Ukweli.Hata kwenye mahitaji napo huwa mnawaandikia kwa kuwakomoa sababu ya kukosa kuwa na uchungu wa pesa.
Ni kama wanawake wengine akikaribishwa kula na Mwanaume anaagiza chakula cha gharama na kinywaji cha gharama wakati ingekuwa hela yake asingefanya hivyo.
Ndiyo maana wanaume wengine wakigundua hivyo mkifika quest house hamlali anakuwa na uchungu na hela yake kwa hiyo anakutia ili hela yake iende kwa haki.
Naam kabisa mkuu.mkuu umemweleza ukwel shida uyu single maza anataka aambiwe anachopenda kusikia yy..hataki ukwel na ukimweleza ukwel anakuchukulia tofauti..
Nishaona masingle Maza flani na ma feminist wanamfariji as if yy Hana shida..kiukwel wanazidi mpoteza na atapotea jumla..hataki maridhiano analilia tu kupewa fungu Kila mwisho mwenz...mke anaejitambua angekua anafight how arudi Kwa mme wake na sio kulilia pesa!!!
Dah ila wanawake muwe makini sana unapotaka kumbadili mwanaume wako juu ya swala la kuwa na wanawake nje yako. Kabla haujaanza kumforce na kutumia nguvu kumcomtrol me nashauri anza kwanza kuona nini kimepwelea ndani hapo anachokwenda tafuta huko nje.chanzo uhuni alikuwa muhuni sana ila mimi nilikosea kununa kumfwatilia kuhusu simu naongea ukwel kabisa sijui utoto ujinga au nilipenda sana
nmekuj shtuka kushakucha kumchunguza mwanaume japo na yeye alikosea kwa upande wake hakuwahi niheshimu
Kwani wakati ule Adam anapewa Majukumu ya Kula Kwa Jasho pale Bustanini Eden ulidhani ilikuwa no Adam yule Pekee.
Ilikuwa ni Jukumu la Kila Mwanaume kula kwa Jasho.
Jukumu la Mwanamke ilikuwa ni Kuzaa kwa Uchungu tu, hivyo Boss wangu
Na huyo mzazi mwenzake keshamsoma ndio maaana kaamua aendelee kutafta maisha kuliko kudeal na mwanamke ambaye hajui hata ni kwa nini alimtafta huyo mtoto.Ashasema ndoa sio priority yake,,asa nazani unaelewa ni mwanamke wa aina gani uyu...
Kama anaongea na dada yako basi bado kuna nafasi ya kuweka mambo sawa. Hebu rudisha ukaribu nae mapema sana kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.yaan tushakuwa chui na panya sujui nifanyaj maan hazungumzi na mimi kbs anapitia kwa dada yangu ila sio mm
Mbona ni kama kuna vina fulani hivi au nimeona PEKE yangu😂Unatosha jitume, pambana usingoje mwanamume...
Eti mpaka akusukume, uza hata mitumba karume...
^Boshoo^
Ngoja nipate wasaa niisome hiyo Mithali ya Mfalme Suleimani.Ni zaidi ya hivyo aisee.
Neno la Mungu ni full package.
Usichukue andiko moja tu.
Mwanamke anatakiwa kuzalisha mali na kulea familia.
Soma Mithali 31: kuanzia mstari wa 10 hadi mwisho,
Hapo utaona jinsi mwanamke anavyotakiwa kuwa Kamanda Na mzalishaji mali Kwa manufaaa ya familia.
Dah mkuu hii ilipaswa kuwa comment namba moja ila ndo hivyo tena.Mimi aliposema sina shida ya Ndoa ndipo nikastuka na waza tofauti zaidi. Mwanamke ambaye haheshimu na kuitambua ndoa kama taasisi nyetu na priority yake katika Maisha mtazame mara mbili mbili akiwa anazungumzia mahusiano.
Ndoa ndio taasisi namba moja ya mwanamke. Vyote anavyovitafuta hapa Duniank vipo humo. Inastaajabisha sana wanawake wa kisasa kwa wingi wanaidharau sana Ndoa na kuiona kama sehemu ya kupita au kuipuuza ile hali wanataka faida zake.
Watoto huzaliwa ndani ya ndoa sio nje ya ndoa. Matumizi na matunzo ya mwanamke hupatikana ndani ya ndoa sio nje ya ndoa. Kabla hajaolewa atatunzwa katika ndoa ya baba yake na mama yake akiolewa atatunzwa na mumewe katika ndoa yake.
Mwanamke anapata mapenzi ya kitandani ndani ya ndoa akiwa na mumewe si kinyume chake.
Mwanamke anapata faraja, kuliwazwa na kubembelezwa ndani ya ndoa sio nje ya ndoa.
Mwanamke atapata nyumba kwa mume wake ndani ya ndoa sio kwenda kupanga au kujenga huo itakuwa ni maskani sio nyumbani.
Mwanamke anapata baraka za MUNGU akiwa chini ya mumewe akitumikia ndoa yake. Haya maisha ya kidunia sio baraka ni mafanikio ambayo yanaweza kuwa na baraka ama yasiwe nayo.
Maisha ya kidunia hayana faida kwa mwanamke asiye na Ndoa ni mahangaiko, hofu, wasi wasi, huzuni kila saa na matatizo ya kiakili.
Maisha hayataki tamaa yanataka utu.
sawa nitajaribu kuweka mambo sawa ila kwa yeye anaonekana hataki kabisa tushajaribu sawa sijui nifanyaje aseee nawaza sana nahis nina depressionKama anaongea na dada yako basi bado kuna nafasi ya kuweka mambo sawa. Hebu rudisha ukaribu nae mapema sana kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Ongea na dada yako akuombee nafasi ya kukutana na jamaa. Kisha msikilize terms zake anataka nini kubaliana nazo halafu taratibu mfanye aone kuwa unashirikiana nae kwenye swala la watoto sio kushindana nae.
Wanaoteseka hapo ni watoto sababu ninyi mnachagua kushindana badala ya kuishi pamoja. Kaa nafasi yako ya mwanamke muache yeye akae nafasi yake ya mwanaume. Usimpangie usimuingilie.
tajiri mkopeshaji wewe ni jiniazi,,,,,,ngoja nitafute nauli nikapate mafunzo mahususi jinsi ya kuwatawala hawa viumbe kule AFGHANSTAN chini ya mwalimu aitwae HAFIF kutoka kundi la TALEBAN,,,ndo manake TALEBAN wamewazuia hamnakufanya kazi wala kwenda skuli,,,,ni kukaa nyumbani na kuingiziwa TANGO tu ndo kazi yao!!!!!bwana mkubwa hili la stroke wanaume wenyewe tunalitaka,,,mtu anakunyanyasa,anakunyima unyumba,unakusema vibaya kwa ndugu,jamaa na marafiki,mbaya zaidi mpaka kwa watoto,,,,utaskia anawaambia watoto "mnamwona baba yenu alivo mlevi,yaani bila mimi mtakufa njaa,kumbe ela unatoa wewe"matokeo yake msongo wa mawazo mpaka unapata stroke!!HA ha ha be warned na kiumbe kinachoitwa na mwanamke.ukizubaaa kidogo kinakutawala na utapigwa matukio hadi upate stroke...
Thus why maandiko yamesema tuish nao Kwa akili...na kuish na mwanamke Kwa akili ni hvi..
"usimpe nafas ata robo,mtawale Kwa mkono wa chuma yaan ule mfumo dume haswaaaa!!ukitega hapo imekula kwako"
sure uyu dada anaitaji ushauri mzuri..hao wanaharakat wanazidi mvuruga.mafeminist na masingle Maza furaha yao ni kuona wengine wakiharibikiwa..Naam kabisa mkuu.
Wanampump na yeye anajaa kisha wao waliomjaza wanaendelea na maisha yao.
Haya mtoa mada njoo soma comment ya mdau hapa.
Kukusaidia ni kwamba jali utu kwanza kabla ya hiyo pesa.
Nenda taratibu,zungumza na mwenza wako kwa kuwa ni lazima mmoja ajifanye mjinga.
Hao wanaomwambia wanamudu kulea peke yao kuna muda wanalia pekeyao chumbani kwa kiwa single mama
Sure mkuuu wanaume wengi wanakufa na tai shingoni, lakin wanayataka wenyewe!!tajiri mkopeshaji wewe ni jiniazi,,,,,,ngoja nitafute nauli nikapate mafunzo mahususi jinsi ya kuwatawala hawa viumbe kule AFGHANSTAN chini ya mwalimu aitwae HAFIF kutoka kundi la TALEBAN,,,ndo manake TALEBAN wamewazuia hamnakufanya kazi wala kwenda skuli,,,,ni kukaa nyumbani na kuingiziwa TANGO tu ndo kazi yao!!!!!bwana mkubwa hili la stroke wanaume wenyewe tunalitaka,,,mtu anakunyanyasa,anakunyima unyumba,unakusema vibaya kwa ndugu,jamaa na marafiki,mbaya zaidi mpaka kwa watoto,,,,utaskia anawaambia watoto "mnamwona baba yenu alivo mlevi,yaani bila mimi mtakufa njaa,kumbe ela unatoa wewe"matokeo yake msongo wa mawazo mpaka unapata stroke!!
