Naam, Kiislam hiyo inaitwa "khuluu".duuh mke naye anatoa talaka?π€
ππππ
Heeh!π¬Astaghafurullah
Huyo mke aanze kutoa tigo na yeye, kwakuwa yake ni mali mpya bwana wake ataachana na ile used ya mchepuko
Mwanaume mmbea huwa hakawii kuliwa kiboga umeombwa ushauri kimekutuma nn kuleta habari huku asee au ww huwez shauri?Jirani yangu kafikwa na mkasa wa kuhuzunisha. Mkewe alikuwa anapitiapitia sms za simu yake akagundua jamaa ana mchepuko ambao unampa huduma ya "Pandezote" yaani huku kwa bibi na kule kwingine kama bonus.
Sasa huyu mama kawaka sana anataka ndoa ivunjwe wakati huyu jamaa bado anampenda maiwaifu wake.
Sasa jamaa kaniomba ushauri afanyaje kumtuliza bimkubwa wake aache mambo ya kutaka talaka badala yake wafocus kuijenga upya ndoa yao.
Eeh! Unasema?π¦»π¦»If you can"t beat them join them
AbeeeΓ¨Eeh! Unasema?π¦»π¦»
FaizaFoxy ww upo katika manhaj gani?Naam, Kiislam hiyo inaitwa "khuluu".
Uislam ulimpa haki mwanamke miaka zaidi ya 1,400 nyuma ambazo mwanamke asiye Muislam hazioti mpaka leo hii.
Uislam ni mwema sana.
kamsingizia rafiki yake lakini ni yeye mwenyewe anayechezea tope.Mwanaume mmbea huwa hakawii kuliwa kiboga umeombwa ushauri kimekutuma nn kuleta habari huku asee au ww huwez shauri?
Naona hii wiki ni ya kurukwa ukutaππ
Kwakweli umakini unahitajika sanaπ π π Ni kuwa makini tu hamna namna
Nipe ya izo link yengine, mimi ndio naiona hii etNaona hii wiki ni ya kurukwa ukutaππ
Endelea kuperuzi tu utazionaNipe ya izo link yengine, mimi ndio naiona hii et
Vip wewe, utatoa?Wameowana ndoa ya dini ipi?
Kama ni Uislam hapo, mwanamke anatowa yeye talaka (khuluu), sifahamu imani zingine kuhusu uzinifu hukumu yake ni nini?
Wacha nikae sambamba na usawa huuEndelea kuperuzi tu utaziona
Pamoja sanaππWacha nikae sambaba na usawa huu
Wameowana ndoa ya dini ipi?
Kama ni Uislam hapo, mwanamke anatowa yeye talaka (khuluu), sifahamu imani zingine kuhusu uzinifu hukumu yake ni nini?