an (5:116-117), hivyo kipindi aya hii inashuka ni lazima alikuwa kafariki zamani.

Tafakari kwanza hiyo aya kisha nitakuletea aya zingine.
Wewe unafuata ayat ambazo ni mutashabih na unaacha aya za wazi kabisa ...hiyo aya inaongelea kuhusu masanamu waliyokuwa wakiabudu washirikina wa makka. Haizungumzii "miungu" inayoabudiwa na dini nyingine.

Mfano mzuri kuna dini zinamwabudu shetani (iblis) , je iblis nae amekufa?

Wakristo ukiacha kumuabudu masihi issa mwana wa Maryam, vile vile wanamuabudu Roho mtakatifu (malaika jibril), je nae amekufa?


Kuna watu wanaabudu majini (mizimu), je hao majini wote wameshakufa?

Aal-e-Imran 3:7

هُوَ ٱلَّذِىٓ أَنزَلَ عَلَيْكَ ٱلْكِتَٰبَ مِنْهُ ءَايَٰتٌ مُّحْكَمَٰتٌ هُنَّ أُمُّ ٱلْكِتَٰبِ وَأُخَرُ مُتَشَٰبِهَٰتٌۖ فَأَمَّا ٱلَّذِينَ فِى قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَٰبَهَ مِنْهُ ٱبْتِغَآءَ ٱلْفِتْنَةِ وَٱبْتِغَآءَ تَأْوِيلِهِۦۗ وَمَا يَعْلَمُ تَأْوِيلَهُۥٓ إِلَّا ٱللَّهُۗ وَٱلرَّٰسِخُونَ فِى ٱلْعِلْمِ يَقُولُونَ ءَامَنَّا بِهِۦ كُلٌّ مِّنْ عِندِ رَبِّنَاۗ وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّآ أُو۟لُوا۟ ٱلْأَلْبَٰبِ



Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo ndizo msingi wa Kitabu hichi. Na ziko nyengine za mifano. Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Mwenyezi Mungu. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili.
 
Wewe unadhani katika Qur'an utapata aya inayosema, nabii fulani na fulani kafa!!, kwani Quran imekuwa ni kitabu cha matangazo ya vifo vya manabii?? Qur'an inapotaja vifo vya manabii huwa inataja kwa ujumla mfano katika (3:144) au inataja kwa namna ambayo inabidi mtu utumie akili kujua.

Sasa tuliza fikra zako na tutazame hizi aya mbili za Qur'an.

Na Allah atakaposema; Ewe Isa bin Mariam! Je uliwaambia watu; Nishikeni mimi na mama yangu kuwa waungu wawili badala ya Allah??, (Isa) atasema; Wewe ndiwe mtakatifu hainipasi mimi kusema ambayo sina haki nayo, kama ningalisema bila shaka ungalijua; Unajua yaliyomo nafsini mwangu, lakini mimi siyajui yaliyomo nafsini mwako, hakika wewe ndiye ujuaye sana mambo ya ghaibu. [ Qur'an 5:116]


Aya inayofuatia ambayo ni muendelezo wa hiyo iliyotangulia inasema:-

Sikuwaambia lolote ila yale uliyoniamuru ya kwamba; Mwabuduni Sllah, Mola wangu na Mola wenu, na nilikuwa shahidi juu yao nilipokuwa kati yao, lakini uliponifisha Wewe ukawa mchungaji juu yao, na wewe ni shahidi juu ya kila kitu. [Qur'an 5:117]

Hilo.ni swali Allah atamuuliza nabii Isa (as) diku ya Qiyama kwamba; yeye aliwasmbia watu wamuabudu yeye na mama yake??, naye atajibu siku hiyo ya Qiyama kwamba hakuwaambia lolote isipokuwa yale aliyoamrishwa na Allah kwamba Wamuabudu Allah, na hajui huko nyuma kama watu walimuabudu yeye kama Mungu kwakuwa alikuwa kafariki.

