Msaada: Nauli ya ndege Dar-Kigoma daraja la economy ni kiasi gani?

Msaada: Nauli ya ndege Dar-Kigoma daraja la economy ni kiasi gani?

Naangalizia porn mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa ni muwazi sana ujue.

Anyways, ungetazama kwenye websites za hawa wakata ticket ili upate bei current maana mtu anaweza kupa bei za mwaka jana hapa kumbe bei mpya zipo.

So nenda Google andika "flight from Dar to kigoma"
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa ni muwazi sana ujue.

Anyways, ungetazama kwenye websites za hawa wakata ticket ili upate bei current maana mtu anaweza kupa bei za mwaka jana hapa kumbe bei mpya zipo.

So nenda Google andika "flight from Dar to kigoma"
Ahsante mkuu walishanielekeza na nimepata seat ya dirishani kabisaa🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom