Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Hao viumbe ni pasua kichwa sana, kuna mmoja alimbana mshikaji kwamba amezaa mtoto wake na jamaa anaye mke tayari, basi jamaa akamwambia ili mambo yaende sawa waende ustawi wa jamaa ili wakaandikiwe vipimo vya DNA ili ifahamike kisheria kwamba huyo mtoto ni wake, mwanamke hataki anang'ang'ana tu apewe pesa za matumizi. Yaani ilikuwa mtifuano mkubwa hadi leo huyo mwanamke hajafuata utaratibu na jamaa kapotezea.

Halafu mwanamke kama huyo akianza kulalamika utafikiri kaonewa, kumbe yeye mwenyewe ndo kajifanya kichwa maji.​



Kweli kabisa !

Halafu wengine unakuta mimba/mtoto wanapewa wanaume 3 [emoji108]

Kote anatarajia kupata ruzuku ya matunzo ya mimba/mtoto ,

Ndiyo maana hawataki kwenda kupima DNA.

Wengi tu wanawauzia wanaume watoto ambao si wao ili wapate hela za malezi.
 
Ukizingua, ukawalisha watoto hadithi kuwa mi ndo mbaya, ukikataa mtoto asinitembelee sahau kuhusu matumizi hadi siku mkitambua uwepow angu
Wanaume hatutakiwi kuwa ivyo shida wewe una mitazamo ya zamani
 
Na sisi wala hatuna muda wa kulazimishana kulea, yaani hatuna shobo kabisa, watoto tunalea, wanakula fresh, shule wanaenda na wala hatupungukiwi kitu. Ndio kwanza tunabarikiwa.
Kwanza kusubiri child support mwisho wa mwezi inakulemaza bora kutafuta mwenyewe.
Mwanao mtakutana ukubwani huko yake yale unamtafuta ukijibiwa " su*k my dic** you as* nigga" msianze kulia lia kama ambulance kutia huruma
Kila mtu abaki na chake, wewe baki lea watoto kivyako mi nibaki kovyanhu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woyooooo na tunavyojua kuwalea sasa watakomaaaa mbona
Natamani mwanamke mwenzangu aachane na mawazo ya kwenda ustawi instead apambane alee mwenyewe. Baba na mtoto watajuana mbele ya safari huko[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Na wazee wanavyojua kuugua sasa kupelekwa hospital sijui nin Halaf unazeeka peke yako wee
Uzee unatisha, si uliona jinsi Le Mutuz alivyokuwa ana haha kupatanishwa na watoto wake.

Kuna umri ukifika lazima utawahitaji mno Watoto wako wawe karibu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woyooooo na tunavyojua kuwalea sasa watakomaaaa mbona
Unafurahia watoto kuwatusi wababa zao?
Amri ya 5 imeeleza vizuri
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Achana na hizo mambo Mzazi mwezio akikusumbua; kata shauri la kujimilikisha Mtoto, siku zote mtoto ni baraka. Mwingine akizikataa unatakaje kumlazimisha ????
 
Wanaume sio wajinga
Unakuta anafanana na mtoto kabisa ila kutokana na maneno ya mama kwa mtoto mzazi anaona hapa bora nijikate tu, nisije poteza pesa zangu kusomesha au mtunza mtu ambaye najua ananichukia
Halafu walivyo na maneno ya hovyo, mkipishana kauli ni rahisi kukutamkia kwamba mtoto si wako na hapo kidume umeshagharamika vya kutosha, kwa kuwa si mwanamke wa ndoa dawa unambana mwende kwenye DNA, ili hata akitamka maneno ya shombo kwamba mtoto si wako unampuuza tu kwani DNA imethibitisha mtoto ni wako.​
 
Maharagwe hayapikwi kila siku aisee kwani gerezani?
Hata boarding nilizosoma hatukuwahi kula maharage 365
Lakin yapikwe kila mara mtoto ale
Kwanza yakipikwa yakawekwa kwa freezer wanatoa wanampikia
Mim kama kitu kipo simnyimi mtoto
 
1. Ulifunga nae ndoa au ulizaa na mume wa MTU ukiwa na akili zako bila kulazimishwa?
2. Uko tayari watoto wakapime DNA?
3. Sheria ya ustawi ya mwaka 1971 inasema utapewa chini ya sh Mia moja kwa kila mtoto sijui Kama ilifanyiwa marekebisho.
4. Nakushauri upambane na Hali yako ili iwe fundisho kwa wengine wanaobambikia waume wa wenzao mimba.
 
Binafsi mwanamke asinizalie kama hatukukubaliana, haya mambo ya kushtukizwa eti nina mimba wakati nimekutana na mwanamke anayejielewa kabisa ni upumbavu mkubwa, nitampeleka kwa pilato akajibu hoja kwa nini abebe mimba bila makubaliano!
Kwakweli kujibebea mimba pasipo makubaliano sio poa kabisaa....makubaliano yakiwepo na yakawa complemented na upendo beyond doubt ata kutokuelewana kukitokea mambo hayafiki mbali ivo bcoz whenever u see the kid u see love...unapambana.
 
Na sisi wala hatuna muda wa kulazimishana kulea, yaani hatuna shobo kabisa, watoto tunalea, wanakula fresh, shule wanaenda na wala hatupungukiwi kitu. Ndio kwanza tunabarikiwa.
Kwanza kusubiri child support mwisho wa mwezi inakulemaza bora kutafuta mwenyewe.
Mwanao mtakutana ukubwani huko yake yale unamtafuta ukijibiwa " su*k my dic** you as* nigga" msianze kulia lia kama ambulance kutia huruma
Acheni kujitia umwamba, mnakuwa hamuwajengi watoto kwenye maadili mazuri.
 
Kuna wakati tuwahurumie wadogo zetu.
Amelea mimba miezi 9.
Amejifungua anajihudumia, mtaji atoe wapi?
Tuwe tunahurumiana hakuna upande ambao unastahili kunyonywa.

Feminists wamesema mwanamke anaweza bila mwanaume ila hapa inaonesha ni tofauti
 
Halafu walivyo na maneno ya hovyo, mkipishana kauli ni rahisi kukutamkia kwamba mtoto si wako na hapo kidume umeshagharamika vya kutosha, kwa kuwa si mwanamke wa ndoa dawa unambana mwende kwenye DNA, ili hata akitamka maneno ya shombo kwamba mtoto si wako unampuuza tu kwani DNA imethibitisha mtoto ni wako.​
Mi ndo maana mtoto lazima afanane na mi kitu hata kucha tu
 
Mtoto hana kosa
Hata sisi hatukuwa na kosa, ila dhambi ya Adam na Hawa ndo imesababisha dunia nzima iibebe.
Vivo hivyo dhambi ya mama inaenda kwa mtoto kama mama ataamua kummiliki mtoto
Lakini umeona athari za dhambi hiyo inavyotutesa?

Sio vizuri kuendelea kufanya dhambi hizo tena
 
Back
Top Bottom