Swali ni hili: kama nabii Isa leo yupo hai mbinguni na leo hii bado anaabudiwa kama Mungu sasa atawezaje siku ya Qiyama kumwambia Allah kwamba:- Sikuwaambia lolote ila yale uliyoniamuru kwamba Muabuduni Allah Mola wangu na mola wenu----- uliponifisha wewe ukawa mchungaji wao---!!??

Hapo ina maana Isa (as) hivi sasa hajui kama anaabudiwa yeye na mama yake kama Miungu wawili kwakuwa kafa na ndio maana siku ya Qiyama atajibu hivyo.

Hiyo ni aya inayothibitisha kuwa hivi sasa Isa (as) kafa ndio maana hajui kama yeye anaabudiwa na siku ya Qiyama atajitetea mbele ya Allah akisema kwamba kipindi anaabudiwa alikuwa hajui kwakuwa Allah alikuwa kamfisha na Allah mwenyewe ndiye hivi dasa amebaki kuwa mchungaji wa hao wanaomuabudu Isa (as), Isa leo hajui chochote kwakuwa kafa zamani mno (Qur'an 3:144).

Nimeandika kwa kirefu ili kukufafanulia hii point.

Qur'an ni kitabu cha watu wanaotumia akili.
Yet again unanukuu aya kiholela bila kuzielewa...hiyo aya inazungumza kuhusu tukio lijalo ktk siku ya Qiyama! Allah atamuuliza Isa na mama yake kuwa je waliwaambia watu kuwa wawaabudu wao badala ya Allah?
 
Mkuu Manabii wote wamekufa isipokuwa Issa pekeyake
Ni Issa pekeyake ndiye atakeyekuja mara ya 2 na sio nabii wala mtume yoyote .

Huwa najiuliza sana maswali kwann awe yeye na sio kipenzi cha Allah


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwasababu ALLAH ametaka iwe hivyo. Kwamba mwisho wa siku Masihi Issa ndiye atakayekuja kuondoa mzozo wa dini itafahamika kuwa ipi ni dini ya haki lakini itawafaa nini wale ambao watakuwa wamekufa ilihali hawakuifata dini ya haki?
 
Allah anasema kitu cha kwanza aliumba kalamu , akaiamrisha iandike , ndio ikaandika mpaka Koran

.....‘I heard Muhammad saying: “Verily the first of what Allah created was the Pen. He said to it: “Write.” So it wrote what will be forever.’”Jami` at-Tirmidhi 3319
Mkuu wanawake wakiarabu wanawazimikia wanaume waafrika na kuchanganyikiwa hadi wanaume wao wanakasirika na kupelekea Tunisia kuwafukuza kwasababu ya moto mkali nigger anawapelekea wanawake wa kiarabu.
Screenshot_20230411-212217.png
 
Qur'an haikushuka jinsi unavyodhani.

Qur'an ni ufunuo alioshushiwa Mtukufu mtume Muhammad (saw) na Allah kupitia Malaika Jibril (as), yaani Wakati ufunuo wa Qur'an ulipokuwa unaanza malaika Jibril alimfahamisha Mtume (saw) kupitia Wahy ili awaandae Waandishi kwa ajili ya kuandika kile ambacho wakati huo atakuwa anafunuliwa,

Ukiangalia Qur'an mwanzoni mwa Sura zake inanza na; بسم الله الرحمن الرحيم, yaani kwa jina la Allah Mwingi wa rehema na ukarimu, hapo wale waandishi huanza kuandika wakijua Kwamba hapo ndio mwanzo wa ufunuo na waliendelea kuandika hadi mwisho wa sura, baada ya ufunuo kumalizika hapo ndipo mtume (saw) aliwaambia wale waandishi waanze kumsomea ili ahakiki kwani Mtume (saw) baada ya kufunuliwa Qur'an ilinasa hapohapo kwahiyo kama katika kuandika kungekuwa na makosa basi hapo angeyasahihisha.

Qur'an yote iliandikwa kwa kipindi cha miaka 23, miaka 13 Mtume (saw)akiwa Makkah na miaka 10 akiwa Madina.

