Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,525
angalau basi kaolewa kuliko ungesikia anafanya uhuni na uwasherati mwingine.
potezea ilo sio jambo la ajabu sana kwa kizazi cha sasa.kuna waziri mstaafu ni mzee lakini kaoa binti sawa na mjukuu na kuna waziri mstaafu mbibi nae kaolewa na kijukuu cha kisharobaro.
potezea ilo sio jambo la ajabu sana kwa kizazi cha sasa.kuna waziri mstaafu ni mzee lakini kaoa binti sawa na mjukuu na kuna waziri mstaafu mbibi nae kaolewa na kijukuu cha kisharobaro.