Msaada: Nauli ya ndege Dar-Kigoma daraja la economy ni kiasi gani?

Msaada: Nauli ya ndege Dar-Kigoma daraja la economy ni kiasi gani?

Hamna huyo mzungu tulikuwaga kampuni moja Mimi nikawa nammega kimyamimya, baadaye yule mzungu ndio akamrusha kwao mamtoni, hata hiyo safari nilikuwa najuwa anakwenda kwake.

Usizibe riziki ya mwanamke kama unaona kuna bright future iko mbele yake, let her go.
šŸ‘
 
šŸ˜€ ni kawaida kwa watu wengi ambao hawajawahi kupanda ndege kujitangaza sana! 2014 Baba yangu alipanda ndege kutokea Mwanza kuja Dar! Flight ilikuwa saa mbili na nusu asubuhi! Ila saa tisa alfajiri kashaamka yuko bafuni anaoga na taxi ilikuja kumchukua saa kumi na robo!
Nilikogopa sana kitu kinaitwa kupanda ndege kwa mara ya kwanza!
Hatari sana
 
Back
Top Bottom