Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Aibu sana.Akuna kitu nilikuwa na pinga kama hiki ila niliamua kuacha baada ya kuona kumbe nao wanateseka kukaa bila mwanaume
Mimi mama yangu ameolewa na kijana ambaye mimi nina mzidi umri na nina muita baba ndo chaguo la mama yangu
Inahitaji roho wa Mungu kutekeleza hili uliloandika hapa.Mimi mama yangu ameolewa na kijana ambaye mimi nina mzidi umri na nina muita baba ndo chaguo la mama yangu
Usingejibu hivyo aiseeJifanye kama huoni wala kusikia,tatizo mawazo yako umeyapeleka kwa kijana jinsi anavyomkunja mama kama wewe unavyofanyaga kwa mademu zako, ndio mana unaumia sana achana na hayo mawazo ,we focus kwenye mambo yako in deep ,usijiingize kwenye kwenye maisha binafsi
Dogo usisikilize maneno ya kuambiwa. Mama yako yuko katika mikono salama kabisa. Mimi ndiye baba yako mdogo. Kiukweli nina miaka 72! Na siyo hiyo 25-40! Kama ulivyo danganywa na hao wambea.Habari yenu wana JF, poleni na mihangaikio ya kuendelea kulijenga taifa.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja kikubwa hapa nchini,hivi majuzi nilipokea taarifa kutoka mbeya nyumbani za kuumiza sana moyo wangu,taarifa ilikuwa hii. Eti mama yangu ameamua kuhama mji bila kumuaga mzee wangu,karudi kwao Mafinga Iringa na akaamua kuishi hapo kwao kwa muda usio eleweka.
Tukirudi nyuma,mama alishatuharibia sana mji kwani alifikia hatua ya kuuza mashamba ya familia bila kushirikisha mtu yeyote na akajiingiza kwenye madeni lukuki.
Hivi majuzi pia nilipokea ujumbe mfupi kutoka kwa ndugu wa karibu kuwa mama ameamua kwenda migodini na huko anafanya vitu vya ovyo sana na vya kutia aibu sana...yaani kama vile amekuwa ni binti mdogo.
Juzi pia nikapokea taarifa mbaya sna kupita zote kuwa ameolewa na kijana mdogo rika la kwetu sisi vijana wake na amefikia hatua ya kumpeleka kabsa pale nyumbani kwao....Ni almost 55's-60's anatembea na kijana wa 25s-40s,hii ni sahihi kweli?
Mzee alinipigia simu akaniambia kuwa amesikia taarifa chafu kumuhusu mama na anawaza afanye nini juu yake ila mimi nilimshauri kuwa aachane nae maana anaonekana kama hajitambui pamoja na kuwa ana umri mkubwa kiasi hicho, mzee alinielewa na akanisihi nisiwaze sana juu yake bali nikazane kwenye masomo yangu.
Kiukweli mama huyu ananitia aibua sana na sitamani ata kuongea nae wala kusikia sauti yake japo kuna muda ananipigia simu sana ila siwezi kupokea zake.
Naomba ushauri wenu ndugu zangu sina amani na haya maisha maana ata kusoma hapa,nilikuwa nasoma ili siku moja nimsaidie huyo mama lakini kanivunja sana moyo..... natamani nifanye maamuzi magumu sana ila naona hapana, bado nina safari ndefu sana ya kimaisha. Je, hapa kuna uchawi au tabia tu ya huyu mama maana ninashindwa kabisa kuelewa....Naombeni ushauri wenu ndugu zangu
Daa mbona unamuumiza mwenzio?Jifanye kama huoni wala kusikia,tatizo mawazo yako umeyapeleka kwa kijana jinsi anavyomkunja mama kama wewe unavyofanyaga kwa mademu zako, ndio mana unaumia sana achana na hayo mawazo ,we focus kwenye mambo yako in deep ,usijiingize kwenye kwenye maisha binafsi
Kwa hili nakuunga mkono, kwenye familia hizi kuna siri kubwa, kuna wazazi vichomi, pole sana wewe achana naye ndoa ya wazazi uiache kama ilivyo Baba yako anajua anachokitafuta Mama yako na hawezi kutoa siri hiyo.Yaani acha kabsa mkuu,hii dunia nimeamini usione mtu asaidii wazazi au ana mawasiliano mabaya na wazazi wake ukamshangaa,vijana tunapitia mengi sana ila yote tunamuachia mungu
Nimeandika huko juu wadau wamenimwagia mapovu,sijui kwanini watu hawapendi kuambiwa ukweli!Nakujibu kiume: kuna siri kubwa hapo, mzee hamridhishi mama; na mama bado yuko hot, nachokushauri, pambana na maisha yako kwa sababu na wewe ni baba mtarajiwa.
Haiwezekani MAMA MZIMA unaolewa na kijana sawa na umri wa mtoto wako wa kumzaa! HUO NI UPUMBAVU!Kwenye kuolewa na kijana mdogo hapo hakuna tatizo ni mapenzi yake afu ni ishu binafsi sana hiyo
ndugu umepanici sana aisee, hili ni suala la maoni tu hupaswi kupinga maoni ya mwingine nawewe toa maoni yako,Wewe mama yako angekuwa anatombwa na bodaboda wa mtaani ungejisikiaje?
Huwa mnaandika kama mmekatwa vichwa. Hii ni fedheha ya ajabu sana.
Ati achana na mambo ya mama yako!! Huku anapigwa miti na wahuni halafu wanakucheka na kukudhihaki!!
This is UNFAIR... Kwa kweli. Kwanini asiolewe aende mbali huko kuliko kuabisha wanae?
Eti Brigedia Jenerali Extrovert is this FAIR?