WEKA AYA KWENYE UANDISHI WAKO.Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi serikalini iko hivi
iko hivi mimi nmeolewa na tuna miaka 4 na nusu ya ndoa now nina miaka 24 ex husband ako na 31 ...ye ni engneer tanesco kipindi tunaowana sikukaa sana naona ni saba ile nikabeba mimba nikajifungua mtoto wa kwanza ..nikaja beba mimba nikajifungua wa pili siwezi sema mimi ndo nina matatizo au yeye maan nitakuwa nakosea pengine mimi nilikosea au yeye pia alinikosea maan nikisema alinifanya hivi sijui vile ntakuwa pengine namponda yeye kumbe shida ninayo mm ila mimi ndiye nikawa naumia kila nikijitahid kurekebisha ilishindikana basi tukawa tunaishi ndan kama watu hawajuani chuki yule baba kwangu ndo ilizidi maan nahis alinichoka zaidi kutokana na kuwa kinyume nae baadhi ya mambo yake ambayo sikuona sahihi au kutokana na tofaut zetu ukimwambia hiki tunaishia kulumbana kutokana na pengine tuliyopitia tulichokana ila mimi kama mm nilivumilia sababu ya mtoto apo nina mimba miez 7 ikafikia hatua mbaya mpaka napigiwa simu na manzi za nje zinanitukana nilipata pressure ya mimba nikajifungua siku ambazo sio makadirio nilijifungua week 29 mtoto njiti na siku najifungua hakuwa nyumban alilala kwa manzi zake alipigiwa simu na nesi alete vifaa hosptal kwa maan kabla ya kuingia theatre niliandika namba za wadhamin wawili na sikwenda kwa nia ya kujifungua ila nilikwenda kama clinic ndo pressure ikanishika ikabidi nikimbizwe op fasta basi nilipozinduka nilimuona hosp na mama yang na baadhu ya ndug zake apo mtoto alikuwa yupo kwenye incubeta ile ya kupumulia tulikaa sana hosp bas baada ya kuruhusiwa nilikaa week mbili alinipa talaka kwamba hanitaki ye anataka kuoa niende kwetu nikawasiliana na kwao tulikaa kikao ila alionekana mkorofi sana bas mpaka hivi navoongea mamaangu kajitoa kabisa kwenye maswala ya kesi yetu nipo napambana mwenyew ila kinachonifanya nipambane naye kwa sasa hali yangu haijaimarika sana kutokana na op nilifanyiwa mbili ya mtoto na ya hernia ya kitovu ambapo huko nyuma nilipata op ya nje ya kizazi na ya mtoto wa kwanza jumla ninayo mishono 4 kwa muda mfupi kwahiy sikukava sana hivo mamaangu analalamika anaelemewa sababu mamaangu ni kibarua tu hana biashara ya ajira ila yeye tulivyoachana alinitamkia sitapata chochote sikuhangaika maan tulijenga tukifanya maendeleo tukiwa wote sikutak kusumbuana nae kwenye mali maan niliamini ipo siku ningepata mali zangu na mimi je (nyie mnaosema nimefwata mali je ningeshindwa enda bakwata kudai mali zang?? msipende mtukan mtu hamjui nachopitia maan cheti ninacho na kuhus msharah alikuwa ananambia mpk siku anapandishwa cheo alinionyesha karatas kabisa ya ofisi mmenitukana san
cha mwisho nilitak kupambania haki za watoto tu
ushauri Bora wa thread....Dah ila wanawake muwe makini sana unapotaka kumbadili mwanaume wako juu ya swala la kuwa na wanawake nje yako. Kabla haujaanza kumforce na kutumia nguvu kumcomtrol me nashauri anza kwanza kuona nini kimepwelea ndani hapo anachokwenda tafuta huko nje.
uyo ni mmoja ya watu wanafiki anataka sehem yenye rangi nyeusi tuseme nyeupe!! Watu wanafunguka ktk mitazamo mbalimbal kusudi mhusika ndio achambue achukue lipo na aache lipi..asa uyu Trudie anataka wote mumshauri kama anavyopendelea yy...kitu ambacho ni nonsense 😂😂😂Kila mtu ana approach yake kwenye uwasilishaji wa hoja, muhimu ni kuchukua +ve tu, yapo maneno mengine tunasoma yanatuchoma directly lakini yanatufundisha kwa sababu ni kweli tulikosea, sasa kama nilikosea nikazalisha hovyo mtaani, nikiambiwa nisikimbie majukumu hata kwa lugha ngumu inabidi nikubaliane na hizo nyundo.
Sijageneralize wote mkuu coment ya juu nilisema 90%... na ukiangalia ni kweli wanaotoa hoja bila matusi ni wachache. Angalia mfano Robert Heriel Mtibeli anatoa hoja ambazo sio za kumsapoti mama 100% ila anazitoa kwa kujìelewa kiasi kwamba hata mhanga ukisoma unajifunza kitu.
Halafu angalia watu wanaomwita malaya while kazaa ndani ya ndoa ni fair kweli?