Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Mpenzi achana na habari za kupelekana ustawi wa jamii, 50000 inatosha nini kwa maisha ya sasa hivi?? Ni mara mia ukamlea mwenyewe mtoto wako kama baba hana habari ya kulea mwanae hakuna haja ya kumlazimisha. Jishughulishe mwanamke mwenzangu umlee mwanao.

Mwanaume ambae halei damu yake ni MPUMBAVU kabisa, haijalishi mna situation gani na mama yake mtoto hahusiki kabisa wewe lea mwanao. Unakuta mwanaume anakambia mm nitatoa ada tuu ambayo ni 800k kwa mwaka means kwa mwezi ni kama anatoa 67,000 sasa si bora akae na hela zake tuu ni dharau sana hiyo.
Nyie kina baba leeni watoto wenu bila kushinikizwa
 
Umemzoesha hivyo, makosa ni yako. Watoto wana tabia moja in common, wanabeba kile unachowafundisha. Huenda wewe ndio unapenda choma na kaanga.
Mtoto hapaswi chagua chochote maana hajui kesho itakuwaje na hana uwezo wa kutafuta.
Mi kitachopikwa atakula hivyo hivyo.

Huwa anajifanya kutaka tapika namwambia ukitapika utakula matapishi, akisikia hivyo anakula anamaliza ananionesha Baba ona nimemaliza
 
Halaf wapo hivi mwanamke kama humpi uchi baba mtoto hatoi matumizi Yaan akili za hawa watu sijui zipoje na unakuta kaoa yeye ila mda anaotaka apewe madikteta kweli
Sio wote mi sinaga time na nyuchi, ila ukizingua hata mia hupewi
 

Kwa huo ujasiri ulioutapika hapo[emoji122][emoji122]inatosha ujengewe sanamu kwenye makao ya ustawi[emoji28]
 
Tatizo hapo sio malezi ya mtoto ni iyo 2.8 million. Kwamba anakula pekeyake kweli? Hv angekua kafaliki baba yake n uyo mtoto. Ni 100% uyo mme wa mtu.Dawa zimeisha nguvu karudi nyumbani
 
Mahusiano yamekua changamoto sana nowdays..very unpredictable. Ifike mahali mwanamke aliyepevuka kimwili na kiakili anapoamua kua na mtoto ajiridhishe kwamba ataweza kupambana na malezi ya mwanae with or without support ya baba mtoto...vinginevyo ni kujinyanyasa kisaikolojia mwisho wa siku mama atachukia hadi mtoto.
 
Ni kweli lakin si unajua kuwa kuna vyakula mtoto wako anavipenda kwanin kila mara asipikiwe akala na ambavyo havipendi ale mara moja moja si mbaya
 
Watu kama hao unawaacha ma ujeuri wao.
Tatizo la wanawake wakishapata kakipato wanajiona wanajiweza na kutaka panda watu vichwani
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Ila ilikuaje ukaamua kuzaa naye? Haya mambo sometime mnayataka wenyewe. Mtu hajaamua kuwa na mtoto unaona ujikamatishe mimba. Mwanaume huwa suala la kulea anajua ni lake na ukiona hataki hilo achana naye. Pambana wakati mnakatikiana viuno mlipaswa mjue hili nalo lipo. Mnaanza kusumbua watu wawalipe pesa za matunzo. Hao watoto msitumie kama kitega uchumi. Wewe angalia unapataje pesa fanya shughuli flani mtoto apate mahitaji yake. Achana na huyo mwanaume
 
Huyu Dejane asimsingizie mtoto, hizo tabia zote za mtoto ni zake. Mfundishe mtoto nini ale, asichague chakula uone kama atakusumbua. Kwangu hakuna chakula cha baba wala mtoto(kuna nyumba baba anapikiwa separate, kwangu ni upuuzi mtupu), wote tunakula lilichopikwa na watoto wanafurahia sana tu.
 
Na wazee wanavyojua kuugua sasa kupelekwa hospital sijui nin Halaf unazeeka peke yako wee
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Uwiano wa 50k ni ndogo sana kulingana na kipato chake maana sidhani kama itatosha na maisha yalivyo juu kwa sasa ..... kama una hakika utapata walau 250k au 300k nenda otherwise pambana kama MUNGU amekujalia afya njema na uhai ..
 
Sasa chipsi tukanunue vibandani jamani kila mara ?akaange ale na mayai yapo
Watoto wanapenda chips wewe na wali
Mi kwangu unga wa ugali huwa Upo tu hauishi
Unawazoesha vibaya watakuwa obese
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…