Hadi mtume (saw) anafariki Qur'an ilikuwa imeandikwa kwenye vipande vya ngozi na magome ya miti maalumu ya kuandikia (scrolls) nk na ni kipindi cha Khalifa Seydna Umar (ra) ndipo alipofanya juhudi ya kuikusanya na kiuweka katika jalada moja (compiled in one volume from the scrolls) na hizi Qur'an za leo zilizoandikwa kwenye karatasi za kisasa zimetokana na hiyo Qur'an iliyokuwa compiled na khalifa Hadhrat Umar (ra), hiyo ni historia fupi ya jinsi Qur'an ilivyoshuka/ilivyoshushwa.

Inaonekana kilichokuchanganya ni neno "kushuka/kushushwa" ukadhani kwamba inaposemwa kitu fulani kimeshuka hususan kutoka mbinguni basi huenda kitu hicho kimetoka mbinguni kidhahiri.

Neno "shuka" limetumika sana katika Qur'an kwa maana ya kuja, kutokea, kupatikana nk kwa kitu chenye manufaa makubwa kwa binadamu, neno mbinguni nalo maana yake ni ulimwengu wa kiroho, ulimwengu wa heshima nk hivyo inaposemwa Qur'an imeshushwa kutoka mbinguni maana yake ni hiyo tu Kwamba Qur'an imeshushwa au imekuja kutoka kwa Mungu na sio vinginevyo.

Mfano; katika Qur'an Mungu anasema; "--- na ametushushia wanyama wanane" (39:6 Qur'an), je hapo unaweza sema Wanyama hao 8 wemeshushwa kutoka juu (mbinguni)??

Pia Allah anasema; قد انزل الله اليكم زكرا , yaani; bila shaka Allah amewashushia ukumbusho (Qur'an ), (65:10)

Isitoshe Allah anasema; و انزلنا الحديد yaani; tukakishusha chuma (57:25), hapo Allah amesema "tukakishusha chuma" haina maana kwamba Chuma amekishusha kutoka juu/mbinguni bali maana yake ni kwamba Chuma kinayo faida kubwa kwa binadamu ndio maana Allah kasema kakishusha na hivyo ndivyo inaposemwa Qur'an imeshushwa maana yake ni hiyo hiyo kwamba Qur'an inayo faida kubwa sana kwa binadamu.
Mkuu wanawake wakiarabu wanawazimikia wanaume waafrika na kuchanganyikiwa hadi wanaume wao wanakasirika na kupelekea Tunisia kuwafukuza kwasababu ya moto mkali nigger anawapelekea wanawake wa kiarabu
Screenshot_20230411-212217.png
 
Wewe unadhani katika Qur'an utapata aya inayosema, nabii fulani na fulani kafa!!, kwani Quran imekuwa ni kitabu cha matangazo ya vifo vya manabii?? Qur'an inapotaja vifo vya manabii huwa inataja kwa ujumla mfano katika (3:144) au inataja kwa namna ambayo inabidi mtu utumie akili kujua.

Sasa tuliza fikra zako na tutazame hizi aya mbili za Qur'an.

Na Allah atakaposema; Ewe Isa bin Mariam! Je uliwaambia watu; Nishikeni mimi na mama yangu kuwa waungu wawili badala ya Allah??, (Isa) atasema; Wewe ndiwe mtakatifu hainipasi mimi kusema ambayo sina haki nayo, kama ningalisema bila shaka ungalijua; Unajua yaliyomo nafsini mwangu, lakini mimi siyajui yaliyomo nafsini mwako, hakika wewe ndiye ujuaye sana mambo ya ghaibu. [ Qur'an 5:116]


Aya inayofuatia ambayo ni muendelezo wa hiyo iliyotangulia inasema:-

Sikuwaambia lolote ila yale uliyoniamuru ya kwamba; Mwabuduni Sllah, Mola wangu na Mola wenu, na nilikuwa shahidi juu yao nilipokuwa kati yao, lakini uliponifisha Wewe ukawa mchungaji juu yao, na wewe ni shahidi juu ya kila kitu. [Qur'an 5:117]

Hilo.ni swali Allah atamuuliza nabii Isa (as) diku ya Qiyama kwamba; yeye aliwasmbia watu wamuabudu yeye na mama yake??, naye atajibu siku hiyo ya Qiyama kwamba hakuwaambia lolote isipokuwa yale aliyoamrishwa na Allah kwamba Wamuabudu Allah, na hajui huko nyuma kama watu walimuabudu yeye kama Mungu kwakuwa alikuwa kafariki.

