Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Amen 🙏Ahsante mkuu kwa msaada wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen 🙏Ahsante mkuu kwa msaada wako
Ukimaliza uniambie nije kukuchangia hata kulala siku 10 nitembee ukanda huoNimeimaliza Mkuu, kwasasa nimabakiza kufunga finishing ndogo ndogo na iwapo Mola akapenda nategemea tarehe 20 Mwezi ujao ianze kufanya kazi
Panda Adventure wewe! Halafu ukifika hapa Dumila nitakupa debe 2 za mchele ili uwapelekee ndugu zangu Waha huko Kigoma.Ndugu wanabodi naomba kujua gharama kwenda na kurudi kutokea Dar.
UFala huu lini?Ndugu wanabodi naomba kujua gharama kwenda na kurudi kutokea Dar.
Jana jioniUmeanza uf
UFala huu lini?
Unataka nipeleke kunguni wote lake Tanganyika hotel ama?Panda Adventure wewe! Halafu ukifika hapa Dumila nitakupa debe 2 za mchele ili uwapelekee ndugu zangu Waha huko Kigoma.
Karibu sana mkuu, ila inaonekana hii biashara kwa huku nilipo ina soko kubwa, hopefully itanisaidia kujenga hotel miaka ijayoUkimaliza uniambie nije kukuchangia hata kulala siku 10 nitembee ukanda huo
Unaweza kujua nauli kwa kujaza BOOKING kwenye website yao hii hapaSasa una smartphone na internet kwa kazi gani?
Khe! Mimi tena?Unaweza kujua nauli kwa kujaza BOOKING kwenye website yao hii hapa
Air Tanzania | The Wings Of Kilimanjaro
www.airtanzania.co.tz
Baada ya hapo utatakiwa kulipia ticket kabla booking hajia-expire
Unaweza ukalipia kwa mobile money au kwa wakala wao aliye karibu nawe. Hata hivyo ukiamua kukata tiketi kwa kutumia walkala wao, anaweza akakucharrge fee kidogo kama service charge
Safari njema sana. Kwetu mimi ni Mwakizega ila kwa sasa hivi naishi Luiche
Unaweza kujua nauli kwa kujaza BOOKING kwenye website yao hii hapaNdugu wanabodi naomba kujua gharama kwenda na kurudi kutokea Dar.
Funga mkanda muombe Mungu lakini pia hakikisha usafi mzuri na wahudumu wanaojali watejaKaribu sana mkuu, ila inaonekana hii biashara kwa huku nilipo ina soko kubwa, hopefully itanisaidia kujenga hotel miaka ijayo
Ahsante mkuuUnaweza kujua nauli kwa kujaza BOOKING kwenye website yao hii hapa
Air Tanzania | The Wings Of Kilimanjaro
www.airtanzania.co.tz
Baada ya hapo utatakiwa kulipia ticket kabla booking hajia-expire
Unaweza ukalipia kwa mobile money au kwa wakala wao aliye karibu nawe. Hata hivyo ukiamua kukata tiketi kwa kutumia walkala wao, anaweza akakucharrge fee kidogo kama service charge
Safari njema sana. Kwetu mimi ni Mwakizega ila kwa sasa hivi naishi Luiche
Shukrani kwa mawazo chanya MkuuFunga mkanda muombe Mungu lakini pia hakikisha usafi mzuri na wahudumu wanaojali wateja
AmeenShukrani kwa mawazo chanya Mkuu
🙏🙏Ameen
Sio mteja nafika nafunguliwa chumba naambiwa chumba hiki hapa ingia uone kama hukitaki Acha katafute sehemu nyingine, au mteja unauliza mbona shuka kama haijawa safi unaambiwa kama huwezi lala ondoka wateja wapo wengiShukrani kwa mawazo chanya Mkuu
Nitajaribu kupata binti aliyesoma customer services ndiyo akae mapokezi.Sio mteja nafika nafunguliwa chumba naambiwa chumba hiki hapa ingia uone kama hukitaki Acha katafute sehemu nyingine, au mteja unauliza mbona shuka kama haijawa safi unaambiwa kama huwezi lala ondoka wateja wapo wengi
KabisaaNitajaribu kupata binti aliyesoma customer services ndiyo akae mapokezi.
Biashara ni pamoja na lugha, hilo nitazingatia
Alafu Malaya huna unaishia kupiga NYETONaangalizia porn mkuu
Hapana nikimaliza kuangalia nakemea pepo la kupiga nyeto litokeAlafu Malaya huna unaishia kupiga NYETO