Msaada: Mke anataka ndoa ivunjike kwa kuwa mumewe anapewa vya ziada na mchepuko

Mwanaume mmbea huwa hakawii kuliwa kiboga umeombwa ushauri kimekutuma nn kuleta habari huku asee au ww huwez shauri?
 
Wameowana ndoa ya dini ipi?

Kama ni Uislam hapo, mwanamke anatowa yeye talaka (khuluu), sifahamu imani zingine kuhusu uzinifu hukumu yake ni nini?

Juzi nilipokeo huu ujumbe kutoka kwa ndugu yenu muislam. Inaonekana hili jambo limekudhiri kwenye ibaada zenu.

Note: Ndoa ni ibaada

"Ukiwa kama mwislam mwenzangu leo hiii nakuhusia na kuihusia nafsi yangu kuto kujaribu kuwa miongoni mwa kuingilia mtu kinyume na maumbile (UFIRAJI)

KWANI SISI SOTE TUNAJUA ADHABU YA ATAKAYE FANYA HIVYO NI KUULIWA
SASA SIJUI WEWE MWENZANGU KAMA UNAFANYA HIVYO UTAKUWA MGENI WA NANI HAPO AKHERA KAMA KWA DUNIANI TUU ADHABU NI YA KIFO 😭

TUKUMBUKE PIA HAUTAFUFULIWA NA UMMA WA MUHAMMAD BALI NA ULE UMMA ULIO ANGAMIAπŸ˜”

BADILIKAA SASA BADO WAKATI UNAO
KAMA HUAMINI NGOJEA UFE πŸ˜’

Mtumie na muislam mwenzio unae mpenda ili ajirekebishe / asiingie katika mkumbo huo"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…