Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Mtoto mwingine hakubali jibu rahisi hivyo aisee!

Atakomaa na mama yake mpaka atamuonesha aliko bana yake.

Mtoto mwingine anamuuliza mama yake huyo bana hakuwa na ndugu zake?

Hakuwa na kwao ?

Nielekeze niende nikawaone.
Inadepend na the way situation itakavyokuwa, kama watatengana ilihali mwanamke bado alikuwa na mapenzi na mzazi mwenzake, asilimia za mtoto kulishwa sumu kuhusu baba yake ni chache sana even if baba asishughulike na malezi ya mtoto.
 
Kuna mtu kawadanganya wanawake wa kizazi hiki kuwa wakibishana na kushindana na mwanaume ndio watashinda na kufanikiwa zaidi Maishani kuliko wakijiadabisha, kuongea kwa upole na utulivu na kuwaheshimu wanawake kwa nafasi zao.

Sio kosa Lao.
Wanawake wanaendeshwa na mihemko Kwa 90%. Na ukishakuwa mtu wa kuendeshwa na mihemko lazima uwe MTU wa kukasirika kasirika. Hasa Kwa MTU ambaye unaona anaowajibu wa kumtunza mtoto wake lakini hafanyi hivyo. Hisia hazioni sababu ya Baba kutomhudumia Mwanaye, lakini akitumia Akili lazima some sababu.

Kingine siku hizi hakuna mambo ya Nandi na unyago. Hivyo wanaume na Wanawake wote ni wahanga
 
Sure mkuuu wanaume wengi wanakufa na tai shingoni, lakin wanayataka wenyewe!!

Huwezi pingana na agizo la Mungu ubakie salama. Mungu ameagiza mwanaume mtawale mkeo afu ww unakuja na habar za huruma sijui ubinadam mara haki sawa!! lazma utafeli.

Mwanamke atawaliwe ndani ya ndoa!!abakie na machaguo mawili atawaliwe Kwa hiyari?ama atawaliwe Kwa nguvu? lakin lazim atawaliwe Kwa namna yoyote.. wanaume wengi wanaponzwa na huruma na mwisho wa siku ndio vifo vya pressure na stroke!!!
da!!!...ngoja nianze kupiga punyeto aisee!!!!...mambo ya kutembea kama zombi kwa ajili ya stroke siewzi bwashee!!!!onakuta mdomo umeenda upande kama jambia bwana!!
 
Nenda kwa bosi wake ongea nae
Kisha nenda ustawi
Sheria zetu hazimlindi mwanamke na mtoto asa huko ustawi waseme 50 inatosha nin?? Na watoto wanakula kama mchwa
This is not acceptable
Watoto kula Kama mchwa is bullying naomba usiseme hivyo ,unaonekana una njaa sana
 
If you can't afford to take care of ur kids just take ur kids na umpatie Mzazi mwenzio Mme wako wa zamani


Mwanamke Kama umeachika and you can't afford to take care of ur family , Ebu mtafute Baba wa mtoto umpatie mtoto aishi naye. That all. Maana kumlazimisha mtu kutoa matumizi inaweza kuleta contradiction
 
Pambana mwenyewe dada. Baadae watoto wakipata mafanikio utamuona huyo anajileta kama baba Mondi. Na hiyo ndo Itakuwa adhabu yake.
Unaongea kama vile wewe ndiye mgawa mafanikio

Wasipopata, au mwanaume akiwa na mafanikio zaidi yao mama na mtoto?.

Single maza mnajazana ujinga tu.
 
Nilitamani sana nisiwashwe kuchangia hii mada lakini nimejikuta nashindwa. Nianze na wewe mama cutest, kwa uandishi huu nilivyojudge haraka haraka una umri mdogo. Kama nimekosea samahani sana.

Sasa my dear..maisha yako ni ya kwako pekee. Sisi wa mtandaoni hatuishi na wewe. Wewe ndo unajua machungu, adha na kadhia unazopitia. Naelewa suala la malezi ni gumu sana tena hasa ukiwa solo.

Lakini kwa ninavyokusoma, kuna pride, hasira inakutafuna deep inside. Na ndo maana umesema una depression. Una chuki na mzazi mwenzio na possibly unatamani hata baya limfike kwa sabbu ya aliyokufanyia. Sikulaumu..pole!!

Lakini my dear, sisi tunapenda kuchangamsha genge humu. Kila mtu na maisha yake humu. Kuna waliokuwa kama wewe lakini kwa kudra za Mungu wameweza kusimama na wanalea watoto wao wenyewe..well and good, ila sasa kwa upande wako, kaa chini, samehe kwanza..maana ndo utaweza kufanya maamuzi sahihi. Kuna wengine tunakwambia pambana umlee lakin huna moja wala mbili. Utulivu na busara vikusaidie ili uweze kujua namna ya kumlea m/wa toto wako vizuri kwa kushirikiana na mwenzio. Hakuna faida ya kutunishiana misuli.

Na hii ni kwetu sote. Kama unaona hutaki ushauri unaoumiza, usiandike unachokipitia na sisi tukasoma. Kumbuka tuko watu wa kariba tofauti humu. Haipendezi kila siku tunakua kwenye misuguano and we can avoid that. Wengi wetu tunaandika shida na tunachagua maneno tunayotaka kusikia..its crazy. Sentensi tunayoipenda wanawake ni fainali uzeeni. Hii sentensi imebeba kisasi, uchungu, hasira nyuma yake. Na inaamanisha kwamba unatamani mwenza wako limkute baya uzeeni ili akome. Resentment..haina manufaa, zaidi ukija kumuona uzeeni anang'aa utaramani umroge maana ulichokitamani hakijamtokea.

NoJanga la Single mama kwa juu juu limemfanya mwanamke victim. Lakini deep down wanaume wengi ndo mavictim. Hii ni mada nyingine. Tumeshakosea..tusizidi kukosea. Haina maana yoyote kila mara kuja kubishana mitandaoni..lets amend our ways na tumtegemee Mungu katika malezi, lets be humble and wise. Ukikaa katika haki, Mungu atakusaidia huyo mtoto akue vizuri na akikusaidia no kujisifu bali uwe mnyenyekevu sio useme nimepambana mwenyewe, nimefight, akati hata oxygen Mungu ndo amekupa.
 
Kama ni kweli ulichoandika basi huyu mwanaume atakuja kupata shida sana huko mbele ya maisha yake.. wanaume wengi tunaishi na laana za wanawake tuliowazalisha na kuwatelekeza.. nimejifunza sana kwa mshua wangu anaishi maisha ya kujuta na kulalamika kila siku..
Kwaio nawewe ukayabeba mabaya yote uloambiwa nabimkubwa wako kuhusu mshua unamwona kama shetan... Huyo bimkubwa yan hajakwambia jema lolote lahuyo mshua wako
 
Zingekuwa nzuri watoto wangelindwa wababa wangetunza watoto wao uliona kipindi Makonda kaita wanawake ambao wanatunza watoto wenyewe uliona walivyokuwa wengi
Wanaume wachache sana hutunza watoto wao
Tatizo mnaenda kupewa mimba nawaume zawatu
 
Nilitamani sana nisiwashwe kuchangia hii mada lakini nimejikuta nashindwa. Nianze na wewe mama cutest, kwa uandishi huu nilivyojudge haraka haraka una umri mdogo. Kama nimekosea samahani sana.

Sasa my dear..maisha yako ni ya kwako pekee. Sisi wa mtandaoni hatuishi na wewe. Wewe ndo unajua machungu, adha na kadhia unazopitia. Naelewa suala la malezi ni gumu sana tena hasa ukiwa solo.

Lakini kwa ninavyokusoma, kuna pride, hasira inakutafuna deep inside. Na ndo maana umesema una depression. Una chuki na mzazi mwenzio na possibly unatamani hata baya limfike kwa sabbu ya aliyokufanyia. Sikulaumu..pole!!

Lakini my dear, sisi tunapenda kuchangamsha genge humu. Kila mtu na maisha yake humu. Kuna waliokuwa kama wewe lakini kwa kudra za Mungu wameweza kusimama na wanalea watoto wao wenyewe..well and good, ila sasa kwa upande wako, kaa chini, samehe kwanza..maana ndo utaweza kufanya maamuzi sahihi. Kuna wengine tunakwambia pambana umlee lakin huna moja wala mbili. Utulivu na busara vikusaidie ili uweze kujua namna ya kumlea m/wa toto wako vizuri kwa kushirikiana na mwenzio. Hakuna faida ya kutunishiana misuli.

Na hii ni kwetu sote. Kama unaona hutaki ushauri unaoumiza, usiandike unachokipitia na sisi tukasoma. Kumbuka tuko watu wa kariba tofauti humu. Haipendezi kila siku tunakua kwenye misuguano and we can avoid that. Wengi wetu tunaandika shida na tunachagua maneno tunayotaka kusikia..its crazy. Sentensi tunayoipenda wanawake ni fainali uzeeni. Hii sentensi imebeba kisasi, uchungu, hasira nyuma yake. Na inaamanisha kwamba unatamani mwenza wako limkute baya uzeeni ili akome. Resentment..haina manufaa, zaidi ukija kumuona uzeeni anang'aa utaramani umroge maana ulichokitamani hakijamtokea.

NoJanga la Single mama kwa juu juu limemfanya mwanamke victim. Lakini deep down wanaume wengi ndo mavictim. Hii ni mada nyingine. Tumeshakosea..tusizidi kukosea. Haina maana yoyote kila mara kuja kubishana mitandaoni..lets amend our ways na tumtegemee Mungu katika malezi, lets be humble and wise. Ukikaa katika haki, Mungu atakusaidia huyo mtoto akue vizuri na akikusaidia no kujisifu bali uwe mnyenyekevu sio useme nimepambana mwenyewe, nimefight, akati hata oxygen Mungu ndo amekupa.
asante dada asante sana nikiolewa na miaka 20 sahv nuko na 24 kasoro
 
Unaongea kama vile wewe ndiye mgawa mafanikio

Wasipopata, au mwanaume akiwa na mafanikio zaidi yao mama na mtoto?.

Single maza mnajazana ujinga tu.
Ujinga upi nimemjaza we kuku.
Tatizo lenu mnapenda sana mwanamke akiteseka. Apambane mwenyewe anaweza. No more kulialia maana haisaidii.
 
Hivi mnalichukulia neno laana kiurahisi kama kuchambua mchele?Huwa hampendi kukubali changamoto zenu na kutaka kubadilika.Hata muwe na makosa mnataka muonekane safi na muonewe huruma.Hiyo dunia ya kuonewa huruma na kujiliza tu bila ku-take responsibilities aliondoka nayo Yesu!Badilikeni.
NB:Sheria za kijinga na huruma ya kipumbavu kutoka kwa jamii bogus inawapumbaza.Fumbueni macho.Msijilaze kama mpo picnic!Jifunzeni kukabili changamoto kwa njia chanya na endelevu.Siyo kushikashika tama na kujishangaza kama unaangalia nyumba inaungua.
Nilikuja kutaka huruma kwako?
Mimba aiji kimiujiza.
Asilimia kubwa ya wavulana hamtaki kutimiza majukum yenu, mwanaume hawezi kukubali kutelekeza mtoto awe na pesa asiwe na pesa.

Wahurumieni wanawake wanaowabeba watoto na kuwapakata, muda huo nyinyi mpo kwa makahaba.

Wapendeni watoto wenu jamani laana si tu kumwagiwa ladhi na wazazi watoto wanapolia njaa muda huo ww unakula na makahaba hiyo pia ni laana.
 
katika kila kisa kuna vitu 3, mlalamikaji, mlalamikiwa na ukweli halisi, mara nyingine tunapenda kuficha ukweli halisi kwa manufaa ya pande moja. Tafakari hili kisha mtafute mwenzio, kaa nae vizuri na kuongea nae kutatua shida hii.

Omba msamaha kwa kile ulichokosea naye msamehe alipokosea, mwambie kitu muhimu watoto wapate chochote na si lazima ukipate wewe moja kwa moja. Atakusikiliza
 
Kama ni kweli ulichoandika basi huyu mwanaume atakuja kupata shida sana huko mbele ya maisha yake.. wanaume wengi tunaishi na laana za wanawake tuliowazalisha na kuwatelekeza.. nimejifunza sana kwa mshua wangu anaishi maisha ya kujuta na kulalamika kila siku..
Naaam nikweli unayosema hata mm nimewaona wanaume waliotelekeza watoto wao mwisho wao huwa mmbaya,,,,!
Ni kukosa hofu tu mwanamke anapasa kupewa huduma zote,


Uislamu unafundisha wazi unapotoa talaka sharti akae kwanza hapo nyumban miezi mitatu,,,,,,!
 
Nilikuja kutaka huruma kwako?
Mimba aiji kimiujiza.
Asilimia kubwa ya wavulana hamtaki kutimiza majukum yenu, mwanaume hawezi kukubali kutelekeza mtoto awe na pesa asiwe na pesa.

Wahurumieni wanawake wanaowabeba watoto na kuwapakata, muda huo nyinyi mpo kwa makahaba.

Wapendeni watoto wenu jamani laana si tu kumwagiwa ladhi na wazazi watoto wanapolia njaa muda huo ww unakula na makahaba hiyo pia ni laana.
Hakuna sehemu umeomboleza upewe msaada.Unachopaswa kukielewa ni kwamba,mbebe majukumu.Wewe siyo gudulia la kubeba tu mtoto tumboni halafu kwenye kulea umsakizie mwanaume achukue majukumu yote.Siyo kwa dunia hii.Badilikeni na siyo kubwekabweka kwa umma looking for sympathy.Mtoto atunzwe na wote.Ukilikoroga kwa mzazi mwenzio kabiliana na changamoto zako.
NB:Siyo kila unayebadilishana miandiko JF ukamkadiria umri utakavyo.Hata kuuza mawese karibu nastaafu.
 
katika kila kisa kuna vitu 3, mlalamikaji, mlalamikiwa na ukweli halisi, mara nyingine tunapenda kuficha ukweli halisi kwa manufaa ya pande moja. Tafakari hili kisha mtafute mwenzio, kaa nae vizuri na kuongea nae kutatua shida hii. Omba msamaha kwa kile ulichokosea naye msamehe alipokosea, mwambie kitu muhimu watoto wapate chochote na si lazima ukipate wewe moja kwa moja. Atakusikiliza
Wenyewe (wanawake) huwa hawakosei.Ndivyo huwaza hivyo.Akikichafua anaanza kupiga yowe aonewe kajihuruma.🤔
 
Back
Top Bottom