Msaada tutani: Ndugu yangu Wa kiume ana tabia za kike, suluhisho la hili tatizo ni nini?

Msaada tutani: Ndugu yangu Wa kiume ana tabia za kike, suluhisho la hili tatizo ni nini?

Kijijini gan? Wapo na wamejaa teleee.

Unataka kusema nn hapa.
Ww umelelewa mjini huwezi elewa nimeishi vijiji vingi sana hapa tz na kny sijawahi kuona mabwabwa vijijini labda atoke nao huko mjini aje nao vijijini
 
Unakuta mzazi ana watoto wa kike 3 na wakiume 1 halafu wote anawaweka gate kali mpaka wanafikia balehe. Katika mazingira kama haya lazima huyu mmoja atakua na tabia za hao watatu.
Kuna jamaa tulisoma nae chuo yuko hvyo,na madem wanampenda balaa na huwa wanamchukulia kama mwenzao kabisa

iLe asubuhi mkiwa mnajiandaa ili mwende darasani alikuwa anatoka na kioo anasimama mlangoni nakuanza kujipaka poda bila hata woga au aibu ila sikuwah kumsikia kuwa na vitendo vya kishoga

tUliwah ambiwa kuwa kwao yeye ndo mwanaume tu,wengine wote ni wakike afu ni wakubwa na wako vizuri kipesa na wanampenda balaa,wameshaolewa,alikuwa akipata likizo kila dada anatamani jamaa amtembelee
 
Unakuta mzazi ana watoto wa kike 3 na wakiume 1 halafu wote anawaweka gate kali mpaka wanafikia balehe. Katika mazingira kama haya lazima huyu mmoja atakua na tabia za hao watatu.
Huo ni uongo,mtoto wa kiume akifikia balehe kama bdo unawachanganya na dada zake na kama kweli amekamilika huenda akaanza kula dada zake lkn tabia ya kike n kitu kilichopo ndani yake.
 
Mtoto wa kiume mlee kama dume hata kumlaza na dada zake sio sawa unakuja kushtuka anavaa chupi za dada zake af we hujui hapo ushampoteza tayr
 
Simple tu nenda nae geto kwako tafuta mwanamke kwa gharama zozote akae nae wiki moja hakikisha anamkaza huyo mdada kutwa mara tatu kama dozi ya malaria.

Asipo mkaza huyo mdada mtie vitasa kwelikweli.
Mweee
 
Umenikumbusha kisa kimoja nikiwa ndo kwanza naingia form 5.

Kwa nilikokulia sikuwahi kukutana watu wa hivyo.

Sasa ile ndo siku za mwanzo nimeenda kukinga msosi jioni, nakuta kuna jamaa wa form 6 watatu, wawili wanagawa mmoja kasimama tu pembeni.

Ile ndo imefika zamu yangu yule alosimama akasema kwa sauti ya kike kabisa "khee jamani saivi form five wamekuja wengi". Nilimshangaa huyo jamaa balaa.

Kumbe sikua peke yangu wengi walikua wanamuona wa ajabu, wale wa bush ndo kabisaaa ulikua kama muujiza.
Jamaa kila kitu ni kama dem, ndo uniambie yule sio punga hapana kwakweli.
Kwa kizazi hiki mtu mwenye miondoko hiyo kugongwa ni 85%.
 
Nakupa solution ya hili tatizo ila sio kisayansi hii ni namna ya kudeal na ishu ikiwezekana mlishe na ganja kabisa.




Ni rahisi kuacha uhuni kuliko kuacha ushoga.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenikumbusha kisa kimoja nikiwa ndo kwanza naingia form 5.

Kwa nilikokulia sikuwahi kukutana watu wa hivyo.

Sasa ile ndo siku za mwanzo nimeenda kukinga msosi jioni, nakuta kuna jamaa wa form 6 watatu, wawili wanagawa mmoja kasimama tu pembeni.

Ile ndo imefika zamu yangu yule alosimama akasema kwa sauti ya kike kabisa "khee jamani saivi form five wamekuja wengi". Nilimshangaa huyo jamaa balaa.

Kumbe sikua peke yangu wengi walikua wanamuona wa ajabu, wale wa bush ndo kabisaaa ulikua kama muujiza.
Jamaa kila kitu ni kama dem, ndo uniambie yule sio punga hapana kwakweli.
Kwa kizazi hiki mtu mwenye miondoko hiyo kugongwa ni 85%.
Siyo Kweli kila mwenye saut ndogo Ni punga
 
Nilikuwa simfahamu huyu ndugu yangu, ni mtoto wa mama mdogo, nimemfahamu juzi kwenye family gathering event😭ni damu yangu kabisa halafu kijana, mara ya kwanza nlivomuona tabia zake, na jinsi anavotembea, Nilipata mashaka nikahisi kuna kitu kimempungukia kama mwanaume.

Nlivyokuja kuongea naye sasa oh gosh 😭😭anavoweka mikono, vidole, halafu body language yake anajishebedua kwa pozi za kike kabisa, halafu Muda mwingi alikuwa anashinda jikoni na dada zake sijui wamemzoea.

Nikamvuta pembeni dada yake mmoja kuonyesha mshangao wangu, nikamwambia hili ni janga kwenye familia yetu, akaniambia In very simple way ni shida tu ya homoni..

Kuna waliowahi kuwa na Tatizo hili au ndugu wenye tatizo hilo halafu likarekebishika? Kingereza linaitwa "effeminacy" Maana Nimegoogle nikaona mwanaume kuwa hivyo na tabia za kike haimaanishi kuwa ni shoga, ila kuna uwezekano Mkubwa wa yeye Kuja kuwa shoga.

Janga hili kwenye familia yetu😭😭
Hili janga inaonekana limekolea kwenye ukoo wenu. Hata wewe unaonekana una hizo tabia. Unaandikaje mambo haya serious afu unatuwekea viemoji wa kulia lia? Tukupe a shoulder to cry on utoe machungu yako?
 
Siyo Kweli kila mwenye saut ndogo Ni punga
Sio sauti ndogo, mbona wenye sauti ndogo na mashababi ni wengi tu.

Nimeongelea wenye tabia za kike, unaweza kua na sauti nyembamba lakini hata tone yako inakua ya kiume, mapunga sauti nyembamba tone na haiba za kike.
 
Kikubwa apunguze kukaa na wanawake na ajijue yeye mwanaume na ajifunze tabia za kiume kiujumla kuanzia kuongea akaze sauti na makalio
 
Back
Top Bottom