Msaada tutani: Ndugu yangu Wa kiume ana tabia za kike, suluhisho la hili tatizo ni nini?

Msaada tutani: Ndugu yangu Wa kiume ana tabia za kike, suluhisho la hili tatizo ni nini?

Tabia za kike kwa mtoto wa kiume zinatolewa na msisimamo wa baba pamoja na mabroo kama anal yaani hapa alitakiwa akizingua apewe mabanzi ya shingo mpaka ajue kutofautisha kwamba ke na me katikamaisha

Kwa mfano sis home kipind tupo wadogo utapelekwa sehemu utapiganishwa na wezako wa lika lako ngumi za kufa mtu na ole wako upigwe hapo bro lazima akuongezee mikofi kwa kuabisha family so trck zipo nyingi zakumlea Me

Sio mtoto wakiume akipigwa kidogo anakuja kusema ...yaani utaambiwa wew nenda kamalizane nao waliokupiga so siku nyngine lazima na wew utakiwasha tu
Mtoto wa kiume asifiwi na baba ake bali baba anatakiwa amponde kua wew boya tu hujui lolote sio kama mm enzi zangu nilikua mafia hakuna dem mtaani sijawahi kumla sio wew umekaakaa tu

Zipo njia nyingi zakumfanya mtot wa kiume ajijue yeye ni simba dume na sio jike kwanza mfundishe kuwazarau jinsia ya kike kwamba ni jinsia ya kishamba sana na wala hawajitambui pia ni legelege sana hapa mtoto wa kiume atajiona yeye bora kuliko Me

Mtoto wa kiume akifanya kosa hapa pinga kama unaua mwizi yaani piga sana sio kumwambia oooh unajua mwanangu sijui nini...pigaaaasana....pigaaa mpaka akitoka hapo lazima ajiulize kichwani huyu ni babaangu kwel...ila kwa mtoto wa kike akizingua hapa usimpige tena mwonye tu hapa itamfanya mtoto wa kiume ajijue yeye ni mbegu hivyo lazima akomae

Pia Mara kwa mara mwambie habar ngumu ngumu kichwani mwake kwa mfano hapa mkitia binti wa watu mimba nakufukuza kwangu, au ukifeli shule tafuta pakuishi, au siku hizi unakula sana kama upo kwako yapo mateso mengi ya akili yatakayo msaidie kujilinda nakua mwanaume

Note hizi formula walitumia wazee wetu ndo maana ushoga ulikua ni kama laana yaani ulikuepo ila kwa uchache sana sio saiv baba anamlea mtoto wa kiume kama binti......
 
Tayareeee kishapata tabia za uzombi. Tusubiri tu wamfundishe kwa mparange akache tobo lipumue
 
Jaribu kumrectify kwa mazungumzo kwanza hapa mda mwingi unatakiwa kuwa nae cheza na physchology yake sana kama utaweza
 
Kuwa feminine haimaanishi mtu ni shoga Ila kwa hayo ya kukaa na jinsia ya kike mara nyingi ni aidha anajihisi comfortable zaidi kukaa nao hii ikimaanisha tayari anajua kuna ukike ndani yake hivyo, step iliyobakia ni moja, kutamani kuwa na boyfriend ili aujue utamu ambao dada zake wanaupata katika stories wanazopiga maana hawazi kuwa bubu saa zote ni lazma kuna kitu anachangia kama wao ndio maana yupo comfortable

Secondly, yawezekana kwa alivyo akikaa na jinsia yake kuna kumnyanyapaa, kumtukana au kumuonesha yupo tofauti ambao pia humuumiza kihisia kama binadamu wengine kwa hiyo kuepuka haya anaona kheri akae na watu wasiomuhukumu

Hizi ni speculations tu lakini ukweli anaujua mwenyewe hivyo, muweke karibu kiurafiki Ila akujulishe mwenyewe, be there to help, don't judge him.
 
Kama ana upungufu wa testosterone zipo tiba ila nae aanze kujitoa huko I mean akubali kwa hiari yake.. maana hiyo tiba inahitaji na kujitoa pia sio kudungwa misindano tu.
Mpeleke kwa mtabibu wa homoni wapo mahospitalini

Kuna application ya male testorone, sijui inafanyaje kazi but huwa inarudusha character za kiume kwa kias fulani
 
Ndugu yako anafanana na huyu mchezaji wa Man City anaitwa Raheem Sterling? Sio shoga Ila akiwa uwanjani anavyocheza unaweza ukasema uwanjani kuna shoga anacheza mpira, so stop itakua ni maumbile tu
Screenshot_20230103-075845.png

Screenshot_20230103-075811.png
 
Mpeleke gym kwa kuanzia aanze kupiga vyuma. Hua weight lifting inaongeza testerone. Pia vyakula pia. Lakn umchinge pia huko gym maana kama ashavuka upande itakua unapeleka mbuzi kwa fisi
 
Unakuta mzazi ana watoto wa kike 3 na wakiume 1 halafu wote anawaweka gate kali mpaka wanafikia balehe. Katika mazingira kama haya lazima huyu mmoja atakua na tabia za hao watatu.
Kabisa
 
Unakuta mzazi ana watoto wa kike 3 na wakiume 1 halafu wote anawaweka gate kali mpaka wanafikia balehe. Katika mazingira kama haya lazima huyu mmoja atakua na tabia za hao watatu.
Hii ni kweli,
Kuna Classmates wangu wawili,ingawa kwa sasa wameimprove kidogo ila bado wana elements za kike

