👍Hamna huyo mzungu tulikuwaga kampuni moja Mimi nikawa nammega kimyamimya, baadaye yule mzungu ndio akamrusha kwao mamtoni, hata hiyo safari nilikuwa najuwa anakwenda kwake.
Usizibe riziki ya mwanamke kama unaona kuna bright future iko mbele yake, let her go.
Hatari sana😀 ni kawaida kwa watu wengi ambao hawajawahi kupanda ndege kujitangaza sana! 2014 Baba yangu alipanda ndege kutokea Mwanza kuja Dar! Flight ilikuwa saa mbili na nusu asubuhi! Ila saa tisa alfajiri kashaamka yuko bafuni anaoga na taxi ilikuja kumchukua saa kumi na robo!
Nilikogopa sana kitu kinaitwa kupanda ndege kwa mara ya kwanza!
huu ndio msaada wa PhD kwa certificate daktari?
Hivi matola huwezagi kusaidia mtu mpaka kejeliSasa una smartphone na internet kwa kazi gani?
Ahsante mkuu kwa msaada wakoWakati mwingine ingia www.atcl.co.tz
Ama www.precisionairtz.com kuweza kujua ratiba ya safari za ndege pamoja na nauli kwa siku husika.
Uwe na safari njema Mkuu
Vipi ile logde uliimaliza mkuuWakati mwingine ingia www.atcl.co.tz
Ama www.precisionairtz.com kuweza kujua ratiba ya safari za ndege pamoja na nauli kwa siku husika.
Uwe na safari njema Mkuu
Porn inaharibu ubongoNaangalizia porn mkuu
Hivi matola huwezagi kusaidia mtu mpaka maswali
Unanunuwa bundle kwa ajili ya umbea wa Instagram?Hivi matola huwezagi kusaidia mtu mpaka maswali
Sasa nifanyeje mkuu mie nakaa kwa dada na bandle ananunua shemejiPorn inaharibu ubongo
Ahsante kwa msaada wakoAcha uvivu ww ni mtu mzima ebu fungua google uangalie mwenyewe
Kuna ATCL na kuna Precissio ,Auric ebu ingia web site zao soma mwenyewe wacha uvivu
Ahsante mkuu kwa msaada wako
Mashirika yetu ya ndege yenyewe hayajitangazi ipasavyo to create awareness ya kutoshaSasa una smartphone na internet kwa kazi gani?
Hajui hata kwenda China wamesitisha safari ilihali watu wana ticket tayariMashirika yetu ya ndege yenyewe hayajitangazi ipasavyo to create awareness ya kutosha
Kupanga ni kuchagua mzee [emoji23][emoji23]Unanunuwa bundle kwa ajili ya umbea wa Instagram?
Unaijuwa IATA?Hajui hata kwenda China wamesitisha safari ilihali watu wana ticket tayari
Mimi wa mpitimbi naijulia wapi ndugu yangu mie naijua ccm tuUnaijuwa IATA?
HahahahhahahahahahaMimi wa mpitimbi naijulia wapi ndugu yangu mie naijua ccm tu
Nimeimaliza Mkuu, kwasasa nimabakiza kufunga finishing ndogo ndogo na iwapo Mola akapenda nategemea tarehe 20 Mwezi ujao ianze kufanya kaziVipi ile logde uliimaliza mkuu