Swali ni hili: kama nabii Isa leo yupo hai mbinguni na leo hii bado anaabudiwa kama Mungu sasa atawezaje siku ya Qiyama kumwambia Allah kwamba:- Sikuwaambia lolote ila yale uliyoniamuru kwamba Muabuduni Allah Mola wangu na mola wenu----- uliponifisha wewe ukawa mchungaji wao---!!??

Hapo ina maana Isa (as) hivi sasa hajui kama anaabudiwa yeye na mama yake kama Miungu wawili kwakuwa kafa na ndio maana siku ya Qiyama atajibu hivyo.

Hiyo ni aya inayothibitisha kuwa hivi sasa Isa (as) kafa ndio maana hajui kama yeye anaabudiwa na siku ya Qiyama atajitetea mbele ya Allah akisema kwamba kipindi anaabudiwa alikuwa hajui kwakuwa Allah alikuwa kamfisha na Allah mwenyewe ndiye hivi sasa amebaki kuwa mchungaji wa hao wanaomuabudu Isa (as), Isa leo hajui chochote kwakuwa kafa zamani mno (Qur'an 3:144).

Nimeandika kwa kirefu na kwa msisitizo ili kukufafanulia hii point muhimu ya kifo cha nabii Isa (as).

Qur'an ni kitabu cha watu wanaotumia akili.


Zuckerman
 
Wewe unafuata ayat ambazo ni mutashabih na unaacha aya za wazi kabisa ...hiyo aya inaongelea kuhusu masanamu waliyokuwa wakiabudu washirikina wa makka. Haizungumzii "miungu" inayoabudiwa na dini nyingine.

Mfano mzuri kuna dini zinamwabudu shetani (iblis) , je iblis nae amekufa?

Wakristo ukiacha kumuabudu masihi issa mwana wa Maryam, vile vile wanamuabudu Roho mtakatifu (malaika jibril), je nae amekufa?


Kuna watu wanaabudu majini (mizimu), je hao majini wote wameshakufa?

Aal-e-Imran 3:7

هُوَ ٱلَّذِىٓ أَنزَلَ عَلَيْكَ ٱلْكِتَٰبَ مِنْهُ ءَايَٰتٌ مُّحْكَمَٰتٌ هُنَّ أُمُّ ٱلْكِتَٰبِ وَأُخَرُ مُتَشَٰبِهَٰتٌۖ فَأَمَّا ٱلَّذِينَ فِى قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَٰبَهَ مِنْهُ ٱبْتِغَآءَ ٱلْفِتْنَةِ وَٱبْتِغَآءَ تَأْوِيلِهِۦۗ وَمَا يَعْلَمُ تَأْوِيلَهُۥٓ إِلَّا ٱللَّهُۗ وَٱلرَّٰسِخُونَ فِى ٱلْعِلْمِ يَقُولُونَ ءَامَنَّا بِهِۦ كُلٌّ مِّنْ عِندِ رَبِّنَاۗ وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّآ أُو۟لُوا۟ ٱلْأَلْبَٰبِ



Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo ndizo msingi wa Kitabu hichi. Na ziko nyengine za mifano. Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Mwenyezi Mungu. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili.


Acha kudanganya watu;;

Lini mizimu ikaanzwa kitajwa kwa dhamiri ya binadamu??

Aya imeanza na و الذين يدعون yaani "Na wale ambao huitwa", hiyo "aladhina" ni kwa ajili ya watu. Mfano الذين أمنوا yaani Wale (watu) walioamini, hakuna mizimu wala majini hapo.
 
Back
Top Bottom