Mtoa mada unatatizo mengi, ntaorodhesha Hapa KISHA ntakushauri
1.Unakutana na mwanamke humjui vizur in&out unajitosa mazima moyo wako wote kumpenda sana.
Ni kosa kubwa Sana.
2. Unasahau kwamba mwanamke akiwa na stress Anahitaji faraja, faraja anaweza kupata kwa mtu yeyote Alie around. Bahat nzur ulikuepo wewe.
Ila hilo haiondoi mapenz kwa wake anayempenda kwa dhati, ata Kama kamzingua sana. Anavumilia hivo hivo anaumia.
3. Kwenda kufanya mapenz kwny nyumba ya mwanamke Ni kosa kubwa Sana, ujatwambia kwann ulkua umpeleki kwako au hotel.
Nilikutahadharisha utakuja charangwa mapanga, na kweli jamaa akaja kukufanyia fujo.
(probably yeye Ndo sponsa wa hapo, stori ya Kila kitu chake Ulidanganywa)
Ndo Maana mwanamke akogopa kuachana nae Moja kwa moja, jamaa ni mshari Sana.
4. Jifunze kutofautisha huruma na upendo, uyo mwanamke alitulia kwako akiangalia Kama seriously jamaa atamove on, wewe uchukue nafas.
Bahat mbaya jamaa karudisha majeshi, huna chako Tena.
Cha kukushauri,
1.Kama kweli unampenda,
[emoji117]Vumilia mpk siku wavurugane ndo Wewe uchukue nafasi.
[emoji117]Wafanyie figisu wavurugane, mwanamke sana amchukie jamaa ww uchukue nafas.
2.Kama kwake umefata sex au uchumi
[emoji117]Kausha Kama hamna kilichotokea, weka ratiba zako vizur za kupewa Shea yako kisha ulale mbele.
YOTE NI MACHAGUO SAHII, CHOOSE WISELY[emoji4]