Kuanzia primary hadi secondary kampani yao ilikuwa ni wasichana pekee,Narudia tena company yao ilikuwa ni wasichana tu

kwa sasa namna wanavotembea,namna wanavopozi katika picha, jinsi wanavowaposti wanaume wenzao fb na captions wanazoweka kwenye hizo post-vyote vina walakini
 
Hii isikie kwa wenzako tu ila kama unandugu au mtu wako wa karibu alafu awe na tabia kama za kike wakati ni wakiume sijui au wa kike awe na tabia za kiumwe dah inaboa..

ila ndo ndugu yako sasa unabaki tu kujikaza alafu sasa unakuta dada zake wala wanafurah tuna kukenua mimeno pamoja nae ndio wanamuaharibu kabisa..
Unataka ndugu wamfanyaje? Wamtengee wamnyanyase? Ndo wanaishia kutafuta furaha nje wanakutana na mabaradhuri wanawaingiza ktk gaysm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabia za kike kwa mtoto wa kiume zinatolewa na msisimamo wa baba pamoja na mabroo kama anal yaani hapa alitakiwa akizingua apewe mabanzi ya shingo mpaka ajue kutofautisha kwamba ke na me katikamaisha

Kwa mfano sis home kipind tupo wadogo utapelekwa sehemu utapiganishwa na wezako wa lika lako ngumi za kufa mtu na ole wako upigwe hapo bro lazima akuongezee mikofi kwa kuabisha family so trck zipo nyingi zakumlea Me

Sio mtoto wakiume akipigwa kidogo anakuja kusema ...yaani utaambiwa wew nenda kamalizane nao waliokupiga so siku nyngine lazima na wew utakiwasha tu
Mtoto wa kiume asifiwi na baba ake bali baba anatakiwa amponde kua wew boya tu hujui lolote sio kama mm enzi zangu nilikua mafia hakuna dem mtaani sijawahi kumla sio wew umekaakaa tu

Zipo njia nyingi zakumfanya mtot wa kiume ajijue yeye ni simba dume na sio jike kwanza mfundishe kuwazarau jinsia ya kike kwamba ni jinsia ya kishamba sana na wala hawajitambui pia ni legelege sana hapa mtoto wa kiume atajiona yeye bora kuliko Me

Mtoto wa kiume akifanya kosa hapa pinga kama unaua mwizi yaani piga sana sio kumwambia oooh unajua mwanangu sijui nini...pigaaaasana....pigaaa mpaka akitoka hapo lazima ajiulize kichwani huyu ni babaangu kwel...ila kwa mtoto wa kike akizingua hapa usimpige tena mwonye tu hapa itamfanya mtoto wa kiume ajijue yeye ni mbegu hivyo lazima akomae

Pia Mara kwa mara mwambie habar ngumu ngumu kichwani mwake kwa mfano hapa mkitia binti wa watu mimba nakufukuza kwangu, au ukifeli shule tafuta pakuishi, au siku hizi unakula sana kama upo kwako yapo mateso mengi ya akili yatakayo msaidie kujilinda nakua mwanaume

Note hizi formula walitumia wazee wetu ndo maana ushoga ulikua ni kama laana yaani ulikuepo ila kwa uchache sana sio saiv baba anamlea mtoto wa kiume kama binti......
Huna unachokijuaaa nakuambia tema mate chini ombaa yasikukutee. Kuna familia 1 ilipata mtoto mwenye matatizo ya hormone km huyo, walikua wana mlea km ambavyo wee unasimuliaa, mtoto wakampelekaaa ktk misingi ya dini pia.

Mtoto aliteswaa na kunyanyaswaa, sio kaka zake, na baba ake, hata dada zake ilikua ni kwa kuibia couz walipewa onyo wasifuatane nae.

Mama ake ndo alikua Pa1 na mtoto, mwsho wa siku mtoto alitafuta furaha nje, akaishia kukutana na watu mwsho wake kuwa Gay.

Case ya hivi haitatuliwi na hayo unayo elezaa, ndo mnfanyaa aingie pabayaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa feminine haimaanishi mtu ni shoga Ila kwa hayo ya kukaa na jinsia ya kike mara nyingi ni aidha anajihisi comfortable zaidi kukaa nao hii ikimaanisha tayari anajua kuna ukike ndani yake hivyo, step iliyobakia ni moja, kutamani kuwa na boyfriend ili aujue utamu ambao dada zake wanaupata katika stories wanazopiga maana hawazi kuwa bubu saa zote ni lazma kuna kitu anachangia kama wao ndio maana yupo comfortable

Secondly, yawezekana kwa alivyo akikaa na jinsia yake kuna kumnyanyapaa, kumtukana au kumuonesha yupo tofauti ambao pia humuumiza kihisia kama binadamu wengine kwa hiyo kuepuka haya anaona kheri akae na watu wasiomuhukumu

Hizi ni speculations tu lakini ukweli anaujua mwenyewe hivyo, muweke karibu kiurafiki Ila akujulishe mwenyewe, be there to help, don't judge him.
Paragraph yako ya pili ndo imebeba maana nzimaaa ya andiko lako.
Watoto wenye matatizo ya hormones hapa Bongo wanaishia pabayaa kisa ni kunyanyaswaa na kutengwaa kwa jinsia yake husika.

Umemalizaaaa kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom