Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
Ndugu wanabodi naomba kujua gharama kwenda na kurudi kutokea Dar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa una smartphone na internet kwa kazi gani?Ndugu wanabodi naomba kujua gharama kwenda na kurudi kutokea Dar.
Naangalizia porn mkuuSasa una smartphone na internet kwa kazi gani?
We kiboko!Naangalizia porn mkuu
Huyo hajui hata sehemu gani anaweza kupata taarifa sahihi! Hata kuingia kwenye website ya watoa huduma hawezi! Au anataka tujue anaenda kupanda ndege!Sasa una smartphone na internet kwa kazi gani?
Umenikumbusha kuna Mzee aliendaga kufanya deiwaka Kigoma, basi baada ya kukamilisha ile kazi bosi akamkatia ticket ya ndege kurudi Dar, basi yule jamaa mbwembwe zake aliita familia yake yote waje kumpokea airport, nilicheka sana.Huyo hajui hata sehemu gani anaweza kupata taarifa sahihi! Hata kuingia kwenye website ya watoa huduma hawezi! Au anataka tujue anaenda kupanda ndege!
Naangalizia porn mkuu
Sasa kama mtu amekuja kujibu ujinga badala kujibu swali nimjibuje wakuuWe kiboko!
Huyo hajui hata sehemu gani anaweza kupata taarifa sahihi! Hata kuingia kwenye website ya watoa huduma hawezi! Au anataka tujue anaenda kupanda ndege!
Hapo umefanya vyema hongera na Mungu akubariki umetoa na somo pia kwa wengine ambao walikuwa hajui waangalizie wapi beiError | Air Tanzania
book-airtanzania.crane.aero
una uhakika huyu mzee sio Rugashobolwa😁?Umenikumbusha kuna Mzee aliendaga kufanya deiwaka Kigoma, basi baada ya kukamilisha ile kazi bosi akamkatia ticket ya ndege kurudi Dar, basi yule jamaa mbwembwe zake aliita familia yake yote waje kumpokea airport, nilicheka sana.
😀 ni kawaida kwa watu wengi ambao hawajawahi kupanda ndege kujitangaza sana! 2014 Baba yangu alipanda ndege kutokea Mwanza kuja Dar! Flight ilikuwa saa mbili na nusu asubuhi! Ila saa tisa alfajiri kashaamka yuko bafuni anaoga na taxi ilikuja kumchukua saa kumi na robo!Umenikumbusha kuna Mzee aliendaga kufanya deiwaka Kigoma, basi baada ya kukamilisha ile kazi bosi akamkatia ticket ya ndege kurudi Dar, basi yule jamaa mbwembwe zake aliita familia yake yote waje kumpokea airport, nilicheka sana.
Huyo hajui hata sehemu gani anaweza kupata taarifa sahihi! Hata kuingia kwenye website ya watoa huduma hawezi! Au anataka tujue anaenda kupanda ndege!
Wengine nao safari za mtoni wanataka kusindikizwa airport na ukoo mzima.😀 ni kawaida kwa watu wengi ambao hawajawahi kupanda ndege kujitangaza sana! 2014 Baba yangu alipanda ndege kutokea Mwanza kuja Dar! Flight ilikuwa saa mbili na nusu asubuhi! Ila saa tisa alfajiri kashaamka yuko bafuni anaoga na taxi ilikuja kumchukua saa kumi na robo!
Nilikogopa sana kitu kinaitwa kupanda ndege kwa mara ya kwanza!
Alikuwa anakuona jembe sana route za kwenda nae airport zilimpa connection ya mzungu! Pole sana bwana!Wengine nao safari za mtoni wanataka kusindikizwa airport na ukoo mzima.
Nilikuwa na kademu kangu, safari zake UK alikuwa anaondoka na KQ ya usiku mkubwa reporting time kama SAA 8 usiku miaka ile, basi alikuwa ana shobo anakuja home usiku kwenda airport anaondokea kwangu airport tunaenda mtu mbili tu, ila kuna mzungu kashanipora yule mtoto nimekubali yaishe tu maisha yanaeñdelea.
Hamna huyo mzungu tulikuwaga kampuni moja Mimi nikawa nammega kimyamimya, baadaye yule mzungu ndio akamrusha kwao mamtoni, hata hiyo safari nilikuwa najuwa anakwenda kwake.Alikuwa anakuona jembe sana route za kwenda nae airport zilimpa connection ya mzungu! Pole sana bwana!
Mimi kusema kweli mara ya kwanza kupanda ndege familia na watu wangu wa karibu wote walikuwa na taarifa sema tatizo mambo ya status yalikuwa hayaja sambaa kama saizi!
Safari yenyewe ya kwenda home Mwanza tu hapo! 😀
Kwa hiyo jamaa kuuliza ni sawa tu maana ni wakati wake ngoja atambe bhana!