Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Pole sana pambana tengeneza maisha yako na uwasaidie wazazi wako wote,wewe simama kama mtoto usiingilie mambo ya wazazi ni laana mbaya sana.
Na kamwe usijaribu kuingilia mambo ya wazazi wala kuhoji mambo yake ya mahusiano,ni heshima mbaya sana.
Ukipata nafasi watumie wajomba,mababu zako na ndugu kwenda kuongea naye na kurekebisha palipoharibika,lakini wewe usithubutu kamwe hayo yapo nje ya uwezo wako.
Siku zote wapende wazazi wako usiwabague simamia nafasi yako kama mtoto,kwasababu hakuna mzazi anayekubali kuwa amekosea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kamwe usijaribu kuingilia mambo ya wazazi wala kuhoji mambo yake ya mahusiano,ni heshima mbaya sana.
Ukipata nafasi watumie wajomba,mababu zako na ndugu kwenda kuongea naye na kurekebisha palipoharibika,lakini wewe usithubutu kamwe hayo yapo nje ya uwezo wako.
Siku zote wapende wazazi wako usiwabague simamia nafasi yako kama mtoto,kwasababu hakuna mzazi anayekubali kuwa amekosea.
Sent using Jamii Forums mobile app