Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
umri wako tafadhali? ni muhimu kutoa ushauri kulingana na umri au rikaWakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.
Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.
Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.
Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.
Msaada tafadhali wa kimawazo.
Acha nyeto kwa siku 21 alafu uje hapa usome bandiko lako upya.Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.
Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.
Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.
Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.
Msaada tafadhali wa kimawazo.
Hatari sanaHa ha ha Noma sana mzee Baba
Kama mimi yaani watu washaniona shamba la bibiPole sana.
Wakati nasoma soma nilikua Representative na mwenzangu wa kike. Kwenye vikao tulikua tunalipwa 5K lakini hadi natoka kwenye uongozi sikuwahi kuhudhuria hata kikao kimoja huyu dada ndo ilibidi awe ananiwakilisha.
But the worst ni kwamba nashindwa kudai watu madeni. Kuna watu kibao nawadai hela ila sijui nawaanzaje kuwadai daaaah. Yaani nabaki nasononeka rohoni. Naokopa ninao wadai badala wao ndo waniogope
Karate na aibu wapi na wapi mkweπ€π€£Jifunze karate..
Kwel inasaida kujiamini π€£π€£π€£π€£Karate na aibu wapi na wapi mkweπ€π€£
Sponsor wa visungura kwenye 1 na 2 π€πKula bia kula bia
Kula bia kijana
Mwisho wa siku uje uvunje vituπ€£π€, kIsa una taka kupigana na mkweoπKwel inasaida kujiamini π€£π€£π€£π€£
Nonsense ππ€, yaani na uzee wangu huu nika jifanye kuzi nyoosha nyongaπ€£
ππ Utawezaje kulinda mafaoπππNonsense ππ€, yaani na uzee wangu huu nika jifanye kuzi nyoosha nyongaπ€£
Kwa jinsi unavyoelezea hizo aibu ulizonazo utafika kweli level ya kuitwa baba? Kama Una mpango wa kuwa na familia baadae anza kuchukua hatua ya kuukabili uoga wako na jifunze njia za kuearn confidence before people. Isijefikia kipindi hata unayedhania ndio ubavu wa future yako ukashindwa kumface achilia mbali utakapokuwa nae faragha naeππIn term of money I'm comfortable sir. Ila yaani aibu zipo tu, duuh yaani sijui nitakua baba wa namna gani mbele ya wanangu
Mafao gani π€π€, Mimi mkimbizi tuπ€πππ Utawezaje kulinda mafaoπππ
Bangi ina mtu na mtu, asije akaranduka bule tukamkosa mbobevu wetu JfππNa avute bange kidogo
Lete hiyo deal ya kuwadai wadeni wako, Lazima tuwa shughulikieπ€π€Pole sana.
Wakati nasoma soma nilikua Representative na mwenzangu wa kike. Kwenye vikao tulikua tunalipwa 5K lakini hadi natoka kwenye uongozi sikuwahi kuhudhuria hata kikao kimoja huyu dada ndo ilibidi awe ananiwakilisha.
But the worst ni kwamba nashindwa kudai watu madeni. Kuna watu kibao nawadai hela ila sijui nawaanzaje kuwadai daaaah. Yaani nabaki nasononeka rohoni. Naokopa ninao wadai badala wao ndo waniogope
Ya uzeenπππMafao gani π€π€, Mimi mkimbizi tuπ€π